Wanashangalia sare ya Yanga vs ZESCO lakini wanajisahaulisha ya kwao.Suala la kutolewa na US de Songo linawaumiza kichwa mbumbumbu sana, wakati kwa siye wengine tulijua Mikia atatolewa, huku mitaani hali ni shwari kabisa hawana nyimbo kabisa
Wanashangalia sare ya Yanga vs ZESCO lakini wanajisagaulisha ya kwao.
View attachment 1208231
mikia hamna jipya nyie tulieni hivyo hivyo 😀
Kwahiyo yanga mkitolewa bado mtakua kimataifa sasa c mtatuumiza sana sisi simbaSuala la kutolewa na US de Songo linawaumiza kichwa mbumbumbu sana, wakati kwa siye wengine tulijua Mikia atatolewa, huku mitaani hali ni shwari kabisa hawana nyimbo kabisa
Kwahiyo yanga mkitolewa bado mtakua kimataifa sasa c mtatuumiza sana sisi simba
August 10, 2014 Mikia walikula 3 kwa ZESCO hapo kwa MkapaJana walishangilia sana droo dah wabaya hawa mumiani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huu ulaghai sasaTukiwa tumehakikishiwa tunanzia makundi champions league ya Africa. Sisi wekundu tukasajili wachezaji mafundi wenye uzoefu gafla tukanzia mtoano kwa kukosa wachezaji wenye uzoefu na team ndogo kama ya wamakonde tukatolewa.
Je tulihujumiwa au tulidanganywa na kwanini aliamua kutudanganya lazma tuhoji sisi wekundu.
Sasa kwanini hatumuhoji huyu mtoa habari wetuMbumbumbu mnashikwa masikio sana na yule Kibakuli lopo lopo!!
Kweli nyie ni Mbumbumbu fc aka mikiaTukiwa tumehakikishiwa tunanzia makundi champions league ya Africa. Sisi wekundu tukasajili wachezaji mafundi wenye uzoefu gafla tukanzia mtoano kwa kukosa wachezaji wenye uzoefu na team ndogo kama ya wamakonde tukatolewa.
Je tulihujumiwa au tulidanganywa na kwanini aliamua kutudanganya lazma tuhoji sisi wekundu.
Wanaiona ligi ni ndefu sahizi hadi msimu ujaoSuala la kutolewa na US de Songo linawaumiza kichwa mbumbumbu sana, wakati kwa siye wengine tulijua Mikia atatolewa, huku mitaani hali ni shwari kabisa hawana nyimbo kabisa
subirini mwakani mwezi wa 8Kwahiyo sisi hatuna jipya wakati tunaongoza league tufanyeje sasa tuwe na jipya