Tulia Ackson anatoa Tuzo kwa Waandishi wa Habari kama nani, Ili Iweje?

Tulia Ackson anatoa Tuzo kwa Waandishi wa Habari kama nani, Ili Iweje?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Na kwamba baada ya Tuzo hizi Zinazodaiwa kuambatana Rushwa ya hela, kuna Mwandishi yeyote hapo Mbeya atakayeandika Ukweli mchungu kuhusu huyu Mbunge?

Ni lazima Mamlaka ikemee kitendo cha Kila Mtu kuwapa Tuzo Waandishi wa Habari, ikiwa kama kuna aliyeguswa na Umahiri wa Wanahabari basi atumie vyama vya Waandishi wenyewe, Vinginevyo mifereji ya rushwa itazidi kuongezeka .

Ikiwa hivyo, Keshokutwa Erythrocyte naye akiandaa Tuzo kwa Waandishi wa Habari asitokee mtu wa kutaka kuzuia, hatuwezi kuendesha nchi kiholela kwa matakwa na njama za ubinafsi, tutasababisha vurugu.

Screenshot_2024-08-02-14-02-33-1.png
 
Upepo wa tuzo kipindi hiki ni mkubwa sana. Dinamarious anagawa, ukienda Ths nao wanagawa zao, ukienda sijui global youth wanagawa. Mra interperurship awards. Mara nn sijui kama ulivyokuaga upepo wa marathon tu nao utapita
 
Upepo wa tuzo kipindi hiki ni mkubwa sana. Dinamarious anagawa, ukienda Ths nao wanagawa zao, ukienda sijui global youth wanagawa. Mra interperurship awards. Mara nn sijui kama ulivyokuaga upepo wa marathon tu nao utapita
Halafu haijulikani hata vigezo wanavyotumia
 
Na kwamba baada ya Tuzo hizi (Zinazodaiwa kuambatana Rushwa ya hela), kuna Mwandishi yeyote hapo Mbeya atakayeandika Ukweli mchungu kuhusu huyu Mbunge?

Ni lazima Mamlaka ikemee kitendo cha Kila Mtu kuwapa Tuzo Waandishi wa Habari, ikiwa kama kuna aliyeguswa na Umahiri wa Wanahabari basi atumie vyama vya Waandishi wenyewe, Vinginevyo mifereji ya rushwa itazidi kuongezeka .

Ikiwa hivyo, Keshokutwa Erythrocyte naye akiandaa Tuzo kwa Waandishi wa Habari asitokee mtu wa kutaka kuzuia, hatuwezi kuendesha nchi kiholela kwa matakwa na njama za ubinafsi, tutasababisha vurugu.

View attachment 3059624View attachment 3059626
Tulia ni kiongozi anayeishi kwenye siasa kwa kutanguliza pesa kwanza, hakuna jambo ambalo amewahi kulifanya bila kutanguliza pesa kwa kuwa anajijua hana mvuto wa kisiasa na siasa haijui, kutokujua siasa ndiko kulimfanya aruke majeneza akiamini ndiyo njia ya mvuto.
 
Na kwamba baada ya Tuzo hizi Zinazodaiwa kuambatana Rushwa ya hela, kuna Mwandishi yeyote hapo Mbeya atakayeandika Ukweli mchungu kuhusu huyu Mbunge?

Ni lazima Mamlaka ikemee kitendo cha Kila Mtu kuwapa Tuzo Waandishi wa Habari, ikiwa kama kuna aliyeguswa na Umahiri wa Wanahabari basi atumie vyama vya Waandishi wenyewe, Vinginevyo mifereji ya rushwa itazidi kuongezeka .

Ikiwa hivyo, Keshokutwa Erythrocyte naye akiandaa Tuzo kwa Waandishi wa Habari asitokee mtu wa kutaka kuzuia, hatuwezi kuendesha nchi kiholela kwa matakwa na njama za ubinafsi, tutasababisha vurugu.

Hakuna tuzo anayotoa hapo zaidi ya rushwa huyu ajuza mwenye roho mbaya kama sura yake
 
Na kwamba baada ya Tuzo hizi Zinazodaiwa kuambatana Rushwa ya hela, kuna Mwandishi yeyote hapo Mbeya atakayeandika Ukweli mchungu kuhusu huyu Mbunge?

Ni lazima Mamlaka ikemee kitendo cha Kila Mtu kuwapa Tuzo Waandishi wa Habari, ikiwa kama kuna aliyeguswa na Umahiri wa Wanahabari basi atumie vyama vya Waandishi wenyewe, Vinginevyo mifereji ya rushwa itazidi kuongezeka .

Ikiwa hivyo, Keshokutwa Erythrocyte naye akiandaa Tuzo kwa Waandishi wa Habari asitokee mtu wa kutaka kuzuia, hatuwezi kuendesha nchi kiholela kwa matakwa na njama za ubinafsi, tutasababisha vurugu.

Silly people receiving silly prizes from a silly lady in a silly season.

Waandishi wengi wa habari ni wale wa D2 na mafunzo ya miezi 3 kwenye vyuo mchongo kama Amazon College.

Tulia atawatumia hawa silly reporters kujitangaza mafanikio ya uwongo. Ila kura za October 2025 HATOBOI
 
Back
Top Bottom