Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Tukutane hapa wale tuliowahi "Kuchapiwa", ni kitu gani kilikuuma zaidi na ulichukua maamuzi gani kwa mwenzako?

Moja kati ya mambo yanayoumiza ni hili

By the way Ahsante mungu nlijifunza

Dear future wife
Usije nka kuuliza yule mwanaume mbona kama siwaelewi afu et unijibu “ni rafiki yangu”


Oleee wakooo
 
Kuna jamaa alinichapia mwanamke wangu ambae nilikua nampenda sana mbaya zaidi alimfanya kitu ambayo mpaka akawa ameharibu mfumo wa uzazi wa binti... Sasa siku nikitia mguu mkoa anaokaa jamaa hakuna rangi ataacha kuitambua machoni mwake kutoka kwangu... He must regret that worse fuqn karma...
Kuaribu mfumo wa uzazi kivipi mkuu. Mpaka akaharibu.
 
Hajajua kuwa kutembea na mke wa mtu ni risk sana, watu wanamachungu na wake zao utatembea na mke wa mtu mwenye mke hata hataki kukufumania,

Ila tu Cha moto utakiona kama sio kurogwa Kuna kitekwa na kuuwawa!

Binamu yangu alifanywa kitu kibaya sana akiwa anafanya kazi tabora,
Mkuu ilikuwaje.
 
Mtoa mada umenikumbusha 2019 mwezi 6 mshikaji wangu toka nitoke alinichapia demu wangu sitokuja kusahau maumivu yake nikaja kumchana demu akanijibu ""dohhh kwaiyo unafanyaje[emoji23][emoji23][emoji23] nilioshiwa nguvu yani ata kujuta amna kanikazia sura nilimpiga kichwa mpaka akapasuka damu mwili mzima jamaa yangu nae baada ya kujua kuwa nimejua eti ndio anajifanya kuja kuomba msamaha nikajifanya nimemsamehe nikamfungia kazi dada yake wa tumbo moja nikamuimbisha mpaka akajaa siku anakuja gheto nikawashitua wana kama wa 2 ivi tukampiga mtungo mmoja heavy weight jamaa akapata taarfa sasa ikawa vita ya kuwindana na mapanga.
Ulizngua dada wa watu alikosa nn
 
Emotional control ni Jambo la muhimu sana maana ukigundua manzi ako analiwa unaweza kuua mtu for the pussy. Nimejiwekea kanuni moja kwamba kama mwanamke amenipea mimi mbususu basi anaweza mpea mwanaume mwingine atakaye mshawishi.

I'm ready kwa lolote kiasi kwamba hata nikigundua analiwa na njema nyingine mahusiano yanaishia hapo. Huu msimamo umezaliwa baada ya kupitia kikaango cha Moto cha mapenzi.

Cheat on her beforeshe cheat on you first,be a man🤗🤗😆.
 
Emotional control ni Jambo la muhimu sana maana ukigundua manzi ako analiwa unaweza kuua mtu for the pussy. Nimejiwekea kanuni moja kwamba kama mwanamke amenipea mimi mbususu basi anaweza mpea mwanaume mwingine atakaye mshawishi.

I'm ready kwa lolote kiasi kwamba hata nikigundua analiwa na njema nyingine mahusiano yanaishia hapo. Huu msimamo umezaliwa baada ya kupitia kikaango cha Moto cha mapenzi.

Cheat on her beforeshe cheat on you first,be a man🤗🤗😆.
Kikaango hiko kilikuaje mkuu?
 
Moja kati ya mambo yanayoumiza ni hili

By the way Ahsante mungu nlijifunza

Dear future wife
Usije nka kuuliza yule mwanaume mbona kama siwaelewi afu et unijibu “ni rafiki yangu”


Oleee wakooo
Hivi hairuhusiwi kua na rafiki ukishaolewa.?
 
Asante kwa JF humu tunaongea bila kujuana hata katika vitu ambavyo huwa hatupendi kuviweka wazi kama kuchapiwa maana ni aibu, humu hatujuani inakuwa rahisi kuweka mambo wazi...

Kisa changu
Nilimuaga ex girlfriend wangu kwamba nimepata safari ya kikazi nitakuawa nje ya mji kwa muda flani kuna tajiri anataka nimwekee makabati nyumba anayofanyia finishing anayokaribia kuhamia.

Nilifika huko lakini nilikuta kuna wenzangu wengine kwa hiyo kazi iliisha mapema , niliwahi kurudi nikiwa nimeshalipwa na tajiri kama laki 3 hivi, nilifika kwangu kuweka begi na kisha nikaanza safari ya kwenda kwa ex wangu, nilifika kwake nilimkuta hayupo, nikaanza safari ya kurudi nikaona wacha nipate chakula lodge flani ya karibu.

