Nimegundua Tulia anaogopwa kweli kweli, kama kachmeka si aachwe atashindwa kwa kura kwanini anaogopwa hivi? kila mtu Tulia Tulia aachwe atashindwa kama kachemkaHuyu mdada wa hovyo sana,Lkn na yeye huwa anafikiri anajua kiongozi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimegundua Tulia anaogopwa kweli kweli, kama kachmeka si aachwe atashindwa kwa kura kwanini anaogopwa hivi? kila mtu Tulia Tulia aachwe atashindwa kama kachemkaHuyu mdada wa hovyo sana,Lkn na yeye huwa anafikiri anajua kiongozi.
Umeandika ukweli mtupu, we just wasting our time, hata aingie nani hana cha kufanyaTuna wabunge wasio na sifa za kuwepo Bungeni ndio maana hawawezi kusimama Sheria za Bunge
Waliingizwa kiujanja ujanja
So wanaishi kwa fadhila tu
Hawawezi kumkosoa Tulia Ackson anachofanya
Hakuna anayemuogopaNimegundua Tulia anaogopwa kweli kweli, kama kachmeka si aachwe atashindwa kwa kura kwanini anaogopwa hivi? kila mtu Tulia Tulia aachwe atashindwa kama kachemka
Wanaona Ila Hawana Kauli, Hata Kama Sheria Haisemi Lolote Alitakiwa Aachie Kwanza
ni wachache mno wataokua na busara kuwacha kitiAmechukua fomu ya kugombea kiti cha Spika pasipo kujiuzulu U Naibu Spika kwa lengo la kuwa akishindwa aendelee kuwa Naibu Spika, Huu ndio unaoitwa uroho wa madaraka wenyewe.
Anasema, “kwa mujibu wa katiba waliotajwa kutogombea uspika ni Mwaziri na watu wenye madaraka ya umma”, kwani cheo cha Naibu Spika sio madaraka ya umma? vile vile anasema, “hata kama nimechukua fomu si kwamba kiti cha Naibu Spika kiko wazi, hapana”. Ina maana anazuia wengine kugombea U Naibu Spika hadi ajihakikishie ameupata U Spika.
Sawa pamoja na kuwa ni haki yake na sheria haimzuii kufanya hivyo, angeonekana ni mtu mwenye busara na hekima kama angesema, kama ni kuwatumikia wananchi kwa hadhi niliyonayo inatosha sana, lkn kwa kitendo alichofanya machoni pa watu anaonekana ni mtu dhaifu na mwenye tamaa.
Hapa mnajichanganya.
Tulia amechukua fomu kuomba kupendekezwa na chama chake kugombea uspika. Wabunge ndio wanaochagua spika sio chama. Hata wanachama wa vyama vingine wana nafasi ya kugombea uspika kwa mujibu wa taratibu za vyama vyao.
Kwa hiyo atajiuzulu unaibu baada ya kupitishwa na chama chake kama ikiwa hivyo.
Hakuna ubaya kwa mtu yoyote to aim higher, kitu cha muhimu ni kufuata katiba, sheria, taratibu na kanuni.
Huyu ni mwalimu wangu wa sheria pale UDSM, kiukweli kwenye hili, mwalimu wangu amechemsha!. Alipaswa ajiuzulu kwanza u naibu spika ndipo agombee u spika!. Mimi huu nimeuita ubatili
Je, wajua haramu isipoharimishwa inageuka halali? Na batili isipobatilishwa inageuka halali. Je, tuhalalishe ubatili huu kwa mhimili wetu wa Bunge?
Wanabodi, Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kama kawaida yangu, kila nipatapo nafasi, huwa natoa makala elimishi za kisiasa, kiuchumi na kijamii ziitwazo "Kwa Maslahi ya Taifa" kwa lengo la uzalendo kwa nchi yangu, kuisaidia nchi yetu, serikali yetu, viongozi wetu na...www.jamiiforums.com
This is not right
Sio haki yake na sheria inazuia, ila wanaopaswa kumzuia Tulia, wamenyamazia!.
Ili mtu atumie busara, kitu cha kwanza ni hiyo busara yanyewe kwanza iwepo kisha ndipo itumike!. Kama hiyo busara yenyewe haipo, kwa mtu kama huyo unategemea nini?.
P
Huwezi jua inawezekana katumwa,mbona alimnanga Kizungu boss wake wa zamani kwa kujiamini sana.Ana akili lakini kakosa maarifa na weledi
Hiyo kazi unayoomba kwa Mwajiri mpya huwa unamjulisha Mwajiri wako wa Zamani?Tulia hafai kabisa kuwa Speaker, lakini sio sahihi kusema kwamba ana tamaa ya madaraka kwasababu tu hajajiuzulu unaibu speaker.
Kutaka ajiuzulu kwanza unaibu speaker ndipo agombee kiti cha speaker sio reasonable. Hiyo ni sawa na kutaka kila anayefanya application ya kazi nyingine aiache kwanza kazi aliyonayo. In real life, no one does that!
Hiyo kazi unayoomba kwa Mwajiri mpya huwa unamjulisha Mwajiri wako wa Zamani?
sasa kelele za nini wakati atashindwa?Hakuna anayemuogopa