Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Pale kwenye kuelezea Monica umesema sura tu inambeba

Ulimaanisha ilimbeba kumfanya aonekane mkubwa huku ni mdogo au ilimfanya aonekane mzuri?

Najiuliza sababu ulisema sura yake ya baba ila kajaaliwa tako tu
Monica sio myenye kalio na sura mbovu. Uyo ni mwingine
 
Monica ushampata sasa mwise wa nini tena?
 
no 10 tafadhali,
 
Umughaka...Mzee wa mizagazuguano...hongera sana kwa stori zako
 
Miaka hiyo ya 2004 hata nauli ya wanafunzi ilikuwa 50 tu na kitambulisho chako cha shule. hivyo ,100 ya enzi ya Mkapa ilikuwa na thamani kubwa sana. Waliozaliwa juzi JK anatawala hawawezi kujua hilo.
 
Wadau huu uzi una page 103,anayeweza kunipa link ya page ya 50 wadau,natumia kiswaswadu nashindwa kuipata unless niende next kuanzia page 1 mpaka 50
 
Shukran sana mkuu
 
Safi sana mkuu
 
Mods, tunaomba mtusaidie kupanga zile sehemu zinazofuata ili ziwe chini ya kila episode au hata ziwe zote mwisho wa episode ya 1 ili iwe mtu unabonyeza tu kusoma sehemu inayofuata.
YinYang Maxence Melo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…