Walijiconnect na wachawiHII FAMILIA ILIKUA INAPATA TABU SABABU YA MAFALA WAWILI
NDIO MAANA MSHUA ALIKUA ANAYATANDIKA, ANAJUA NI MAPUUZI
Pole sanaNdugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Pole sana mkuu,Ndugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Pole kwa hiyo changamoto.ila nna uhakika hii simulizi yako ndio umeishia hapa.Ni simulizi nzuri hata hivyo.Ndugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Pole sana ndg, tunakuombea kwa Mungu ili urudi umalize huu mtanange wa kupooza afya ya akiliNdugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
😂😂😂 apite shortcut ya miembeni tunachoka jamani
Pole sana MkuuNdugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Kaka Kabwe Katali haijaisha mkuu nitaendelea mpaka mwisho,hapo siyo mwishoPole kwa hiyo changamoto.ila nna uhakika hii simulizi yako ndio umeishia hapa.Ni simulizi nzuri hata hivyo.
Burungutu sandawesu nipo poa kabisa kaka sema ni mambo madogo tu haya.Pole umughaka...sema relax kesho tuendelee na story ya monica..maana inaelekea monika ndie anawavuruga
Burungutu sandawesu nipo poa kabisa kaka sema ni mambo madogo tu haya.
Hii nayo ni hadithi nyingine ya kutungwa inayofanana na ukweliNdugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Mtukutu Mkuu mkuu ngoja waendelee kuamini hivyo,humu ndani siunajua wapumbavu wapo kibao,mimi nitasema kile nilichokipitia miaka kadhaa hapo nyuma nilipoenda kumtembelea Dingi mdogo,sasa kama wanasema natunga ngoja waseme mkuu huwezi kumzuia mtu kusema atakacho!Iwe imetungwa ama kweli Ila Stori Kali mno mwamba kongole Kwa uandishi maridadi kabisa
-Konki Mnoo [emoji91][emoji110]-
Hii nayo ni hadithi nyingine ya kutungwa inayofanana na ukweli