Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

.
 
Duh,kweli wachawi noma, nahisi wachawi Basi wanaweza hata kuwaingilia kimapenzi watu usiku
 
Uzi umefika mpaka kwenye mavi aloooh si kitoto wachawi shikamooni
 
Kwa wingi wa ng'ombe asiende loliondo.namshauri afike Mzenga mkoa wa pwani atawakuta wasukuma wana hiyo idadi ya mifugo.ukifika mlandizi kuba daladala zinaenda huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…