Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Acha ujinga.Unasimulia mambo mengi ya kulakula tu.Halafu kutudanganya kwamba kiingilio cha kutazama video ilikuwa Tsh 100/= umeona hatuna akili?Shule za kata zimeanza mwaka 2006 kujengwa.Tsh 100/= ilikuwa na thamani hiyo?Acha ungedere.
Km wajinga ww ndio kiranja wao! Nimeonesha mpira euro 1996 mwananyamala kwa copa ccm pale kwa kiingilio cha shs. 100. Hv vitoto vya big result now vinajidai kila kila vinabisha bisha na havijui llt kumbaf!! [emoji848]
 
nimesoma hadi sehemu ya nne bado hamjamfanya kitu mchawi na juu kabisa mwanzoni ulisema tusichoshane, hii ni kalynda in story! mambo ilibidi yaishie palepale miembeni walipokucheka ulivyokuwa na mteru moto ulivyopotea..ungefika nyumbani ukachukua jeshi lako mkaenda kukisanua ili tusome story nyingine.
 
UMUGHAKA mzigo huu ukiisha inabidi tukutengee jukwaa lako ili uwe unatupia maepisodii ya kibabe kama hayaa.

Hii ni mbinu ukiitumia vizuri itakusaidia kuongeza wafuasi wako zaidi na zaidi. Utajikuta watu wengi zaidi wanapenda uandishi wako.

Zali la pesa litajitokeza hapo maana wengi wataona kazi zako.

Raha ya kipaji kitumie wala usikifiche
 
Km wajinga ww ndio kiranja wao! Nimeonesha mpira euro 1996 mwananyamala kwa copa ccm pale kwa kiingilio cha shs. 100. Hv vitoto vya big result now vinajidai kila kila vinabisha bisha na havijui llt kumbaf!! [emoji848]
Watu wengi wanaokaa mijini Wana uelewa tofauti na mazingira ya vijijini.
Mfano Mimi mwaka Jana huku vijijini nimeangalia mechi za TFF kwa sh. 200 na za Ulaya kwa sh. 300.
 
Km wajinga ww ndio kiranja wao! Nimeonesha mpira euro 1996 mwananyamala kwa copa ccm pale kwa kiingilio cha shs. 100. Hv vitoto vya big result now vinajidai kila kila vinabisha bisha na havijui llt kumbaf!! [emoji848]
Watu wengi wanaokaa mijini Wana uelewa tofauti na mazingira ya vijijini.
Mfano Mimi mwaka Jana huku vijijini nimeangalia mechi za TFF kwa sh. 200 na za Ulaya kwa sh. 300.
 
Mimi Niko Mwanza mjini naishi mtaa Jirani na CCM KIRUMBA STADIUM mechi kwenye kibanda umiza nalipia mia tano.
 
Wewe madingi wa kikulya hawachaguinmzee tena kaa mimya kwa kutulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…