Tulia Ackson ana uroho wa Madaraka

Huyu mdada wa hovyo sana,Lkn na yeye huwa anafikiri anajua kiongozi.
Nimegundua Tulia anaogopwa kweli kweli, kama kachmeka si aachwe atashindwa kwa kura kwanini anaogopwa hivi? kila mtu Tulia Tulia aachwe atashindwa kama kachemka
 
Tuna wabunge wasio na sifa za kuwepo Bungeni ndio maana hawawezi kusimama Sheria za Bunge
Waliingizwa kiujanja ujanja
So wanaishi kwa fadhila tu
Hawawezi kumkosoa Tulia Ackson anachofanya
 
Tuna wabunge wasio na sifa za kuwepo Bungeni ndio maana hawawezi kusimama Sheria za Bunge
Waliingizwa kiujanja ujanja
So wanaishi kwa fadhila tu
Hawawezi kumkosoa Tulia Ackson anachofanya
Umeandika ukweli mtupu, we just wasting our time, hata aingie nani hana cha kufanya
 
Nimegundua Tulia anaogopwa kweli kweli, kama kachmeka si aachwe atashindwa kwa kura kwanini anaogopwa hivi? kila mtu Tulia Tulia aachwe atashindwa kama kachemka
Hakuna anayemuogopa
 
Wanaona Ila Hawana Kauli, Hata Kama Sheria Haisemi Lolote Alitakiwa Aachie Kwanza


Wanaogopa kupiga kelele wanadhani ni maagizo kutoka juu lakini hawafurahishwi na Tulia kutojiuzulu
 
ni wachache mno wataokua na busara kuwacha kiti
 

 

Mayalla, have you really decided to jump on this bandwagon? Deputy speaker doesn’t fit the definition of a civil servant at all. This is very astonishing because you at least know a thing or two about law!
 
Hiyo kazi unayoomba kwa Mwajiri mpya huwa unamjulisha Mwajiri wako wa Zamani?
 
Hiyo kazi unayoomba kwa Mwajiri mpya huwa unamjulisha Mwajiri wako wa Zamani?

Kwanini unadhani swali lako ni relevant?

Wapo employers wanaotangaza kazi ambazo zipo open to internal and external candidates. Kwa muktadha huu, Bunge ni classic example. Kiti cha speaker (when vacant) kiko open to internal and external candidates!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…