Dah hii tam Sana,vp kuusu sendo za kike kwa bei ya jumla na n mitaa ip maarufu San kwa uuzaji wa jumla
Shukrani sana. BarikiwaVya kkoo ipo mitaa mingi kuna kwa mchina
Na kuna kituo cha msimbazi polisi mbele si kuna sheli sasa mtaa unaofata, utaona tu wamemwaga viatu nje
Ingia yale maduka ya chini
Kuna yeboyebo nazo zinalipa kweli jumla unakuta 1,300 kwa 1,700 wewe unauza 3,000 kwa 3,500
Hizi zinapatikana upande wa china plaza si kuna kanisa, sasa mitaa miwili inayofatia (kituo cha pili cha mwendokasi) kama unatokea muhimbili
Sendo zingine
Manzese ni zile kama za kimasai jumla inategemea na piece unazochukua kuna za 3000 kwa 4,500 (manzese darajani upande wa kulia kama unatokea ubungo) kuna mafundi kabisa hapo hapo
Pia jengo la Machinga Complex nyuma wanatengeneza hizo sendo za kimasai. Sijui bei yake kama ni reasonableVya kkoo ipo mitaa mingi kuna kwa mchina
Na kuna kituo cha msimbazi polisi mbele si kuna sheli sasa mtaa unaofata, utaona tu wamemwaga viatu nje
Ingia yale maduka ya chini
Kuna yeboyebo nazo zinalipa kweli jumla unakuta 1,300 kwa 1,700 wewe unauza 3,000 kwa 3,500
Hizi zinapatikana upande wa china plaza si kuna kanisa, sasa mitaa miwili inayofatia (kituo cha pili cha mwendokasi) kama unatokea muhimbili
Sendo zingine
Manzese ni zile kama za kimasai jumla inategemea na piece unazochukua kuna za 3000 kwa 4,500 (manzese darajani upande wa kulia kama unatokea ubungo) kuna mafundi kabisa hapo hapo
Wazo zuri..Hello wapendwa[emoji112]
Wale tunaopenda kujiajiri inatuhusu hii
Ideas tofauti[emoji1370]
Kama hauna mtaji
Unaweza kwenda kkoo ukachukua vitu kwenye maduka ya jumla ukapanga kwenye barabara then unapeleka hela ya bidhaa au kama hakijachukuliwa unarudisha, ili uaminiwe unaacha simu yako (sio maduka yote wanakubali) let say vibanio vya mapazia maua ya kupamba (ukizingatia ni msimu wa sikukuu) jumla unakuta vibanio vya mapazia 3,500 dukani reja wanauza 10,000 wewe unauza 8,000 kwa 9,000 unachukua faida yako unapeleka hela yao dukani ya bidhaa husika
Nyingine[emoji1370]
Unaweza kwenda kwenye maduka ya jumla ukapiga picha labda vyombo vya kisasa ukavipost kwenye social media (status/ig) mteja akikuagiza unamwambia atoe kwanza advance then ukimpelekea anamalizia ile advance yake ndio unaenda kununulia
Letsay vikombe vya udongo vizuri vya kisasa vinauzwa dozen 22,000 hadi 14,000 wewe unaongeza 44,000 au hata 40,000
Nyingine[emoji1370]
Kushonesha mapazia mashuka foronya
Vitambaa vya mapazia quality 11,000 hadi 10,000
Pazia la mita 2-5
Full
Unachukua mita 4 nzito au mita 3 unashonesha yanatoka mawili
Nyepesi nzuri bei 8,000 unakata mita 2 (16,000)
Ufundi pazia moja 2,000 kwa 3,000 kuweka urembo inategemea na unaouhitaji kuna wa 2,00@each/300 kwa 5,00
Kuuza unamuuzia mtu set kuanzia 85,000 to 150,000 tena ukitaka hela zaidi unatengenezA na curtains so dirisha moja unauza 250,000 (unachukua picha kweenye mitandao unapost
View attachment 1649438
View attachment 1649439
View attachment 1649440
View attachment 1649441
View attachment 1649442
View attachment 1649443
Foronya mita 6,000 kwa 10,000
Mita moja inaweza kutoa foronya hadi 10 it depends na size ya mito
Foronya za mito midogo kushona 1,000@each mito mikubwa 1,500 kwa 2,000 zipu 200 tu
View attachment 1649445
View attachment 1649446
Mashuka mita 5000/6,000 kwa 10,000
Shuka unakata mita 3 shuka linachukua mita 2 na foronya mbili kwenye mita moja
Kushona huko huko kkoo 2,000 kwa 3,000
