Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Vp hizo zilizobaki kuna mizagamuano?minyanduano??
 
Oi
 
Sure nimepata kitu hapa.
 
INAWEZEKANA.
itategemea umekulia wapi au una miaka mingapi na umezunguka maeneo gani ili uweze kubaini ukweli huo..
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Safi sana wa nyumbani, nafatilia huu uzi nikiwa home Kemendi. Nilipoona Keisangora nikashituka.
Nimeoa hapo muriba ghokegena kwetu Ni hapo hapo keisangora senta. Halafu wewe badala ya kupiga kazi unashinda kwenye social networks utadhani ndio utalisha wanao.

Tunakumbushana tu usije ukanimaindi Mana ubongo unachukia ukweli Mana unauma na ubongo haupendi ukweli hata siku moja .

Mana kazi ya ubongo Ni kukutoa kwenye maumivu na kukutafutia Raha Basi yaani hauna kazi nyingine kabisa.
 
Jf siku hizi ina vitoto vingi sana asee kwa mfano haka ukute kamezaliwa 1995πŸ€ͺπŸ€ͺ
 

Ndo tatizo la wa Bongo kujiona wajuaji ,hukuwepo, na unabisha,ukiambiwa thibitisha huwezi, Usilazimishe vitu viwe kwa uwezo wako wa kufikiri na viendane na ulipopitia.

Mimi nimesoma shule ya Jeshi elimu ya sekondari, wanafunzi waliotakiwa kuleta wazazi ama Gurdians wakaenda leta washkaji ama rafiki, ama ma bwana zao, wakishtukiwa wale walioletwa wanakula viboko hadharani ama darasani kwa mwanafunzi husika, kwa kupindi cha miaka 4 zaidi ya matukio 20 nimeshuhudia, na wawili kati yao ni macelebrity kwa sasa, mmoja.

Etoo alivyokuja bongo
 
Hiyo ni case tofauti. Wabongo huwa hawajui hata ku reason wanakurupuka sana. Hakuna Mkuu wa Shule ambaye ataleta kesi ya mwanaye ambaye hasomi shuleni tena assembly kushirikisha wanafunzi.hakuna. msiogope kukosoa kwa kuwa jamaa atasusa kuleta story.

Hawezi susa. Sema mtamsaidia anapotunga awe anazingatia uhalisia. Msiwe waoga kwa vitu vya kipuuzi.
 

Kwa mazingira ya kijijini na nature ya maisha ya kota za shule inawezekana vizuri tu.
Tena kihome home Wakurya hatufai unaweza kuchapwa hata soko kuu ya Kariakoo
 
Mkuu umewahi kuishi kwa ndugu yako yeyote?? Au hata kusomea kwake??? Usiwe unabisha vitu ambavyo huvijui Kuna Dada mmoja alikuwa anaishi kwa mjomba Wake aliadhibiwa mbele ya shule kisa tu amedokoa mboga nyumbani? Wakati alikuwa hasomi? Kwa macho yangu

Na sisi wakurya huwa hatuchagui sehem ya kumuadhibia mtu? Umezingua mbele za watu viboko vitatembea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…