Tuliambiwa tuseme "Dawa ya mboga " tulipo tumwa chumvi usiku

Tuliambiwa tuseme "Dawa ya mboga " tulipo tumwa chumvi usiku

Ni imani tuu na chumvi Ina nguvu sana kiimani kwaiyo iliitwa dawa ya mboga usiku ili kuelezea kuwa ni kwa matumizi ya mboga na sio yakiimani maana chumvi ingewezatumika kujilinda dhidi ya wachawi sasa mwenye duka na waliodukani huwezijua mchawi nani sisi tukiwa wadogo bundi akilia tulirusha jikoni na kuinenea shindwa shindwa na bundi aliondoka

Umenikumbusha mengi Mkuu.. Mambo ya JF haya, Glad to be here.
 
IMG-20210427-WA0002.jpg

Nikiwa darasa la sita mwishoni mwa 80's ilikuja ambulance shuleni kumbe mwalimu mmoja alizidiwa. Wakaibuka wanafunzi wakisema wanyonya damu (hivi Mshana Jr na Bujibuji nadhani walikuwa wanasema mumiani).

Na hivi ndio hali ilivyokuwa..
 
Habari wana jukwaa la Histori.

Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Hapo juzi juzi miaka ya nyuma kidogo wazazi , walezi na wakubwa wetu walikuwa wakitusisitizia sana pindi walipo kuwa wakitutuma chumvi dukani usiku ya kwamba tusiseme chumvi ila tusema "DAWA YA MBOGA" .

Kulikuwa na ulazima gani katika hili?
Baadhi ya maeneo walisema dawa ya jiko
 
Umenikumbusha mengi Mkuu.. Mambo ya JF haya, Glad to be here.
Baadhi ya maeneo ilitumika kwenye matanuri wakati wa kuchoma tofari kwakuwa mtazamo huohuo kwama tanuri lingeweza kubuma lisiungue na kuiva
 
Back
Top Bottom