Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Hizi sio rushwa ni takrima na uwezeshaji wananchiMgombea ubunge wa ccm Pascal Njaa(Mayala) katika ubora wake wakukipigania chama chake anafurahia Tulia anavyotoa rushwa
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi sio rushwa ni takrima na uwezeshaji wananchiMgombea ubunge wa ccm Pascal Njaa(Mayala) katika ubora wake wakukipigania chama chake anafurahia Tulia anavyotoa rushwa
Mwalimu wako huyo wa The Law of Contract muheshimu.....Naunga mkono hoja, na kwa vile hadi jeneza lilishazikwa, aliyepo ni msukule tuu, Tulia atulie tuli, jeneza lifanye mambo, then yeye atapita bila kupingwa.
P
Nyie vibaraka wa uyo kimbau mbau mnamdanganya ili muendeleee kuchota pesa kwenye hiyo organization ya kisiasaSugu ana street creds lakini huwa kuna muda vijana inabidi walipe kodi za nyumba,wanunue vocha, wakina mama wawe na vikundi vyenye hela na mitaji,watoto waende shule nk nk hapo ndipo anapokuja Tulia kama mbunge sahihi kwa wana Mbeya.
Nimekaa Mbeya kwa muda kidogo nakuona mambo yanavyokwenda kwenye ground kwa kweli suala la Sugu kurudi sio mjadala tena kama Dada Tulia atakuwa mgombea ubunge Mbeya.
Siasa za sasa hivi zinahitaji wanasiasa wanaowainuia wananchi kiuchumi na sio kuwainua kwenye maandamano pekee.
Tulia trust imewatoa vijana mitaani imewapa pikipiki,bajaji,wakina mama wamewezeshwa mitaji na mikopo,madarasa yamejengwa nk
huwajui wana Mbeya wewe. wamekula vya Tulia lakini usijeshangaa kuona wanampa ubunge mtu mwingine.Sugu ana street creds lakini huwa kuna muda vijana inabidi walipe kodi za nyumba,wanunue vocha, wakina mama wawe na vikundi vyenye hela na mitaji,watoto waende shule nk nk hapo ndipo anapokuja Tulia kama mbunge sahihi kwa wana Mbeya.
Nimekaa Mbeya kwa muda kidogo nakuona mambo yanavyokwenda kwenye ground kwa kweli suala la Sugu kurudi sio mjadala tena kama Dada Tulia atakuwa mgombea ubunge Mbeya.
Siasa za sasa hivi zinahitaji wanasiasa wanaowainuia wananchi kiuchumi na sio kuwainua kwenye maandamano pekee.
Tulia trust imewatoa vijana mitaani imewapa pikipiki,bajaji,wakina mama wamewezeshwa mitaji na mikopo,madarasa yamejengwa nk