Jumla kwenye 20,000
Wewe unauza 35,000
View attachment 1649447
Nyingine[emoji1370]
Kkoo kwenye maduka ya jumla ya lotions nywele (yanakopark daladala za mabibo manzese, opposite na msimbazi polisi) unaenda saa10 alfajir kuna watu wanakua hapo kila siku wanauza bidhaa kwa jumla, lotion ambazo zinazouzwa 15,000 unapata kwa 5,000 tu dawa za nywele, closures, nywele og na fake, muhimu kuwahi huo muda na uwe umechangamka
Nyingine[emoji1370]
Tafuta 50,000 au 100,000
Nenda karume alfajiri kunakuwa na mnada wa nguo za mabalo wanazofungua, lengesha macho yako vizuri
Unaweza kupata jeans kali zimesimama[emoji1362] kwa 3,000/5,000 nguo nzuri hadi buku tu tena zingine mpya
Mapochi mazuriiii 5,000 la 10,000 quality kabisaa hilo
Ukishapata mzigo wako unazipost kwenye social media mteja akihitaji unampelekea, au unapanga barabarani ushuru 2,000 tu au tafuta kitambulisho
Cha wamachinga 20,000 kwa mwaka
Tafuta sehem yenye watu kama kituo cha daladala, au unazipeleka kwenye minada kama bagamoyo wananunua vitu balaa
Nyingine[emoji1370]
Tafuta laki moja
Nenda Tandika vitambaa hadi 1,500 unanunua mita 2 kwa mita 3 unashona na mitandio yake, ufundi ukishona nguo nyingi 3,000 tu au 2,000 unaweza ukatumia 7,000 wewe ukaiuza hiyo nguo kwa 15,000 hadi 20,000 kushona huko huko tandika wanakushonea (madira tu au magauni simple mikono ndio unaweka mbwembwe) kama madela ya kkoo mengi wanashona hayatoki mombasa
NiceHello wapendwa[emoji112]
Wale tunaopenda kujiajiri inatuhusu hii
Ideas tofauti[emoji1370]
Kama hauna mtaji
Unaweza kwenda kkoo ukachukua vitu kwenye maduka ya jumla ukapanga kwenye barabara then unapeleka hela ya bidhaa au kama hakijachukuliwa unarudisha, ili uaminiwe unaacha simu yako (sio maduka yote wanakubali) let say vibanio vya mapazia maua ya kupamba (ukizingatia ni msimu wa sikukuu) jumla unakuta vibanio vya mapazia 3,500 dukani reja wanauza 10,000 wewe unauza 8,000 kwa 9,000 unachukua faida yako unapeleka hela yao dukani ya bidhaa husika
Nyingine[emoji1370]
Unaweza kwenda kwenye maduka ya jumla ukapiga picha labda vyombo vya kisasa ukavipost kwenye social media (status/ig) mteja akikuagiza unamwambia atoe kwanza advance then ukimpelekea anamalizia ile advance yake ndio unaenda kununulia
Letsay vikombe vya udongo vizuri vya kisasa vinauzwa dozen 22,000 hadi 14,000 wewe unaongeza 44,000 au hata 40,000
Nyingine[emoji1370]
Kushonesha mapazia mashuka foronya
Vitambaa vya mapazia quality 11,000 hadi 10,000
Pazia la mita 2-5
Full
Unachukua mita 4 nzito au mita 3 unashonesha yanatoka mawili
Nyepesi nzuri bei 8,000 unakata mita 2 (16,000)
Ufundi pazia moja 2,000 kwa 3,000 kuweka urembo inategemea na unaouhitaji kuna wa 2,00@each/300 kwa 5,00
Kuuza unamuuzia mtu set kuanzia 85,000 to 150,000 tena ukitaka hela zaidi unatengenezA na curtains so dirisha moja unauza 250,000 (unachukua picha kweenye mitandao unapost
View attachment 1649438
View attachment 1649439
View attachment 1649440
View attachment 1649441
View attachment 1649442
View attachment 1649443
Foronya mita 6,000 kwa 10,000
Mita moja inaweza kutoa foronya hadi 10 it depends na size ya mito
Foronya za mito midogo kushona 1,000@each mito mikubwa 1,500 kwa 2,000 zipu 200 tu
View attachment 1649445
View attachment 1649446
Mashuka mita 5000/6,000 kwa 10,000
Shuka unakata mita 3 shuka linachukua mita 2 na foronya mbili kwenye mita moja
Kushona huko huko kkoo 2,000 kwa 3,000
