Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

"""Basi nilipofika aliniambia nisogee mahali alipokuwa amesimama ambapo ilikuwa mbele ya wanafunzi!.

Sasa kwa sauti akaanza kuwaambia wanafunzi "Huyu mjinga muda huu ndiyo anarudi nyumbani tangu jana,mara zote tumekuwa tukisema ng'ombe mwenye mapembe marefu!?"

Wanafunzi "Ni kumkata mapembeeeeee"""


Hiki ni kipande kilichonifanya nikacheka kwa sauti kubwaaa


Sent from my TECNO CG7 using JamiiForums mobile app
 
UMUGHAKA mbona sijaona neno DINYANA wakati mlikesha na Monie halafu mama kakukabizi mke na mtoto in advance.
 
Hatari sna master wa kipindi hcho siyo was sas HV wanaongeaa ongea na biti tu Hatari
 
Hakuna
Uzuri ni kuwa humlipi,humchangii bando,hujui maisha yake hivo si vema kuanza kumsema vibaya ni vema ukashukuru kwa kidogo unachokipata.....sisi wanadamu ni wazuri wa kuona makosa tu lakini mafanikio hatuyazungumziii hivo msimpangie mleta uzi huu
Mtu wa kumpangia kwani aliamua yeye mwenyewe kuileta hapa, lakini hata huduma ya bure inabidi uitoe bila kunyanyasa watu na kama hutaki basi usitoe hiyo huduma wala hakuna wa kukulazimisha ila siyo unatoa huku inavisababu kibao
 
Huwa nawashangaa vijana wanalalamikia story utazani hawana kazi za kufanya,mi nikikuta story nasoma mtunzi asipoweka nakausha siku nikiikuta nasoma tena ,asipoiweka muda mrefu naisahau kama kulikuwa na story nafatilia maendelea kuperuzi vingine
Uko kama mimi tu, nikiikuta nasoma haipo napotezea....nikiingia mara mbili tatu haijapostiwa nasepa mazima
 
kw leo imetosha wengine najua mnamajukumu mengine saizi endekezeni story kisha mje muombe ushauri M.M.U
 
Leo umughaka umepatwa na nini? Mteja kakimbia na nauli umemkimbiza mpaka dodoma? Tusubiri ukirudi uje kusimulia tena? Maana na wewe kuna siku uliahirisha ulisema bodaboda yako tairi iliisha upepo. Siku nyingine iligonga mtu, siku nyingine ikawa inasumbua kuwaka. Siku nyingine ukasema mteja alikukwaza....we jamaa umeanza hadi kuringa.

Nimekuona juzi unaendesha boda boda yako kwa mbwembwe barabarani.Ili tu uje ugongwe au upate ajali uridhike upate excuse kwetu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…