Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Dah bro heshima kwako mkuu
 
Monica hakufa?
 
Watu ni Vichaa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa mara ya kwanza Hadithi inasimuliwa hadi kufikia Tamati, wengi huja na Visa vyao lakini huishia kutoikamlisha.

Hongera sana Mkuu UMUGHAKA Kuna visa hapo umesimulia umefanya nikumbuke mbali sana. Kweli tunaishi Kwa Imani [emoji120][emoji120]
Kasome kisa Cha Jack Daniel jamaa alitema story yake nzuri bila shida story hiyo Ni Moja ya story nilioipenda Sana hapa jf pmj na jamaa aliyetoa mkasa wa bomu za mbagala hzo story Ni Kali haswa
 
Wabeja sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mkuu UMUGHAKA asante sana kwa story nzuri

Vipi Mwise anaendeleaje kwa sasa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…