Jumla kwenye 20,000
Wewe unauza 35,000
View attachment 1649447
Nyingine[emoji1370]
Kkoo kwenye maduka ya jumla ya lotions nywele (yanakopark daladala za mabibo manzese, opposite na msimbazi polisi) unaenda saa10 alfajir kuna watu wanakua hapo kila siku wanauza bidhaa kwa jumla, lotion ambazo zinazouzwa 15,000 unapata kwa 5,000 tu dawa za nywele, closures, nywele og na fake, muhimu kuwahi huo muda na uwe umechangamka
Nyingine[emoji1370]
Tafuta 50,000 au 100,000
Nenda karume alfajiri kunakuwa na mnada wa nguo za mabalo wanazofungua, lengesha macho yako vizuri
Unaweza kupata jeans kali zimesimama[emoji1362] kwa 3,000/5,000 nguo nzuri hadi buku tu tena zingine mpya
Mapochi mazuriiii 5,000 la 10,000 quality kabisaa hilo
Ukishapata mzigo wako unazipost kwenye social media mteja akihitaji unampelekea, au unapanga barabarani ushuru 2,000 tu au tafuta kitambulisho
Cha wamachinga 20,000 kwa mwaka
Tafuta sehem yenye watu kama kituo cha daladala, au unazipeleka kwenye minada kama bagamoyo wananunua vitu balaa
Nyingine[emoji1370]
Tafuta laki moja
Nenda Tandika vitambaa hadi 1,500 unanunua mita 2 kwa mita 3 unashona na mitandio yake, ufundi ukishona nguo nyingi 3,000 tu au 2,000 unaweza ukatumia 7,000 wewe ukaiuza hiyo nguo kwa 15,000 hadi 20,000 kushona huko huko tandika wanakushonea (madira tu au magauni simple mikono ndio unaweka mbwembwe) kama madela ya kkoo mengi wanashona hayatoki mombasa
Hizo idea naona umelenga watu wa dar tu ..sisi wa huku mikoani tukae pembeni
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mwamba nakubali sana hustle zako. Nyuzi hizi tunakutana sana aiseeHizo idea naona umelenga watu wa dar tu ..sisi wa huku mikoani tukae pembeni
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Sasa basi ungesema hii ni fursa kwa watu wa dar, anyway tuendelee kupambana.Wa mikoani wenyewe baadhi wanafata vitu vya dar
Acha tu mkuu mambo bado hayaja sattle bado tunazidi kutafuta fursa, tuendelee kupambana.Mwamba nakubali sana hustle zako. Nyuzi hizi tunakutana sana aisee
Dada kati ya kule Ilala sokoni na Karume, wapi kuna nguo nzuri za mtumba kwa bei rahisi? na ni nguo gani za kike zinauzika sana kati ya magauni au skin jeans? AsanteWa mikoani wenyewe baadhi wanafata vitu vya dar
ThanxIlala sokoni
Ukiwahi saa10 alfajir unakuta wanafungua mabalo unachagua unafua fresh tu unapiga pasi vizuriii tena hadi mapya unaweza kupata
Dada kati ya kule Ilala sokoni na Karume, wapi kuna nguo nzuri za mtumba kwa bei rahisi? na ni nguo gani za kike zinauzika sana kati ya magauni au skin jeans? Asante
asante sasa dada, ngoja nifanye hii nione na mtaji kama laki 3 hivi wa kutest hali siunafaa?Ilala sokoni saa 10 hadi saa12 alfajiri kila siku wanafungua mabalo ya nguo (jeans magauni nguo mchanganyiko) nguo hadi 1,000/500 nzuri tu
Nguo zinazouzika sana it depends na wateja wako kama watu wa makazini basi magauni sana, jeans pia zinauzika ziwe tu nzuri na bei inayoendana na hali ya nchi[emoji1][emoji1] affordable
Blouse pia, shifon nzuri nzuri ukiwahi asubuhi sana unakuta nguo nzuriii blouse unanunua hata jero na nzuri hatari wewe usiuzie tamaa, uza 5,000 au 3,000 tu
2,500 ni faida kubwa sana hapo ukiuza blouse kumi unafaida ya 25,000 per day (sio kila siku)
Mapochi pia
Kumbe yanapatikana ya mtumba pia?Ilala sokoni
Ukiwahi saa10 alfajir unakuta wanafungua mabalo unachagua unafua fresh tu unapiga pasi vizuriii tena hadi mapya unaweza kupata