Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,823
- 3,816
Ni imani tuu na chumvi Ina nguvu sana kiimani kwaiyo iliitwa dawa ya mboga usiku ili kuelezea kuwa ni kwa matumizi ya mboga na sio yakiimani maana chumvi ingewezatumika kujilinda dhidi ya wachawi sasa mwenye duka na waliodukani huwezijua mchawi nani sisi tukiwa wadogo bundi akilia tulirusha jikoni na kuinenea shindwa shindwa na bundi aliondoka
Sisi tuliita magad ya kizungu "mmbala wa ksungu"
Itakuwa majina yanatofautiana mimi nilikuwaga nikiagizwa naambiwa nikaseme dawa ya mbogaIlikuwa DAWA YA JIKO ya mawe?
Wewe mchaga inaonekana umekula sana mboga ya kimakamaka wewe!Sisi tuliita magad ya kizungu "mmbala wa ksungu"
Feel @ home brotherUmenikumbusha mengi Mkuu.. Mambo ya JF haya, Glad to be here.
Feel @ home brother
Hahaha na marekaWewe mchaga inaonekana umekula sana mboga ya kimakamaka wewe!
Hapana sio kanda hiyo kabisaUtakuwa Mjita wewe
Hapana sio kanda hiyo kabisa
Baadhi ya maeneo walisema dawa ya jikoHabari wana jukwaa la Histori.
Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Hapo juzi juzi miaka ya nyuma kidogo wazazi , walezi na wakubwa wetu walikuwa wakitusisitizia sana pindi walipo kuwa wakitutuma chumvi dukani usiku ya kwamba tusiseme chumvi ila tusema "DAWA YA MBOGA" .
Kulikuwa na ulazima gani katika hili?
Baadhi ya maeneo ilitumika kwenye matanuri wakati wa kuchoma tofari kwakuwa mtazamo huohuo kwama tanuri lingeweza kubuma lisiungue na kuivaUmenikumbusha mengi Mkuu.. Mambo ya JF haya, Glad to be here.