Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Ndio Maana mimi natembeza fito kwa wake za watu mwanzo mwisho sababu ya kuchapiwa

NILIVYOCHAPIWA !!

Kipindi namuoa mkewangu tulijikumbusha ya utotoni mi nikamsimulia yakwangu yeye akaniambia jinsi alivoanza kufanya mapenzi na akaniambia jamaa aliemtoa bikra na tayari jamaa alishaoa kiukweli niliumia sana kusimliwa hivyo rakini kwakua ilikua simulizi niliyazoea maumivu yakapita

Basi mwaka 2019 Mkewangu kulitokea msiba kwao akaenda baasi akiwa huko msbani niliona kuna namba ilinitumia meseji ya (nitumie pesa) nikajua atakua mkewangu nikiipiga haipokelewi hiyo namba basi nikakaushia

Baada ya siku alirudi mama watoto wangu akaanzisha stor anasema et nilipokua nyumbani nlicheka kaka wa baba mkubwa alikutumia meseji ya kukuomba hela ukaanza kumpigia kila mara tukacheka pale yakaisha

Tumekaa kama wiki mbili simu ya mkewangu haikatiki kukaa mikononi nikajua hapa kuna kitu hakiko sawa alienda kuoga nikaichukua simu nikaikuta ile namba aliokua anadai ni yakakaake wa baba mkubwa ni jamaa ananitafunia mkewangu

MESEJI NILIZOKUTA ZINASEMA

1.Mpenzi wangu tangia nikupasue bkra pale kwenye boma la nyumba uliniroga nakukumbuka mpaka leo

2.Kumbe bado unautamu uleule wala ujabadilika

Yaani kfupi mkewangu amet**mwba sana na jamaa alivoenda msbani huko nilimbana alikiri kutembea na jamaa aliemtoaga bikra kipindi cha uschana niliumia maumivu ambayo yalikua yananifanya nishinde na njaa kila wakati ilinichukua miez mitatu.
Bado mnaishi pamoja?
 
Ndio Maana mimi natembeza fito kwa wake za watu mwanzo mwisho sababu ya kuchapiwa

NILIVYOCHAPIWA !!

Kipindi namuoa mkewangu tulijikumbusha ya utotoni mi nikamsimulia yakwangu yeye akaniambia jinsi alivoanza kufanya mapenzi na akaniambia jamaa aliemtoa bikra na tayari jamaa alishaoa kiukweli niliumia sana kusimliwa hivyo rakini kwakua ilikua simulizi niliyazoea maumivu yakapita

Basi mwaka 2019 Mkewangu kulitokea msiba kwao akaenda baasi akiwa huko msbani niliona kuna namba ilinitumia meseji ya (nitumie pesa) nikajua atakua mkewangu nikiipiga haipokelewi hiyo namba basi nikakaushia

Baada ya siku alirudi mama watoto wangu akaanzisha stor anasema et nilipokua nyumbani nlicheka kaka wa baba mkubwa alikutumia meseji ya kukuomba hela ukaanza kumpigia kila mara tukacheka pale yakaisha

Tumekaa kama wiki mbili simu ya mkewangu haikatiki kukaa mikononi nikajua hapa kuna kitu hakiko sawa alienda kuoga nikaichukua simu nikaikuta ile namba aliokua anadai ni yakakaake wa baba mkubwa ni jamaa ananitafunia mkewangu

MESEJI NILIZOKUTA ZINASEMA

1.Mpenzi wangu tangia nikupasue bkra pale kwenye boma la nyumba uliniroga nakukumbuka mpaka leo

2.Kumbe bado unautamu uleule wala ujabadilika

Yaani kfupi mkewangu amet**mwba sana na jamaa alivoenda msbani huko nilimbana alikiri kutembea na jamaa aliemtoaga bikra kipindi cha uschana niliumia maumivu ambayo yalikua yananifanya nishinde na njaa kila wakati ilinichukua miez mitatu.
Kwahyo bdo inaishi nae sio kma mnaishi aisee wee jamaa unafaa kuishi motoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndio Maana mimi natembeza fito kwa wake za watu mwanzo mwisho sababu ya kuchapiwa

NILIVYOCHAPIWA !!

Kipindi namuoa mkewangu tulijikumbusha ya utotoni mi nikamsimulia yakwangu yeye akaniambia jinsi alivoanza kufanya mapenzi na akaniambia jamaa aliemtoa bikra na tayari jamaa alishaoa kiukweli niliumia sana kusimliwa hivyo rakini kwakua ilikua simulizi niliyazoea maumivu yakapita

Basi mwaka 2019 Mkewangu kulitokea msiba kwao akaenda baasi akiwa huko msbani niliona kuna namba ilinitumia meseji ya (nitumie pesa) nikajua atakua mkewangu nikiipiga haipokelewi hiyo namba basi nikakaushia

Baada ya siku alirudi mama watoto wangu akaanzisha stor anasema et nilipokua nyumbani nlicheka kaka wa baba mkubwa alikutumia meseji ya kukuomba hela ukaanza kumpigia kila mara tukacheka pale yakaisha

Tumekaa kama wiki mbili simu ya mkewangu haikatiki kukaa mikononi nikajua hapa kuna kitu hakiko sawa alienda kuoga nikaichukua simu nikaikuta ile namba aliokua anadai ni yakakaake wa baba mkubwa ni jamaa ananitafunia mkewangu