Wakati nakula wali kuku kwa jeuri ya pesa nilizopata huko kibaruani nikaona kuna gari Rav 4 imekuja pale lodge ikapaki sehemu ambayo naweza kuiona.

Kuna jamaa alishuka akaingia ndani kwenye lodge nadhani alienda kuulizia chumba na kufanya malipo, muda huo nipo kwenye angle ya ku-observe mengi, nikaona jamaa katoka nje karibu na mlango wa kuingia lodge katoa simu mfukoni anaitumia, itakuwa alikuwa anatuma meseji, baada ya sekunde chache kuna binti akashuka kwenye Rav 4 kisha akaanza kumfata jamaa alipo, LA HAULA! Sikuamini macho yangu, aliyeshuka alikuwa ni dem wangu jamani.

Nilipatwa na mshangao kumuona dem wangu japo yeye hakuweza kuniona, kiukweli alikuwa amependeza hiyo siku alienda salon, nikawa siamini amini nachokiona, yaani dem wangu kaingia lodge na hiyo njemba, aaaaahhh!! Maumivu makali mno!

Hata msosi ukageuka mchungu, nililipa na kuondoka hapo hapo, siwezi kuanzisha varanga kwa demu ambaye kwa maamuzi yake kakubali kuliwa.

Nilifika gheto nampigia lakini simu inaita tu, hapa nikawa navuta picha game imeiva, huo moto anaopelekewa huko si wa kitoto, niliumia sana kwakweli.

Nilienda pharmacy ya karibu kununua sleeping pills (vidonge vya usingizi) maana mawazo yalinisonga sana, nilirudi gheto nikagonga vidonge viwili nikajilaza kitandani huku naendelea kuwaza lakini usingizi ukanichukua.

Kesho yake naamka kama kawaida ila daah!! Nikikumbuka kilichotokea jana yaani maumivu tu, nikacheki simu nikaona ex alinipigia kama mara tatu hivi na kuacha meseji kwamba alikuwa kanipigia sipokei, ila muda alionipigia hapo nilicheki ilikuwa ni baada ya masaa mawili na nusu hivi.

Nilimwambia aje gheto, ile kafika akaanza kujifanya kamaindi sikupokea simu alizopiga akaanza ku-act kujifanya alikuwa kapatwa wasiwasi kudhani labda nilipatwa na tatizo, hapohapo akaanza kujifanya anajichekesha kufurahi nimewahi kurudi na kanimisi sana, mimi namchora tu.

Nikaanza kumpiga maswali pale moja kwa moja kwamba jana aliyeshuka nae kwenye Rav 4 ni nani, akaanza kama kujistukia hivi akawa anakazia kwamba alikuwa kwake labda nimemfananisha, nilimnasa kibao taaa!!! Cha nguvu ili ajue nipo serious, akaanza kulia, nilimkazia ajibu swali hayo machozi yake hata ajaze ndoo nahitaji majibu, akawa anaendelea ubishi kusingizia namuonea na kwamba sio yeye, nilimnasa tena vibao vingine viwili vya nguvu zaidi na vilisikika aisee...

Akaanza kukiri kweli ni yeye na kuniomba msamaha kwamba hatarudia, haikuwa nia yake, bla bla bla,,,,, nilifungua mlango nikamwambia its over!, hatuwezi kuendelea ....

Ilikuwa shughuli nyingine kuanza kumtoa, alipiga sana magoti kuniomba msamaha, namuinua asimame yeye anapiga magoti na kunukamata miguu, ilibidi nguvu ya ziada itumike sambamba na vibao vitatu vya zaida, alijifuta futa machozi, nikamtoa mpaka getini nikafunga geti nikarudi chumbani kwangu, uzuri siku hio nilikuwa mpangaji peke yangu niliebaki.

Nilikuwa na maumivu mengi moyoni lakini kwenda kazini na mazoezi kulisaidia kimtindo, sikutaka kujifungia ndani, maumivu yalikuwepo pindi muda wa kulala ukifika nikianza kuwaza nilivyochapiwa, daaah!! yaani nikaanza kuwaza jinsi ex alivyokuwa anapelekewa moto kuna siku nilitoa chozi kama mtoto mdogo.

Hali hiyo ilidumu kwa wiki hivi ila baada ya hapo niliweza kupata nguvu ya ku-move on mdogo mdogo.

Baada ya miezi miwili niliweza kujitosa upya kuanza mahusiano mapya, mahusiano mapya yalinisaidia kwa kiasi kikubwa kupooza maumivu na hatimae nikasahau kabisa.


