mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Duli unafanya nini kwenye uzi wa pork?Acha njaa.
Kuona Manguruwe mitamaa inakumwagika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duli unafanya nini kwenye uzi wa pork?Acha njaa.
Kuona Manguruwe mitamaa inakumwagika.
Acha kunirushia.Duli unafanya nini kwenye uzi wa pork?
Ijmaa siku ya kujitakasa na kwenda mbele za Allah.Duli unafanya nini kwenye uzi wa pork?
Kwani Prof. Janabi yeye anasemaje??Hello
Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa
Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo
Nikaanza na chapati
View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto
View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
Mnapenda za kichawi?Naona unakuka ushibe utuandalie story za kutisha kama za binti aliyeolewa na sele
Mbona anakulaga kekiKwani Prof. Janabi yeye anasemaje??
timu kataa NDOA, imejizatiti kwa kweli,..kuhakikisha hawaoi...Una hadi kisukumio cha chapati duh
Wasipooa tutawaoatimu kataa NDOA, imejizatiti kwa kweli,..kuhakikisha hawaoi...
😁😁😁😁😁 uwiii kama nawaonaAngesukumia ata kwenye jaba, enzi zangu kabla sijao nilitest kupika chapati magetoni na masela tulisukumia kwenye mfuniko wa jaba na chupa ya Pepsi aloo machapati yalikuwa mazito afu mbichi tuliarisha mno
Ni mzozo kwakweli😀😀😁😁😁😁😁 uwiii kama nawaona
Ndio zilete kwa wingi mkuuMnapenda za kichawi?
Dah hizi chapati sizitaki, zina mafuta mno ila mdudu nitamla tuHello
Leo ilikuwa siku ngumu sana kwangu nikawa nimerudi home nimechoka sijao ni bachela nikawaza chakula usiku uhu nikakosa
Nikakumbuka nina ngano na kitimoto nikaona niandae chap nile usiku nisije umwa vidonda vya tumbo
Nikaanza na chapati
View attachment 3203781
Nilipo maliza nika ingia sasa kwenye kitomoto
View attachment 3203782
Baada ya hapo nika andaa now nakula karibuni
View attachment 3203783
sio hivyo tu huyu hata vikao vyetu hatakiwi kuhudhuriaMwanaume ukishamiliki kibao cha chapati/ kibao cha kukunia nazi/ gunia la mkaa...... Hauoi wewe
Mwanaume unapata wapi muda wa kusukuma chapati? Kuwa na jusukumio nayo ni issue ingineAcha zako basi