Tulia na mwanamke ambaye tayari ana vigezo unavyovitaka

Tulia na mwanamke ambaye tayari ana vigezo unavyovitaka

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2020
Posts
9,016
Reaction score
24,650
Unataka mwanamke mwenye kipato tafuta mwanamke ambae tayari ana biashara au ajira.

Unataka mwanamke msomi, tafuta ambae tayari kashasomeshwa na wazazi wake mpaka level ambayo yeye anaitaka

Usiwe mjinga kumwezesha mwanamke kwa matumaini kwamba atakua mkeo pale atakapokua na status anayoitaka.

Malengo yake aliyopanga kuyafanikisha kupitia wewe yakishakamilika atakuacha bila kujali investments na sacrifices zako kwake.

Kwanza unajiandalia mazingira ya kuwa simp, maana hata ukiziona red flags hautaweza kufanya maamuzi magumu ukifikiri investments na sacrifices zako

Oa mwanamke ambae tayari ana vigezo unavyovitaka, epukana na mwanamke ambae utatakiwa kumtengeneza from scratch

Wewe sio baba ake, ilo sio jukumu lako.
 
Umesema unatokea wapi vilee!!! Aisee Kijana Mbona unatema madini namna hii

IMG_20241115_141612_710.jpg
 
Unataka mwanamke mwenye kipato tafuta mwanamke ambae tayari ana biashara au ajira.

Unataka mwanamke msomi, tafuta ambae tayari kashasomeshwa na wazazi wake mpaka level ambayo yeye anaitaka

Usiwe mjinga kumwezesha mwanamke kwa matumaini kwamba atakua mkeo pale atakapokua na status anayoitaka.

Malengo yake aliyopanga kuyafanikisha kupitia wewe yakishakamilika atakuacha bila kujali investments na sacrifices zako kwake.

Kwanza unajiandalia mazingira ya kuwa simp, maana hata ukiziona red flags hautaweza kufanya maamuzi magumu ukifikiri investments na sacrifices zako

Oa mwanamke ambae tayari ana vigezo unavyovitaka, epukana na mwanamke ambae utatakiwa kumtengeneza from scratch

Wewe sio baba ake, ilo sio jukumu lako.
I concur. U r not her father.
Vijana shikeni hili neno ili likawaongoze katika safari yenu ya mapenzi
 
Hii mbaya sana, ushawahi nicost mkuu.Take risks kwa kitu ukitakacho
With so much betrayal, broken vows, lack of clear guidelines and accountability, is relationship worth risk of investing in?
 
Unataka mwanamke mwenye kipato tafuta mwanamke ambae tayari ana biashara au ajira.

Unataka mwanamke msomi, tafuta ambae tayari kashasomeshwa na wazazi wake mpaka level ambayo yeye anaitaka

Usiwe mjinga kumwezesha mwanamke kwa matumaini kwamba atakua mkeo pale atakapokua na status anayoitaka.

Malengo yake aliyopanga kuyafanikisha kupitia wewe yakishakamilika atakuacha bila kujali investments na sacrifices zako kwake.

Kwanza unajiandalia mazingira ya kuwa simp, maana hata ukiziona red flags hautaweza kufanya maamuzi magumu ukifikiri investments na sacrifices zako

Oa mwanamke ambae tayari ana vigezo unavyovitaka, epukana na mwanamke ambae utatakiwa kumtengeneza from scratch

Wewe sio baba ake, ilo sio jukumu lako.
I second this 👆🏻
 
Baba unatemaga madini Sana sema tu vijana wa siku hizi sio waelewa kbsa
 
Wasaliti ni wengi ,umeandika madini Sana ila wanaume wengi kwenye hivi vikao vyetu tunajidai kuwa na misimamo sawa ila baada ya kuachana kila mtu kuwa na shetani lake ni hapo usaliti unaonekana .
 
Wasaliti ni wengi ,umeandika madini Sana ila wanaume wengi kwenye hivi vikao vyetu tunajidai kuwa na misimamo sawa ila baada ya kuachana kila mtu kuwa na shetani lake ni hapo usaliti unaonekana .
Jukumu la mchungaji ni kumfikisha ng'ombe mtoni, ng'ombe asipokunywa maji iyo ni juu yake.

Everyone will face consequences of his decision
 
Unataka mwanamke mwenye kipato tafuta mwanamke ambae tayari ana biashara au ajira.

Unataka mwanamke msomi, tafuta ambae tayari kashasomeshwa na wazazi wake mpaka level ambayo yeye anaitaka

Usiwe mjinga kumwezesha mwanamke kwa matumaini kwamba atakua mkeo pale atakapokua na status anayoitaka.

Malengo yake aliyopanga kuyafanikisha kupitia wewe yakishakamilika atakuacha bila kujali investments na sacrifices zako kwake.

Kwanza unajiandalia mazingira ya kuwa simp, maana hata ukiziona red flags hautaweza kufanya maamuzi magumu ukifikiri investments na sacrifices zako

Oa mwanamke ambae tayari ana vigezo unavyovitaka, epukana na mwanamke ambae utatakiwa kumtengeneza from scratch

Wewe sio baba ake, ilo sio jukumu lako.
huu ni ushauri mzuri sana
 
Back
Top Bottom