Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Tulia Ackson Mbunge wa Mbeya Mjini, Mbeya City FC na Prison ziko kwenye hatari kubwa ya kuporomoka daraja.
Una mikakati gani ya kuzisaidia hizi timu? Tunajua umekuwa unajinasibu kuwa wewe ni shabiki kindakindaki wa Simba. Hatujawahi kuona unatoa amsha amsha kwa timu za jimboni kwako.
Hizi timu zikiteremka sio tu kwamba wana Mbeya tutahuzunika, ila hata wewe itakuathiri kwa namna moja ama nyingine.
Kumbuka ulipita Mbeya kimazabe, wananchi hawakukubali wala hawakuelewi, huu ndio ungekuwa muda wako wa kuwafanyia mambo wapenzi wa kandanda.
Kwanza kwa nafasi yako umeshindwa kuwa approach hata watengeneza pombe wazifadhili timu za jimbo lako?
Una mikakati gani ya kuzisaidia hizi timu? Tunajua umekuwa unajinasibu kuwa wewe ni shabiki kindakindaki wa Simba. Hatujawahi kuona unatoa amsha amsha kwa timu za jimboni kwako.
Hizi timu zikiteremka sio tu kwamba wana Mbeya tutahuzunika, ila hata wewe itakuathiri kwa namna moja ama nyingine.
Kumbuka ulipita Mbeya kimazabe, wananchi hawakukubali wala hawakuelewi, huu ndio ungekuwa muda wako wa kuwafanyia mambo wapenzi wa kandanda.
Kwanza kwa nafasi yako umeshindwa kuwa approach hata watengeneza pombe wazifadhili timu za jimbo lako?