Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Ni imani tuu na chumvi Ina nguvu sana kiimani kwaiyo iliitwa dawa ya mboga usiku ili kuelezea kuwa ni kwa matumizi ya mboga na sio yakiimani maana chumvi ingewezatumika kujilinda dhidi ya wachawi sasa mwenye duka na waliodukani huwezijua mchawi nani sisi tukiwa wadogo bundi akilia tulirusha jikoni na kuinenea shindwa shindwa na bundi aliondoka
Umenikumbusha mengi Mkuu.. Mambo ya JF haya, Glad to be here.