Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

[emoji1483]
 
🀣🀣☝️
Haya mkuu, wacha tumsubiri mchawi na mke wake mr and mrs UMUGHAKA.

Maana ndoa ya mkeka aka Jamvi imefungishwa na wamama magwiji wa uchawi.😁
Haya Mura...

hizi nyingine ni stori tu wala zisikuumize ikihole(kichwa)πŸ˜…πŸ˜…

ekebhono maana yake ni pale Kati😎😎

usione wanachati kikurya hawana ishu wanatukana kinomaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kumbe kuwa na mademu wa kichawi raha sana sijasikia Umughaka anaobwa hela ya sabuni sjui losheni,kazi yake ni kuichakaza mbususu ya monica tu

Ulikubalije kupigwa chale kizembe kizembe hvyo,yaan kwa waganga napenda kwenda ila ikifikaga hatua ya chale huwa nahahirisha matibabu
 
Unaroho ngumu daa yaani matukio yote hayo lakini bado mwili unachemka? Duu ndiyo maana Mon alikuwa anakwambia wewe bado mdogo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
UMUGHAKA wewe itakuwa ulikuwa unadinya fisi wakati Monica akila nyama choma kwenye miembe 2[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-T555 using JamiiForums mobile app
Inawezekana kabisa huenda hata yeye Monica alikuwa pale nje pale kwenye muziki [emoji3][emoji3] kule ndani alikuwa na fisi tu na fisi anavyojua kucheka ha ha ha ha
 
Kumbee wew Ni mshirikina mwandamizi ,[emoji57]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…