Tuliambiwa kuwa kufikia wiki ya pili hali itakuwa hatari hii nayo wiki ya pili inaisha hali iko kawaida kweli media ni kansa ikitumika vibaya

Kwanini tusiamini? Tuamini za Nani DJ makengeza na misukule yake?
Ummy alisema waliopona wanne ,Jiwe kasema waliopona 100 leo tena ummy anasema waliopona 37,sasa hao 100 wa JIWE wapo sehemu gani? Takwimu nazo za katelephone za juzi nazo zikaacha maswali......Acheni MAIGIZO.
 
Ummy alisema waliopona wanne ,Jiwe kasema waliopona 100 leo tena ummy anasema waliopona 37,sasa hao 100 wa JIWE wapo sehemu gani? Takwimu nazo za katelephone za juzi nazo zikaacha maswali......Acheni MAIGIZO.
Kwani takwimu za mtaa wa ufipa zinasemaje
 
Tunaikosoa serikali kwa kutotimiza wajibu lakini sikubaliani na propaganda za WHO na allies wao kama vile wao ndo wana mamlaka juu ya uhai wa kila kitu duniani.
Kwa hili namkubali JPM, hakuna h
aja ya hofu, adui no. Moja wa binadamu ni hofu.

Kwa wale mnaofuatilia elimu ya kiroho shetani anawin zaidi kwa kuwatia watu hofu, hofu ni siraha yake kubwa sana kudisturb equilibrium ya wanadamu
 
Melinda Gates yeye kapanua goli hadi June-July ndo tutapoteana.

Acha tuone.
 
Naona siku hizi kipimo chetu kimehamia Uganda mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…