Tulia Ackson: Serikali itafute utaratibu wa mpito wa kuwatazama watu wanaojitolea kwenye kada Mbalimbali ili wapewe kipaumbele kwenye ajira

Tulia Ackson: Serikali itafute utaratibu wa mpito wa kuwatazama watu wanaojitolea kwenye kada Mbalimbali ili wapewe kipaumbele kwenye ajira

Kama huna cha kuwaambia watu heri ya kukaa kimya kuliko maudhi kama haya.
 
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 12, Kikao cha 5, leo Septemba 4, 2023.

Ratiba:
  1. Dua
  2. Hati za kuwasilisha Bungeni
  3. Maswali

Serikali imesema ipo miongozo mbalimbali inayoongoza suala la kujitolea kwa watu wa kada mbalimbali ikiwemo walimu, lakini hakuna utaratibu maalum unaoongoza suala hili. Serikali imeanza mchakato wa kuandaa sheria itakayotoa mwelekeo wa suala hili na pindi ikiwa tayari italetwa Bungeni ili wabunge waweze kutoa maoni.
Haya yamefafanuliwa na Ridhiwani Kikwete, Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakati akijibu swali la Mbunge wa Kiteto, Edward Ole Lekaita aliyetaka kufahamu nia ya Serikali katika kuwezesha walimu wanaojitolea kupata upendeleo kwenye ajira za Serikali pindi zinapotangazwa.

Aidha, Ridhiwani amebainisha kuwa Serikali kwa sasa inahifadhi majina ya watu wote wanaoshiriki michakato ya ajira kwenye kanzi data zake na inaishi kwa mwaka 1. Pia, Spika wa Bunge, Tulia Ackson ameishauri Serikali itafute utaratibu wa mpito wa kuwatazama watu wanaojitolea kwenye kada Mbalimbali ili wapewe kipaumbele kwenye ajira.

Ni jambo jema maana kama mtu hana sifa Kwa nini umpe.nafasi ya kujitolea?

Wekeni utaratibu ambao taasisi zinazowahitaji Ili ziutumie kuwapata then nafasi ikipatikana wapewe kipaombele.

Kwanza ndio staili nzuri ya kupata Watumishi royal maana wanakuwa wanajitolea

Mwisho tabia ya kutoa Ajira za mkataba harafu mnakuja Kuajiri wapya sio sawa
 
Serikali imesema ipo miongozo mbalimbali inayoongoza suala la kujitolea kwa watu wa kada mbalimbali ikiwemo walimu, lakini hakuna utaratibu maalum unaoongoza suala hili. Serikali imeanza mchakato wa kuandaa sheria itakayotoa mwelekeo wa suala hili na pindi ikiwa tayari italetwa Bungeni ili wabunge waweze kutoa maoni.
Upuuzi mtupu, hapa tunahamisha tatizo tu Connection zitahamia kwenye kupata nafasi ya kujitolea, kama ilivyo sasa ajira bila connection haipatokani
 
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 12, Kikao cha 5, leo Septemba 4, 2023.

Ratiba:
  1. Dua
  2. Hati za kuwasilisha Bungeni
  3. Maswali

Serikali imesema ipo miongozo mbalimbali inayoongoza suala la kujitolea kwa watu wa kada mbalimbali ikiwemo walimu, lakini hakuna utaratibu maalum unaoongoza suala hili. Serikali imeanza mchakato wa kuandaa sheria itakayotoa mwelekeo wa suala hili na pindi ikiwa tayari italetwa Bungeni ili wabunge waweze kutoa maoni.
Haya yamefafanuliwa na Ridhiwani Kikwete, Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakati akijibu swali la Mbunge wa Kiteto, Edward Ole Lekaita aliyetaka kufahamu nia ya Serikali katika kuwezesha walimu wanaojitolea kupata upendeleo kwenye ajira za Serikali pindi zinapotangazwa.

Aidha, Ridhiwani amebainisha kuwa Serikali kwa sasa inahifadhi majina ya watu wote wanaoshiriki michakato ya ajira kwenye kanzi data zake na inaishi kwa mwaka 1. Pia, Spika wa Bunge, Tulia Ackson ameishauri Serikali itafute utaratibu wa mpito wa kuwatazama watu wanaojitolea kwenye kada Mbalimbali ili wapewe kipaumbele kwenye ajira.

Mawazo ya Mh. Spika ni mazuri. Ila je, ni utaratibu gani au upi rasmi wa Serikali wa kutoa nafasi hizo za kujitolea vijana? Na nani anaratibu? Isijekuwa ni wa kichamachama au kindugu. Zamani tuliona waliomaliza chuo au form six wanapangiwa straight na serikali[ Azimio la Musoma] vituo vya kujitolea then ndo baadaye wanapata ajira rasmi. Vitu kama hivi vimeachwa,haijulikani utaratibu gani rasmi unatumika kwenye jambo kubwa kama aliloshauri Mh. Spika.
 
