HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
Katoe wewe basi,roho mbaya tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamba utakuwa upo kaunta nadhani ndiyo maana huoni vizuriDuh jamaa utakuwa umezeeka zaidi yangu ajuza ajuza gani yule mbona ni mdada
Kwani Sheria za Nchi zinasemaje?Mamlaka unazolilia si ndo zile unazozikandia kila siku? Tumia sheria ya CHADEMA kuzuia hizo tuzo
Wasimamizi wa hizo sheria ndo wale ambao wewe, mbowe et al mnawabeza kila sikuKwani Sheria za Nchi zinasemaje?
Sasa kama usimamizi wenyewe ndio huu unadhani itakuwaje?Wasimamizi wa hizo sheria ndo wale ambao wewe, mbowe et al mnawabeza kila siku
Ma CHADEMA yanaona wivu tu. Wao kazi yao ni kuwadhulumu waandishi wa habari jasho lao.kama ambavyo ulisikia wale waandishi wa gazeti la Tanzania Daima wakilalamika kudhulumiwa jasho lao. Si unafahamu mmiliki wa Tanzania Daima?Lucas Mwashambwa dadako betina anatoa tuzo za nini eti?
Tutapambana na hiyo rushwa yenu kwa udi na uvumbaMa CHADEMA yanaona wivu tu. Wao kazi yao ni kuwadhulumu waandishi wa habari jasho lao.kama ambavyo ulisikia wale waandishi wa gazeti la Tanzania Daima wakilalamika kudhulumiwa jasho lao. Si unafahamu mmiliki wa Tanzania Daima?
Katoa tuzo kama kama Rais wa mabunge dunian
Wadanganye wajinga wenzioKatoa tuzo kama kama Rais wa mabunge duniani
Huyu mwanamama ni kafisadi tu. Tuwe macho kuelekea 2025. Ccm mbeya tafutena mtu mzalendo na muadilifu.Na kwamba baada ya Tuzo hizi Zinazodaiwa kuambatana Rushwa ya hela, kuna Mwandishi yeyote hapo Mbeya atakayeandika Ukweli mchungu kuhusu huyu Mbunge?
Ni lazima Mamlaka ikemee kitendo cha Kila Mtu kuwapa Tuzo Waandishi wa Habari, ikiwa kama kuna aliyeguswa na Umahiri wa Wanahabari basi atumie vyama vya Waandishi wenyewe, Vinginevyo mifereji ya rushwa itazidi kuongezeka .
Ikiwa hivyo, Keshokutwa Erythrocyte naye akiandaa Tuzo kwa Waandishi wa Habari asitokee mtu wa kutaka kuzuia, hatuwezi kuendesha nchi kiholela kwa matakwa na njama za ubinafsi, tutasababisha vurugu.
😆😆😆😆Huyu mwanamama ni kafisadi tu. Tuwe macho kuelekea 2025. Ccm mbeya tafutena mtu mzalendo na muadilifu.
Anahangaika tu.Na kwamba baada ya Tuzo hizi Zinazodaiwa kuambatana Rushwa ya hela, kuna Mwandishi yeyote hapo Mbeya atakayeandika Ukweli mchungu kuhusu huyu Mbunge?
Ni lazima Mamlaka ikemee kitendo cha Kila Mtu kuwapa Tuzo Waandishi wa Habari, ikiwa kama kuna aliyeguswa na Umahiri wa Wanahabari basi atumie vyama vya Waandishi wenyewe, Vinginevyo mifereji ya rushwa itazidi kuongezeka .
Ikiwa hivyo, Keshokutwa Erythrocyte naye akiandaa Tuzo kwa Waandishi wa Habari asitokee mtu wa kutaka kuzuia, hatuwezi kuendesha nchi kiholela kwa matakwa na njama za ubinafsi, tutasababisha vurugu.
Akemewe na kukatazwaAnahangaika tu.
Wewe ndo mjinga mwanaume unakuaje chawa wa wanaume mwezako ?Wadanganye wajinga wenzio
Katoa tuzo dina marios sijaona ukihoji ,Tulia Trust ndio imetoa tuzo sio Spika wa Bunge tukufu la JMT na wewe toa ya kwako ukiona inaumaNa kwamba baada ya Tuzo hizi Zinazodaiwa kuambatana Rushwa ya hela, kuna Mwandishi yeyote hapo Mbeya atakayeandika Ukweli mchungu kuhusu huyu Mbunge?
Ni lazima Mamlaka ikemee kitendo cha Kila Mtu kuwapa Tuzo Waandishi wa Habari, ikiwa kama kuna aliyeguswa na Umahiri wa Wanahabari basi atumie vyama vya Waandishi wenyewe, Vinginevyo mifereji ya rushwa itazidi kuongezeka .
Ikiwa hivyo, Keshokutwa Erythrocyte naye akiandaa Tuzo kwa Waandishi wa Habari asitokee mtu wa kutaka kuzuia, hatuwezi kuendesha nchi kiholela kwa matakwa na njama za ubinafsi, tutasababisha vurugu.