KISASI:
Kwa sasa huyo jamaa alienichapia ndie aliemuoa ex wangu lakini cha ajabu mpaka leo ex wangu ni kama analazimisha mawasiliano, huwa hapitwi kunitumia meseji za Pasaka njema, Iddi njema, n.k. ila namjua kabisa anachotaka ni ukaribu tu.

Kuna siku nilikutana nae nikampanga twende kwangu alikubali kabisa na nilipanga nimtafune nilipize kisasi kwa huyo jamaa alienichapia na hata nipige picha au video nimtumie ili naye aumie lakini nafsi ilisita, niliahirisha na kumwambia ex lakini ajabu yeye alijaribu kunibembeleza twende akijua kabisa kinachoweza kutokea lakini nilisimamia msimamo wangu nikazuga tutapanga siku nyingine.

Ni kwamba huyu ex muda wowote nikimtaka anaweza kunipa mzigo lakini sioni ambacho nitafaidika nacho, nimekubali yaishe tu maisha yaendelee.
Kuhusu maisha Huwa Kuna nguvu Gani maana Kwa nini MUNGU aliamua kukuonyesha yote hayo..... guest umkamateee...
 
Kabla hujaamua kuoa kabisa yani kumchukua mazima mtoto wa mtu ni muhimu kujiandaa kisaikolojia kuna milima na mabonde.. usiwe mtu wa kununa nuna, kukasilika, wala mwepesi wa kuacha utaacha wangapi utaoa na kuacha mpaka ifikie idadi ya mwisho yani wanawake wa4 na bado usipate mkamilifu mwisho utakuwa mzinzi na mdhinifu wa kutupa.. kuchapiwa ni siri ya ndani.. nasisitiza tena kuchapiwa ni siri ya ndani hata umpate mwanamke bikra au mwanaume asiewajua wanawake bado utaibiwa tu muhimu kukubali kila hali utakayoipitia usifikili kumuacha huyu ndio njia ya usalama wako. UTAKUWA UNAJIDANGANYA MY FRENDI.. kwa hali ya sasa ni ngumu kupata wa kwako labda ununue sex toys ndio zitakuwa za kwako pekee lkn sio viumbe hai.. [ maino mkali wa fasihi ] ninaendelea kukusisitiza wachana na mapenzi isiwe kipaumbele utakonda bule..
 
kama hukumkuta bikra .....don't mind
Kwamba akiwa bikra ndo hutofvckiwa na wahuni? Meeeen! Labda wale mabikra 72 wanao haidiwa magaidi wa kujitoa muhanga ila sio hawa wa hapa duniani tunakula, kunywa, na kula nao pamoja..
 
Asante kwa JF humu tunaongea bila kujuana hata katika vitu ambavyo huwa hatupendi kuviweka wazi kama kuchapiwa maana ni aibu, humu hatujuani inakuwa rahisi kuweka mambo wazi...

Kisa changu
Nilimuaga ex girlfriend wangu kwamba nimepata safari ya kikazi nitakuawa nje ya mji kwa muda flani kuna tajiri anataka nimwekee makabati nyumba anayofanyia finishing anayokaribia kuhamia.

Nilifika huko lakini nilikuta kuna wenzangu wengine kwa hiyo kazi iliisha mapema , niliwahi kurudi nikiwa nimeshalipwa na tajiri kama laki 3 hivi, nilifika kwangu kuweka begi na kisha nikaanza safari ya kwenda kwa ex wangu, nilifika kwake nilimkuta hayupo, nikaanza safari ya kurudi nikaona wacha nipate chakula lodge flani ya karibu.

Wakati nakula wali kuku kwa jeuri ya pesa nilizopata huko kibaruani nikaona kuna gari Rav 4 imekuja pale lodge ikapaki sehemu ambayo naweza kuiona.

Kuna jamaa alishuka akaingia ndani kwenye lodge nadhani alienda kuulizia chumba na kufanya malipo, muda huo nipo kwenye angle ya ku-observe mengi, nikaona jamaa katoka nje karibu na mlango wa kuingia lodge katoa simu mfukoni anaitumia, itakuwa alikuwa anatuma meseji, baada ya sekunde chache kuna binti akashuka kwenye Rav 4 kisha akaanza kumfata jamaa alipo, LA HAULA! Sikuamini macho yangu, aliyeshuka alikuwa ni dem wangu jamani.

Nilipatwa na mshangao kumuona dem wangu japo yeye hakuweza kuniona, kiukweli alikuwa amependeza hiyo siku alienda salon, nikawa siamini amini nachokiona, yaani dem wangu kaingia lodge na hiyo njemba, aaaaahhh!! Maumivu makali mno!

