Tuliambiwa Mama atasema Jambo Nyongeza ya Mishahara, Hadi Leo Bado Tu hilo Jambo Jamani!

Tuliambiwa Mama atasema Jambo Nyongeza ya Mishahara, Hadi Leo Bado Tu hilo Jambo Jamani!

Gai da seboga

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
515
Reaction score
1,015
Katika Mei Mosi ya mwaka huu 2024, Makamu wa Raisi wakati akihutubia akimwakilisha Raisi alisema suala la nyongeza ya mshahara tusubirie Jambo kutoka kwa Raisi mwenyewe.

Tunavyofahamu nyongeza ya mshahara hubadilika katika mshahara wa Mwezi July, sasa mpka tarehe ya leo 14 July hakuna tamko lolote la Mheshimiwa Raisi juu ya Nyongeza ya mshahara, hii inamaansha nini kuwa watumishi ndio tumechinjiwa Baharini?? Au ndio anataka aongeze kimya kimya?

Kiuhalisia hali za kimaisha kwa watumishi wa umma ni mbaya sana, yani maisha yamepanda gharama mara dufu lakini kimshahara ni kile kile hakijabadilika, kwakweli watumishi wamekataa tamaa sana hata morali ya kazi haipo watu wanaenda makazini tu lakini hawana shauku ya kuchapa kazi kweli kweli.

Mheshimiwa Raisi kundi la watumishi wa umma ni kundi muhimu sana kukufanya ukarudi kwenye Ramani zako za Kisiasa 2025, nadhan unajua namna mnavowatumia walimu na askari katika kutimiza ndoto zenu za kuwa madarakani, hivo kuwatelekeza watumishi wa umma kwa kutowaongezea ata mia ni ukatili mkubwa sana, na mjue mnaweka vinyongo kwenye nyoyo za watumishi wa umma siku yakijakuibuka ya kwa majirani Kenya msije mkamtafuta mchawi.
 
Acheni kazi..kwa nini mnakuwa watumwa...
 
Katika Mei Mosi ya mwaka huu 2024, Makamu wa Raisi wakati akihutubia akimwakilisha Raisi alisema suala la nyongeza ya mshahara tusubirie Jambo kutoka kwa Raisi mwenyewe.

Tunavyofahamu nyongeza ya mshahara hubadilika katika mshahara wa Mwezi July, sasa mpka tarehe ya leo 14 July hakuna tamko lolote la Mheshimiwa Raisi juu ya Nyongeza ya mshahara, hii inamaansha nini kuwa watumishi ndio tumechinjiwa Baharini?? Au ndio anataka aongeze kimya kimya?

Kiuhalisia hali za kimaisha kwa watumishi wa umma ni mbaya sana, yani maisha yamepanda gharama mara dufu lakini kimshahara ni kile kile hakijabadilika, kwakweli watumishi wamekataa tamaa sana hata morali ya kazi haipo watu wanaenda makazini tu lakini hawana shauku ya kuchapa kazi kweli kweli.

Mheshimiwa Raisi kundi la watumishi wa umma ni kundi muhimu sana kukufanya ukarudi kwenye Ramani zako za Kisiasa 2025, nadhan unajua namna mnavowatumia walimu na askari katika kutimiza ndoto zenu za kuwa madarakani, hivo kuwatelekeza watumishi wa umma kwa kutowaongezea ata mia ni ukatili mkubwa sana, na mjue mnaweka vinyongo kwenye nyoyo za watumishi wa umma siku yakijakuibuka ya kwa majirani Kenya msije mkamtafuta mchawi.
Kamba zenu zinaishia wapi? Au kamba zenu ni za kufungia viatu?
 
Bado hajasema tulia bado anakusanya maokoto soon atasema
 
Amesha sema kiana ,maana kuna waraka ulitoka ukiwa na ruhusa ya kuwaapandisha daraja wote wanaostahili ,hili litasaidia kupunguza ukali wa maisha
 
Ndugu yangu Mad Max tarehe zetu zinaelekea, jiandae kufufua ule uzi wetu furaha iendelee.
 
Katika Mei Mosi ya mwaka huu 2024, Makamu wa Raisi wakati akihutubia akimwakilisha Raisi alisema suala la nyongeza ya mshahara tusubirie Jambo kutoka kwa Raisi mwenyewe.

Tunavyofahamu nyongeza ya mshahara hubadilika katika mshahara wa Mwezi July, sasa mpka tarehe ya leo 14 July hakuna tamko lolote la Mheshimiwa Raisi juu ya Nyongeza ya mshahara, hii inamaansha nini kuwa watumishi ndio tumechinjiwa Baharini?? Au ndio anataka aongeze kimya kimya?

Kiuhalisia hali za kimaisha kwa watumishi wa umma ni mbaya sana, yani maisha yamepanda gharama mara dufu lakini kimshahara ni kile kile hakijabadilika, kwakweli watumishi wamekataa tamaa sana hata morali ya kazi haipo watu wanaenda makazini tu lakini hawana shauku ya kuchapa kazi kweli kweli.

