Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Mie bwana wiki nzima usingizi hauji yaani moyo kama wataka kupasuka vile. Sasa ubaya wake bwana huyo mwanamke tulikuwa kwa sexmate relationship.
Siku ya siku siku ya siku tumetoka kwenda kula mdudu stoey za hapa na pale sii ndio akanisimulia jinsi amenya duliwa na jamaa....aise nyama ilikuwa chungu hatari. Wiki nzima nikawa sipati usingizi proper yaani full mawazo. Sasa ajabu yake eti mie ndio nikamtafuta huyo mrembo. Hapo nikaamini kuna mbususu zingine usionje ukionja ndio ulishapatikana🤣🤣🤣🤣🤣.

Sasa hii umesimuliwa wale wanaofumania live kweli wana haki ya kuua kwa kweli. Maumivu ni makali sana
 
Usimpe mtu moyo wako.😎
FB_IMG_16523923807777873.jpg
 
Mie bwana wiki nzima usingizi hauji yaani moyo kama wataka kupasuka vile. Sasa ubaya wake bwana huyo mwanamke tulikuwa kwa sexmate relationship.
Siku ya siku siku ya siku tumetoka kwenda kula mdudu stoey za hapa na pale sii ndio akanisimulia jinsi amenya duliwa na jamaa....aise nyama ilikuwa chungu hatari. Wiki nzima nikawa sipati usingizi proper yaani full mawazo. Sasa ajabu yake eti mie ndio nikamtafuta huyo mrembo. Hapo nikaamini kuna mbususu zingine usionje ukionja ndio ulishapatikana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Sasa hii umesimuliwa wale wanaofumania live kweli wana haki ya kuua kwa kweli. Maumivu ni makali sana
[emoji28][emoji28]hii ishanikuta nilichokonoa stori yule dada akanisimulia jinsi alivyoliwa na majamaa roho iliniuma lakini

Wanawake viumbe wa ajabu alafu akawa ananambia ila we ndo unanipa raha wengine nilikua sisikii kitu [emoji38]

Utoto ulikuwaga raha sana
 
[emoji28][emoji28]hii ishanikuta nilichokonoa stori yule dada akanisimulia jinsi alivyoliwa na majamaa roho iliniuma lakini

Wanawake viumbe wa ajabu alafu akawa ananambia ila we ndo unanipa raha wengine nilikua sisikii kitu [emoji38]

Utoto ulikuwaga raha sana
Mie iliniuma maana hamna mwanamke nimewahi enjoy mgegeduani kama yule...yule mwanamke fundi bwana.
Dah anayekula huko sasa kwa kweli anafaidi sana.
 
Daaa aisee Mimi nikichapiwa na dogo ambaye alikua rafiki yangu na no work mate na alimchapa manzi yangu sebilen kwangu huku mtoto wangu wakiwa wamemlaza pembeni ya sofa.
Kuna watoto walikua nje wanapiga chabo wakaja nistua nilipo . Kufika home jamaa Kesha maliza mchezo na yupo pale pale anajifanya anacheki movie.
Nilimbana yuele demu baadae akakiri kua kweli. Niliumia Sana mpaka leo tuliachana na yule dogo si marafiki tena .
 
Mke ulimsamehe?
Daaa aisee Mimi nikichapiwa na dogo ambaye alikua rafiki yangu na no work mate na alimchapa manzi yangu sebilen kwangu huku mtoto wangu wakiwa wamemlaza pembeni ya sofa.
Kuna watoto walikua nje wanapiga chabo wakaja nistua nilipo . Kufika home jamaa Kesha maliza mchezo na yupo pale pale anajifanya anacheki movie.
Nilimbana yuele demu baadae akakiri kua kweli. Niliumia Sana mpaka leo tuliachana na yule dogo si marafiki tena .
 
Daaa aisee Mimi nikichapiwa na dogo ambaye alikua rafiki yangu na no work mate na alimchapa manzi yangu sebilen kwangu huku mtoto wangu wakiwa wamemlaza pembeni ya sofa.
Kuna watoto walikua nje wanapiga chabo wakaja nistua nilipo . Kufika home jamaa Kesha maliza mchezo na yupo pale pale anajifanya anacheki movie.
Nilimbana yuele demu baadae akakiri kua kweli. Niliumia Sana mpaka leo tuliachana na yule dogo si marafiki tena .
Aisee hii balaaa.
 
Back
Top Bottom