Tulia Ackson anatoa Tuzo kwa Waandishi wa Habari kama nani, Ili Iweje?

Tulia Ackson anatoa Tuzo kwa Waandishi wa Habari kama nani, Ili Iweje?

Kwani vitu vingine mkinyamaza mtakosa ugali mezani au?
 
Mamlaka unazolilia si ndo zile unazozikandia kila siku? Tumia sheria ya CHADEMA kuzuia hizo tuzo
 
Ma CHADEMA yanaona wivu tu. Wao kazi yao ni kuwadhulumu waandishi wa habari jasho lao.kama ambavyo ulisikia wale waandishi wa gazeti la Tanzania Daima wakilalamika kudhulumiwa jasho lao. Si unafahamu mmiliki wa Tanzania Daima?
Tutapambana na hiyo rushwa yenu kwa udi na uvumba
 
Inasikitisha lakaini ni ukweli kuwa wanahabari usipowahonga kwa posho na vinywaji basi hutawaona wala hutaongeaa nao. Na story yako haitatangazwa kamwe. Rushwa hutolewa na mabalozi, wanasiasa, vyama vya siasa, makampuni, NGO na kadhalika
 
Na kwamba baada ya Tuzo hizi Zinazodaiwa kuambatana Rushwa ya hela, kuna Mwandishi yeyote hapo Mbeya atakayeandika Ukweli mchungu kuhusu huyu Mbunge?

Ni lazima Mamlaka ikemee kitendo cha Kila Mtu kuwapa Tuzo Waandishi wa Habari, ikiwa kama kuna aliyeguswa na Umahiri wa Wanahabari basi atumie vyama vya Waandishi wenyewe, Vinginevyo mifereji ya rushwa itazidi kuongezeka .

Ikiwa hivyo, Keshokutwa Erythrocyte naye akiandaa Tuzo kwa Waandishi wa Habari asitokee mtu wa kutaka kuzuia, hatuwezi kuendesha nchi kiholela kwa matakwa na njama za ubinafsi, tutasababisha vurugu.

Huyu mwanamama ni kafisadi tu. Tuwe macho kuelekea 2025. Ccm mbeya tafutena mtu mzalendo na muadilifu.
 
Na kwamba baada ya Tuzo hizi Zinazodaiwa kuambatana Rushwa ya hela, kuna Mwandishi yeyote hapo Mbeya atakayeandika Ukweli mchungu kuhusu huyu Mbunge?

Ni lazima Mamlaka ikemee kitendo cha Kila Mtu kuwapa Tuzo Waandishi wa Habari, ikiwa kama kuna aliyeguswa na Umahiri wa Wanahabari basi atumie vyama vya Waandishi wenyewe, Vinginevyo mifereji ya rushwa itazidi kuongezeka .

Ikiwa hivyo, Keshokutwa Erythrocyte naye akiandaa Tuzo kwa Waandishi wa Habari asitokee mtu wa kutaka kuzuia, hatuwezi kuendesha nchi kiholela kwa matakwa na njama za ubinafsi, tutasababisha vurugu.

Anahangaika tu.
 
K
Na kwamba baada ya Tuzo hizi Zinazodaiwa kuambatana Rushwa ya hela, kuna Mwandishi yeyote hapo Mbeya atakayeandika Ukweli mchungu kuhusu huyu Mbunge?

Ni lazima Mamlaka ikemee kitendo cha Kila Mtu kuwapa Tuzo Waandishi wa Habari, ikiwa kama kuna aliyeguswa na Umahiri wa Wanahabari basi atumie vyama vya Waandishi wenyewe, Vinginevyo mifereji ya rushwa itazidi kuongezeka .

Ikiwa hivyo, Keshokutwa Erythrocyte naye akiandaa Tuzo kwa Waandishi wa Habari asitokee mtu wa kutaka kuzuia, hatuwezi kuendesha nchi kiholela kwa matakwa na njama za ubinafsi, tutasababisha vurugu.

Katoa tuzo dina marios sijaona ukihoji ,Tulia Trust ndio imetoa tuzo sio Spika wa Bunge tukufu la JMT na wewe toa ya kwako ukiona inauma
 
Back
Top Bottom