Tukiwa tumehakikishiwa tunanzia makundi champions league ya Africa. Sisi wekundu tukasajili wachezaji mafundi wenye uzoefu gafla tukanzia mtoano kwa kukosa wachezaji wenye uzoefu na team ndogo kama ya wamakonde tukatolewa.
Je tulihujumiwa au tulidanganywa na kwanini aliamua kutudanganya lazma tuhoji sisi wekundu.
Je tulihujumiwa au tulidanganywa na kwanini aliamua kutudanganya lazma tuhoji sisi wekundu.