Tulichokifanya Simba Jana


Hakuna mtoto anayecheza Premier.Ukishakuwa Premier we ni mtu mzima.
 
Ushabiki ukizidi kipimo huwezi kutofautisha reality na matamanio yako. Ratiba ya mwakani Yanga akichukua ubingwa tayari unayo au ndio unaombea Yanga ikutane na timu hizo?

Wekeni nguvu kuhakikisha mnashiriki makombe ya CAF japo kwa mwendo huu ni baada ya miaka mitano ijayo!
 
simba mtazidi kuwa chini daima tuliwapenda ila mbeya city imewapenda zaidi amen.r.i.p simba
 
Yaani we jamaa umempa za chembe sijui kama ataendelea kuropokwa
 
Nyumbani mbele ya mkweo maji unaita mmma je kule kwao unategemea nn?
Ahidi kwamba kuanzia leo hii wewe hautochangia tena mada zinazohusu mpira kwa kuwa mpira haujui wala haufahamu
 
Simba wafungeni hao mbeya city mpate nafasi ya uwakilishi mwakani.
 
Hureeeeeeeeeee ban yangu imekwishnei nimerudi kwenye form kama hamisi tambwe sasa
 
Yaani heading na content tofauti kabisaaa, haviendani hata kidogoo
 
Kuchezewa kwa Yanga kama watoto wadogo na Etoile ESS hakuondoi ukweli kwamba Simba ni chovu hata hapa nyumbani na haitaweza kushiriki michuano ya CAF mwakani. Vilevile, kufungwa kwa Simba na Mbeya City tena kwa mara ya pili katika msimu huu hakuondoi ukweli kwamba safari ya Yanga iliishia jana na wanaenda Tunisia kupata aibu nyingine kama ile waliyopata Morocco mwaka 1998.

Jambo la msingi ni kila timu katika hizi kongwe kujipanga kila moja kwa level yake mwakani. Simba ijipange kwa ligi ya Bara mwakani na Yanga ijipange kwa ligi ya Bara na CAF Clubs championship mwakani. Kujipanga huku ni kuanzia kusuka vikosi na mabenchi ya ufundi. Hilo kombe la Kagame ni mazoezi tu, lakini ligi zinazolipa kiuchumi ukisonga mbele sana ni za vilabu vya CAF
 

teeh teeh teeeeh................ hata hiyo raundi ya kwanza hawapiti
 

teeh teeh teeeeh................ hata hiyo raundi ya kwanza hawapiti
 


sasa kama mliwasajili wachezaji kwa ajili ya misimu mitatu ijayo kwa nini mnawafukuza wachezaji mkidai hawaisaidii timu wakati lengo lenu sio kushindana kwa sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…