King Shaat
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 863
- 835
Habari wakuu! Poleni na majukumu ya kila siku.
Katika games za Android/OS ninazozikubali ni QuizUp. Ni game inayohusisha topics nyingi sana na za aina mbalimbali. Topic yeyote ile inayokuvutia utaikuta QuizUp.
Namna ya kucheza ni rahisi. Chagua topic, halafu chagua mpinzani wako. Round ziko 6 na moja ya Bonus yenye maksi 40. Kila round na swali moja na majibu yake hapo chini, ukipatia jibu kwa haraka zaidi unapata maksi 20 kamili, jinsi unavyozidi kuchelewa kujibu maksi nazo zinapungua (unapewa sekunde 10 kujibu swali).
Kwa round ya kwanza mpaka ya sita ni maksi 20 na bonus round ni maksi 40.
Ni game zuri linalokupatia fursa (pale utakapopata nafasi) ya kuchangamsha akili huku unajifunza kidogo kidogo.
Karibu kule ukipata nafasi, utanikuta kwa jina hili hili la hapa JF.
Katika games za Android/OS ninazozikubali ni QuizUp. Ni game inayohusisha topics nyingi sana na za aina mbalimbali. Topic yeyote ile inayokuvutia utaikuta QuizUp.
Namna ya kucheza ni rahisi. Chagua topic, halafu chagua mpinzani wako. Round ziko 6 na moja ya Bonus yenye maksi 40. Kila round na swali moja na majibu yake hapo chini, ukipatia jibu kwa haraka zaidi unapata maksi 20 kamili, jinsi unavyozidi kuchelewa kujibu maksi nazo zinapungua (unapewa sekunde 10 kujibu swali).
Kwa round ya kwanza mpaka ya sita ni maksi 20 na bonus round ni maksi 40.
Ni game zuri linalokupatia fursa (pale utakapopata nafasi) ya kuchangamsha akili huku unajifunza kidogo kidogo.
Karibu kule ukipata nafasi, utanikuta kwa jina hili hili la hapa JF.