BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Habari wana jukwaa la Histori.
Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Hapo juzi juzi miaka ya nyuma kidogo wazazi , walezi na wakubwa wetu walikuwa wakitusisitizia sana pindi walipo kuwa wakitutuma chumvi dukani usiku ya kwamba tusiseme chumvi ila tusema "DAWA YA MBOGA" .
Kulikuwa na ulazima gani katika hili?
Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Hapo juzi juzi miaka ya nyuma kidogo wazazi , walezi na wakubwa wetu walikuwa wakitusisitizia sana pindi walipo kuwa wakitutuma chumvi dukani usiku ya kwamba tusiseme chumvi ila tusema "DAWA YA MBOGA" .
Kulikuwa na ulazima gani katika hili?