Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin

Tulia Ackson awataka viongozi wa magharibi kumheshimu. Ni baada ya kushambuliwa kuhusu kukutana na Vladmir Putin

Naona wengi wanampongeza lakini kuna mapungufu mengi sana.
 
M
Ukraine kipondo cha kujitakia. Swali la kijinga sana
Ningekuwa mimi nisingelitolea maelezo. Muulizaji ningemjibu kwa swali Ningemuuliza nilitakiwa nianzie wapi na kwa ulazima gani
i ningemuuliza, who gave you the mandate to ask me that question, Is it written as a law that I should not visit Russia?

Kimsingi nisingelujibu.
 
Back
Top Bottom