MESEJI NILIZOKUTA ZINASEMA

1.Mpenzi wangu tangia nikupasue bkra pale kwenye boma la nyumba uliniroga nakukumbuka mpaka leo

2.Kumbe bado unautamu uleule wala ujabadilika

Yaani kfupi mkewangu amet**mwba sana na jamaa alivoenda msbani huko nilimbana alikiri kutembea na jamaa aliemtoaga bikra kipindi cha uschana niliumia maumivu ambayo yalikua yananifanya nishinde na njaa kila wakati ilinichukua miez mitatu.
hapo ndio ule usemi wa jokajeusi unakuja kichwani mwanamke wa kuoa awe na bikra
 
Mwaka 2017 nilikuwa na pisi moja pande za kaskazini huku mahusiano yalikuwa na kitu kama mwaka hivi wakati nilipo pigwa na kitu kizito pisi alikuwa mkoa wa jirani nyumbani kwao kwa muda wa miezi sita hivi mawasiano yetu yalikuwa mazuri tu.

Sasa bhana baada ya kumkosa mama la mama kwa kipindi mwisho nikaridhia kumtumia nauli aje home nipunguze kipururu cha almost miezi sita.

Ilikuwa siku ya jumapili siku ambayo mama alianza safari mapema asubuhi sababu ni mikoa ya jirani tu angetumia kama masaa 5 au 6 kufika hapa town. Basi buana kwa shauku kubwa nikanatizama saa yangu nikijua soon mama anakuwa hapa huku msg za hapa na pale kujua mwendelezo wa safari na kumjulia hali..

Baada ya muda kweli mtoto akafika akaniambia anapitia nyumbani kwa dada yake ili atuwe mizigo alafu mishale ya saa kumi nitakuwa kifuani nikihema kama dume la simba lililo Kamata windo baada ya mwendo mrefu wa kukimbiza nikasema ewaaaa!!😂

Saa kumi nayo sio mbali ikafika nikampigia mtoto simu akasema anajiandaa nusu saa ikapita nikapiga Simu inaita bila majibu baada ya kupiga mara mbili akanijibu kwa msg subiri nikaingia wasiwasi Kwamba nimedanganywa ila nikapiga moyo konde saa kumi na moja nikapiga tena haipokelewi nikapiga tena na tena bila majibu ...

Basi bhana baada ya kupiga mara nyingi 😭😭😭😭...jamani nasikia kulia nikikumbuka...baada ya kupiga simu snaa mwisho ikapokelewa ikiwa IPO hewani tu hakuna mtu anajibu nikawa nasikiliza kwa makini ni pisi yangu inakazwa asee😭😭😭😭😭😭eeeeh mungu mtoto anagugumia kwa uchungu na utamu..kweli nilipigwa na bumbuazi nikashidwa nikate au nizime au nife asee kumbe msela ndio aliyepokea simu yangu bila manzi kujua.....yani sitakaa nisahau ile siku ya jumapili saa mbili usiku mchizi wangu akaja nifata ghetto tukale nyama nilifika bar siwezi kunywa hata maji mtoto alikuja nitafuta badae akiniambia alishidwa kuja sababu dada alitoka akamwacha home...nikamwambia we ni MARAYA SANA mwisho tukaachana bhna ila niliteseka kinyama...
Wanaume ndomaana tunakufa mapema
 
Baada ya mkeo kukiri.

Safari zilizofata za yeye kwenda kwao, Kuna msiba, kusalimia Wazazi ...


Umekua unazimudu vipi?? Zipo? Aliamua mwenyewe kuzisitisha au vipi Mkuu?.

Nakama anaenda, unajisikiaje ?.
Tulielewana kua hakuna kukanyaga kwao kama atashindwa tuachane basi akaniomba msamaha ilikua kesi kubwa sana yaliisha maisha yanaendelea

Bora niliejua nachapiwa kuna ambao hawajui kuna mambo makubwa sana wanafanyiwa wake zao mimi binafsi siwez kutongoza mschana napiga wake za watu tu
 
Tulielewana kua hakuna kukanyaga kwao kama atashindwa tuachane basi akaniomba msamaha ilikua kesi kubwa sana yaliisha maisha yanaendelea

Bora niliejua nachapiwa kuna ambao hawajui kuna mambo makubwa sana wanafanyiwa wake zao mimi binafsi siwez kutongoza mschana napiga wake za watu tu
Hata Mimi napiga wake za watu .


Kwahiyo Mkuu mkeo hajawah Tena kanyaga kwao.

Hapo ulimuweza maana hapo akiwaza Ndoa , akiwaza alikukosea, anajikuta Kwao hakanyagi .

Mkeo ni mzuri yaan akajaa mapaja, makalio na sura nzuri??
 
Tuendelee kustuana , akikujibu, nishtue

Kuna kitu tutajifunza Kwa jamaa.


Ila Mimi siku nikijua anatombwa nje., Ndo bye bye.
Mwanamke aki-cheat the only solution ni kumuacha.

Usipomuacha:
• Atajua hata akichepuka tena hauwezi kumfanya chochote
• Atajua anakumudu
• Zaidi, atakuona boya

Dawa ya mwanamke anayekusaliti ni kuachana naye.

By the way; mpaka mwanamke anakusaliti siyo kitendo cha bahati mbaya.

Wanawake hawa-cheat kwa bahati mbaya kama wanaume.

Akikusaliti ujue ameshafanya risk assessment akawa tayari kwa lolote.

Kamwe usimsamehe mwanamke anaye-cheat.
 
Back
Top Bottom