Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Ila hii story ni uongo mtupu, kuna mtoto wa kike atajiamini kutembea usiku ivo?, na anatokaje nyumbani kwao bila wazazi kuskia?

Watoto wa mjini mtajulia wapi mambo ya bush...
 
Mimi imenitokea
 
Inabidi uongozi wa jf ukulipe...hii story ni dope.

#MaendeleoHayanaChama
 
Monica aliokoka, kaolewa na mchungaji(haijulikani anachunga nini).
 
Je upo tayari kwa visomo?
 
Tuhakikishie wewe si Umughaka kwa ID nyingine unatengeneza target hapa....
 
mademu mabaya yanaongoza kwa kuringa[emoji23][emoji23]
 
Pongez kubwa Sana zikuendee UMUGHAKA stori hii imetufunza meeng Sana bro yamkini tumeinjoi,tumeelimika ....hongera zaidi kwa kuwa mvumilivu maana kuna wadau humu jf ni masononeko tu kama wanakulipa lakini yote tisa la muhimu *ASANTE KWA STORI NZURI *
 
Pole Sana nicheki PM ....
 
Safi sana mkuu. Asante kwa stori murua, nitakutembelea kijiweni hapo tupige stori mbili tatu
 

Kwa ufupi kuns ma-idiot wa kutosha, samia kazi anayo
 
Ntakuwa mchoyo wa fadhila nisiposema shukrani na hongera kwa hadithi nzuri iliyobeba uhalisia, kuwafurahisha watu bure free of charge na kuweka tamaa pembeni thawabu zako zinaongezeka. Ukiendeleza moyo huo utafika mbali kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…