Hata msosi ukageuka mchungu, nililipa na kuondoka hapo hapo, siwezi kuanzisha varanga kwa demu ambaye kwa maamuzi yake kakubali kuliwa.

Nilifika gheto nampigia lakini simu inaita tu, hapa nikawa navuta picha game imeiva, huo moto anaopelekewa huko si wa kitoto, niliumia sana kwakweli.

Nilienda pharmacy ya karibu kununua sleeping pills (vidonge vya usingizi) maana mawazo yalinisonga sana, nilirudi gheto nikagonga vidonge viwili nikajilaza kitandani huku naendelea kuwaza lakini usingizi ukanichukua.

Kesho yake naamka kama kawaida ila daah!! Nikikumbuka kilichotokea jana yaani maumivu tu, nikacheki simu nikaona ex alinipigia kama mara tatu hivi na kuacha meseji kwamba alikuwa kanipigia sipokei, ila muda alionipigia hapo nilicheki ilikuwa ni baada ya masaa mawili na nusu hivi.

Nilimwambia aje gheto, ile kafika akaanza kujifanya kamaindi sikupokea simu alizopiga akaanza ku-act kujifanya alikuwa kapatwa wasiwasi kudhani labda nilipatwa na tatizo, hapohapo akaanza kujifanya anajichekesha kufurahi nimewahi kurudi na kanimisi sana, mimi namchora tu.

Nikaanza kumpiga maswali pale moja kwa moja kwamba jana aliyeshuka nae kwenye Rav 4 ni nani, akaanza kama kujistukia hivi akawa anakazia kwamba alikuwa kwake labda nimemfananisha, nilimnasa kibao taaa!!! Cha nguvu ili ajue nipo serious, akaanza kulia, nilimkazia ajibu swali hayo machozi yake hata ajaze ndoo nahitaji majibu, akawa anaendelea ubishi kusingizia namuonea na kwamba sio yeye, nilimnasa tena vibao vingine viwili vya nguvu zaidi na vilisikika aisee...

Akaanza kukiri kweli ni yeye na kuniomba msamaha kwamba hatarudia, haikuwa nia yake, bla bla bla,,,,, nilifungua mlango nikamwambia its over!, hatuwezi kuendelea ....

Ilikuwa shughuli nyingine kuanza kumtoa, alipiga sana magoti kuniomba msamaha, namuinua asimame yeye anapiga magoti na kunukamata miguu, ilibidi nguvu ya ziada itumike sambamba na vibao vitatu vya zaida, alijifuta futa machozi, nikamtoa mpaka getini nikafunga geti nikarudi chumbani kwangu, uzuri siku hio nilikuwa mpangaji peke yangu niliebaki.

Nilikuwa na maumivu mengi moyoni lakini kwenda kazini na mazoezi kulisaidia kimtindo, sikutaka kujifungia ndani, maumivu yalikuwepo pindi muda wa kulala ukifika nikianza kuwaza nilivyochapiwa, daaah!! yaani nikaanza kuwaza jinsi ex alivyokuwa anapelekewa moto kuna siku nilitoa chozi kama mtoto mdogo.

Hali hiyo ilidumu kwa wiki hivi ila baada ya hapo niliweza kupata nguvu ya ku-move on mdogo mdogo.

Baada ya miezi miwili niliweza kujitosa upya kuanza mahusiano mapya, mahusiano mapya yalinisaidia kwa kiasi kikubwa kupooza maumivu na hatimae nikasahau kabisa.


KISASI:
Kwa sasa huyo jamaa alienichapia ndie aliemuoa ex wangu lakini cha ajabu mpaka leo ex wangu ni kama analazimisha mawasiliano, huwa hapitwi kunitumia meseji za Pasaka njema, Iddi njema, n.k. ila namjua kabisa anachotaka ni ukaribu tu.

Kuna siku nilikutana nae nikampanga twende kwangu alikubali kabisa na nilipanga nimtafune nilipize kisasi kwa huyo jamaa alienichapia na hata nipige picha au video nimtumie ili naye aumie lakini nafsi ilisita, niliahirisha na kumwambia ex lakini ajabu yeye alijaribu kunibembeleza twende akijua kabisa kinachoweza kutokea lakini nilisimamia msimamo wangu nikazuga tutapanga siku nyingine.

Ni kwamba huyu ex muda wowote nikimtaka anaweza kunipa mzigo lakini sioni ambacho nitafaidika nacho, nimekubali yaishe tu maisha yaendelee.
Aiseeh [emoji3525]
 
Back
Top Bottom