Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Ngokoyaza aka kuku mwekundu, mbitiyaza aka fisi mwekundu haya majamaa hayaumizagi kabisa vichwa kuhusu majina ya watoto 😆😆
 
Umughaka!! umeyakanyaga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kijiji tulihamia mwaka 1996 huo ujinga wa ukikutana na mchawi kabeba mzigo hata kama ni mchana anakubebesha pasipo wewe kufahamu na unamfikishia mpaka kwake pasipo wewe kujua,zaidi na zaidi baadae utahis kama shingo inakuuma tu
 
Asee, tunguri zinakulinda UMUGHAKA

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nimekuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…