Pumbafu zenu mwanangu kajitolea hadi kakata tamaa kaondoka ndio mnaleta sheria. Tulishauri miaka mitano imepita serikali na mashirika yake waache unyonyaji wa nguvu kazi ya vijana kama wanavyofanya sekta binafsi kwa kisingizio eti nafasi za kazi hakuna. Mtu anatumika kwa ufanisi zaidi ya miaka mitatu badala ya kumuajiri anapewa mtu katoka chuo juzi. Sio haki.
Mkuu,uko sahihi.
 
Ripoti ya CAG ya upigaji wa kutisha ndio imeshapotezewa?
 
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 12, Kikao cha 5, leo Septemba 4, 2023.

Ratiba:
  1. Dua
  2. Hati za kuwasilisha Bungeni
  3. Maswali

Serikali imesema ipo miongozo mbalimbali inayoongoza suala la kujitolea kwa watu wa kada mbalimbali ikiwemo walimu, lakini hakuna utaratibu maalum unaoongoza suala hili. Serikali imeanza mchakato wa kuandaa sheria itakayotoa mwelekeo wa suala hili na pindi ikiwa tayari italetwa Bungeni ili wabunge waweze kutoa maoni.
Haya yamefafanuliwa na Ridhiwani Kikwete, Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakati akijibu swali la Mbunge wa Kiteto, Edward Ole Lekaita aliyetaka kufahamu nia ya Serikali katika kuwezesha walimu wanaojitolea kupata upendeleo kwenye ajira za Serikali pindi zinapotangazwa.

Aidha, Ridhiwani amebainisha kuwa Serikali kwa sasa inahifadhi majina ya watu wote wanaoshiriki michakato ya ajira kwenye kanzi data zake na inaishi kwa mwaka 1. Pia, Spika wa Bunge, Tulia Ackson ameishauri Serikali itafute utaratibu wa mpito wa kuwatazama watu wanaojitolea kwenye kada Mbalimbali ili wapewe kipaumbele kwenye ajira.

Kujitolea kitakuwa ni kichaka cha watoto wa wakubwa kupendelewa!! Labda kama hizo nafasi za kujitolea zitolewe kwa wazi kwa kushindanishwa na PSRS ihusike kwenye mchakato huo moja kwa moja! Kujitolea hakuwezi kuwa ni sifa ya kupata ajira hata kama anayejitolea ni kilaza wa kutupwa!!
 
Mwanzoni nikasoma Vibaya nikajua Utaratibu wa serikali ya Mpito...
BTW hii ishu huwa ni ngumu Sana kwa sababu unakuta Wazoefu wengi (Waliojitilea) hawana Connection nyingi kuliko fresher wanaotoka chuo watoto wa vibompa

,Watoto wa wanene unakuta wako 200 na wana rafiki zao zile za "Daddy na Rafiki yangu na yeye Hana ajira"...
Halafu unategemea wewe uliyeko kazini kujitokea utapata kweli

Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 12, Kikao cha 5, leo Septemba 4, 2023.

Ratiba:
  1. Dua
  2. Hati za kuwasilisha Bungeni
  3. Maswali

Serikali imesema ipo miongozo mbalimbali inayoongoza suala la kujitolea kwa watu wa kada mbalimbali ikiwemo walimu, lakini hakuna utaratibu maalum unaoongoza suala hili. Serikali imeanza mchakato wa kuandaa sheria itakayotoa mwelekeo wa suala hili na pindi ikiwa tayari italetwa Bungeni ili wabunge waweze kutoa maoni.
Haya yamefafanuliwa na Ridhiwani Kikwete, Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais, menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora wakati akijibu swali la Mbunge wa Kiteto, Edward Ole Lekaita aliyetaka kufahamu nia ya Serikali katika kuwezesha walimu wanaojitolea kupata upendeleo kwenye ajira za Serikali pindi zinapotangazwa.

Aidha, Ridhiwani amebainisha kuwa Serikali kwa sasa inahifadhi majina ya watu wote wanaoshiriki michakato ya ajira kwenye kanzi data zake na inaishi kwa mwaka 1. Pia, Spika wa Bunge, Tulia Ackson ameishauri Serikali itafute utaratibu wa mpito wa kuwatazama watu wanaojitolea kwenye kada Mbalimbali ili wapewe kipaumbele kwenye ajira.
 
Back
Top Bottom