Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Kwani we hujawahi kula demu wa mtu?we samehe tu mkubwa ,mademu ni wa kuchapa tu kwa zamu zamu.
 
Yaan mim Kama ndo huyo jamaa aliesamehe yaan mboo kuingiza ukeni kwake nahis italala kwanza haitasimama kabisa maana akilini itakumbuka humu. Sialitombwa na mwingne inalala hapo hapo

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu,kuna watu wanachapiwa wake zao tena sio kuliwa mbele,wakulungwa wanamla jicho kabisa..pata picha mwana anajua inakuaje?
 
Duh afu bado kuna kum@. Anasema nioe lol
 
Jf kuna uongo
Sana
 
Jina lake linaanzia na F mweupe njiro?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mkuu inauma sana. Ila cha muhimu ni kujua mademu zetu wanachapwa nje. Imagine mtu kama Will Smith na ule u-handsome plus maokoto bado anachapiwa je, sisi? Waliooa wana shughuli pevu. Kuna mtu na kakake hawatakaa wapatane maishani kwa sababu ya mdogo mtu kumchapa mke wa kaka. Yaani suluhu zote zimeshindikana toka miaka ya 90 hadi leo.
 
kuna muda wanaume tunapitia vipindi vigumu sana,laiti kama dunia ingeumbwa kwa mara ya pili binafsi ningemuomba Mungu wanaume tukifa twende peponi moja kwa moja adhabu tunazopata dunia zinatosha


Political is just liKe a war always,BOOST YOUR CONFIDENCE
 
Yaan kipindi niko chuo nlisoma mahusiano ya wanachuo wenzangu hasa marafiki nkagundua 98% wanaliwa balaa .nlichofanya nlikuwa nkipata 10 nashuka pale ambiance napiga kimoja na bia 3 naenda lala fofofo kila jumamosi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…