Mheshimiwa Raisi kundi la watumishi wa umma ni kundi muhimu sana kukufanya ukarudi kwenye Ramani zako za Kisiasa 2025, nadhan unajua namna mnavowatumia walimu na askari katika kutimiza ndoto zenu za kuwa madarakani, hivo kuwatelekeza watumishi wa umma kwa kutowaongezea ata mia ni ukatili mkubwa sana, na mjue mnaweka vinyongo kwenye nyoyo za watumishi wa umma siku yakijakuibuka ya kwa majirani Kenya msije mkamtafuta mchawi.
Nyie msubirini tu mama aseme,mimi "namsubiri YESU arudi,akichelewa nafuata kwa mwampsa"
 
Katika Mei Mosi ya mwaka huu 2024, Makamu wa Raisi wakati akihutubia akimwakilisha Raisi alisema suala la nyongeza ya mshahara tusubirie Jambo kutoka kwa Raisi mwenyewe.

Tunavyofahamu nyongeza ya mshahara hubadilika katika mshahara wa Mwezi July, sasa mpka tarehe ya leo 14 July hakuna tamko lolote la Mheshimiwa Raisi juu ya Nyongeza ya mshahara, hii inamaansha nini kuwa watumishi ndio tumechinjiwa Baharini?? Au ndio anataka aongeze kimya kimya?

Kiuhalisia hali za kimaisha kwa watumishi wa umma ni mbaya sana, yani maisha yamepanda gharama mara dufu lakini kimshahara ni kile kile hakijabadilika, kwakweli watumishi wamekataa tamaa sana hata morali ya kazi haipo watu wanaenda makazini tu lakini hawana shauku ya kuchapa kazi kweli kweli.

Mheshimiwa Raisi kundi la watumishi wa umma ni kundi muhimu sana kukufanya ukarudi kwenye Ramani zako za Kisiasa 2025, nadhan unajua namna mnavowatumia walimu na askari katika kutimiza ndoto zenu za kuwa madarakani, hivo kuwatelekeza watumishi wa umma kwa kutowaongezea ata mia ni ukatili mkubwa sana, na mjue mnaweka vinyongo kwenye nyoyo za watumishi wa umma siku yakijakuibuka ya kwa majirani Kenya msije mkamtafuta mchawi.
piga chini hi yo kazi,ajira no utumwa
 
Katika Mei Mosi ya mwaka huu 2024, Makamu wa Raisi wakati akihutubia akimwakilisha Raisi alisema suala la nyongeza ya mshahara tusubirie Jambo kutoka kwa Raisi mwenyewe.

Tunavyofahamu nyongeza ya mshahara hubadilika katika mshahara wa Mwezi July, sasa mpka tarehe ya leo 14 July hakuna tamko lolote la Mheshimiwa Raisi juu ya Nyongeza ya mshahara, hii inamaansha nini kuwa watumishi ndio tumechinjiwa Baharini?? Au ndio anataka aongeze kimya kimya?

Kiuhalisia hali za kimaisha kwa watumishi wa umma ni mbaya sana, yani maisha yamepanda gharama mara dufu lakini kimshahara ni kile kile hakijabadilika, kwakweli watumishi wamekataa tamaa sana hata morali ya kazi haipo watu wanaenda makazini tu lakini hawana shauku ya kuchapa kazi kweli kweli.

Mheshimiwa Raisi kundi la watumishi wa umma ni kundi muhimu sana kukufanya ukarudi kwenye Ramani zako za Kisiasa 2025, nadhan unajua namna mnavowatumia walimu na askari katika kutimiza ndoto zenu za kuwa madarakani, hivo kuwatelekeza watumishi wa umma kwa kutowaongezea ata mia ni ukatili mkubwa sana, na mjue mnaweka vinyongo kwenye nyoyo za watumishi wa umma siku yakijakuibuka ya kwa majirani Kenya msije mkamtafuta mchawi.
Mishahara itapanda
 
Katika Mei Mosi ya mwaka huu 2024, Makamu wa Raisi wakati akihutubia akimwakilisha Raisi alisema suala la nyongeza ya mshahara tusubirie Jambo kutoka kwa Raisi mwenyewe.

Tunavyofahamu nyongeza ya mshahara hubadilika katika mshahara wa Mwezi July, sasa mpka tarehe ya leo 14 July hakuna tamko lolote la Mheshimiwa Raisi juu ya Nyongeza ya mshahara, hii inamaansha nini kuwa watumishi ndio tumechinjiwa Baharini?? Au ndio anataka aongeze kimya kimya?

Kiuhalisia hali za kimaisha kwa watumishi wa umma ni mbaya sana, yani maisha yamepanda gharama mara dufu lakini kimshahara ni kile kile hakijabadilika, kwakweli watumishi wamekataa tamaa sana hata morali ya kazi haipo watu wanaenda makazini tu lakini hawana shauku ya kuchapa kazi kweli kweli.

Mheshimiwa Raisi kundi la watumishi wa umma ni kundi muhimu sana kukufanya ukarudi kwenye Ramani zako za Kisiasa 2025, nadhan unajua namna mnavowatumia walimu na askari katika kutimiza ndoto zenu za kuwa madarakani, hivo kuwatelekeza watumishi wa umma kwa kutowaongezea ata mia ni ukatili mkubwa sana, na mjue mnaweka vinyongo kwenye nyoyo za watumishi wa umma siku yakijakuibuka ya kwa majirani Kenya msije mkamtafuta mchawi.
Acha ufala wewe kila siku lialia tu.
Acha kazi unatutia aibu.
 
Mama alivyoingia tuu alipandosha mishahara na annual increments kazirejesha kiukweli mama anajitahidi angalau bado mishahara ya watumishi haiakisi maisha ya sasa kutokana na mifumuko ya bei
karejesha annual increment usije ukashangaa huu mwez zisiwepo kabisa,aliyekuwa anaweza haya mambo ni Jakaya Mrisho Kikwete
 
Back
Top Bottom