Tuliahidiwa Jarida la Timu hatujaliona leo tunahamia katika Documentary ya Timu

Tuliahidiwa Jarida la Timu hatujaliona leo tunahamia katika Documentary ya Timu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mkiambiwa mna Matumizi mabaya ya Akili na mnapenda Kukurupuka mnanikasirikia GENTAMYCINE.

Hovyo kabisa....!!
 
Tuliahidiwa Manzoki hatujamuona, leo tunahamia kwa Iddy Chilunda na kina Spana Mkononi akina Mose Phiri na Jean Beleke...!!!

Tukiambiwa sisi ni Mbumbumbu tena ktk Vashienj ya Mangungu tunaleta makasirikio...

Comrade Rage, ajengewe Mnara tu..
20230803_124333.jpg
 
Mkiambiwa mna Matumizi mabaya ya Akili na mnapenda Kukurupuka mnanikasirikia GENTAMYCINE.

Hovyo kabisa....!!
Mtu kaahidi kununua gari la kutembelea Aina ya Vitz. Ghafla unamuona kanunua Prado TX unapiga kelele?
Kwa hadhi yako hili halikupaswa kutoka kwako. Hivi dunia ya Sasa inahitaji majalida kuliko documentary?
 
Back
Top Bottom