Uchaguzi 2020 Tulia Ackson: 2020 nitagombea

Uchaguzi 2020 Tulia Ackson: 2020 nitagombea

Labda aende akachukue jimbo linalomilikiwa na S.H.Amon kwa sasa, pale Tukuyu. Vinginevyo atatafuta vita na Sugu pale Mbeya mjini.
Acha awe mbunge tu akalie kiti pale mjengoni. Yule aliyepo ana roho mbaya kama ya shetani. Simpendi kabisa!
 
Mbona wengi walishajua kwamba anaandaliwa kugombea jimbo huko Mbeya.. Na imeenda mbele zaidi kwamba anaandaliwa kuwa spika wa bunge lijalo 2020-2025..
Halafu job ataenda wap
 
Acha awe mbunge tu akalie kiti pale mjengoni. Yule aliyepo ana roho mbaya kama ya shetani. Simpendi kabisa!
Nimekaa najiuliza. Hivi ikitokea uchaguzi ujao akapewa mtu mwingine kitu cha Uspika, halafu huyu wa sasa akarudi kama Mbunge wa kawaida, hivi atajisikiaje ?
 
Halafu job ataenda wap

Atadanganywa na kauwaziri ndo atakuwa ameshatemwa vile.. Na inawezekana hata uwaziri asiupate, maana mfumo wa jiwe kutawala ni tofauti na watangulizi wake.. Ashakum si matusi lakini itakuwa kama condom iliyoisha tumika tena..
 
Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.

"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson

View attachment 1185297
TENA ANAFAA SANA AGOMBEE URAIS 2020.
 
Ameyasema hayo alipokuwa anahojiwa katika kipindi cha East Africa Breakfast Leo kinachorushwa na kituo cha redio cha East Africa.

"Mwenyezi Mungu akitupa Uhai 2020 nitagombea, ila nitagombea wapi? naomba watulie kwa sababu chama chetu kina utaratibu wake ila nashukuru ninavyoonekana nina uwezo wa kugombea maeneo mengi."Naibu Spika @TuliaAckson

View attachment 1185297
Mbeya sio wajinga
 
Mimi ni mwanamke lakini huyu daaah dume sio dume bora hata alivyoondoa yale madread angalao lakini bado no aisee
Naunga mkono hoja
tapatalk_1553854447458.jpeg
 
Beutifull with Brain Tulia Mimi Ntakupa kura yangu ukigombea ata niwe wapi ntarudi Nyumbani Mbeya Kukupigia Kura
Beautiful?? Tulia??? Haha haa kweli beauty lies in the eyes of beer_holder. [emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom