Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Acha ujinga.Unasimulia mambo mengi ya kulakula tu.Halafu kutudanganya kwamba kiingilio cha kutazama video ilikuwa Tsh 100/= umeona hatuna akili?Shule za kata zimeanza mwaka 2006 kujengwa.Tsh 100/= ilikuwa na thamani hiyo?Acha ungedere.
Wewe ndo KIT MOTO kabisaaaaaaaaaaa

Mi nimehitimu FM4 shule ya Kata mwaka 2005 leo unasema zimeanza 2006????

Anyway, single mother wengi wamejaa Stress tupu
 
Wewe ndo KIT MOTO kabisaaaaaaaaaaa

Mi nimehitimu FM4 shule ya Kata mwaka 2005 leo unasema zimeanza 2006????

Anyway, single mother wengi wamejaa Stress tupu
Shule za kata zilianza kujengwa mwanzoni mwa utawala wa awamu ya nne usitudanganye
 
Nmekuja tena nikipitapita kwa kudhani nitakuta part 2 ya hii story!
Kwakweli story zingine huko hata vichwa vya habari tu havinivutii....labda tuambiane ipi naweza kusoma huko ambayo walau itaikaribia hii?
Soma "Nilimdhania Kahaba kube Bikra" bonge la story
 
Baada ya wiki hii nitakuwa na offdays, nitaandika simulizi yaliyomoata mtoto wa rafiki yangu na jinsi alivyoyashinda.

Stay tuned.

Itakuwa na episode chache maana ni simulizi fupi na nitaandika kila siku hadi iishe.
Nasubiria.
 
Baada ya wiki hii nitakuwa na offdays, nitaandika simulizi yaliyomoata mtoto wa rafiki yangu na jinsi alivyoyashinda.

Stay tuned.

Itakuwa na episode chache maana ni simulizi fupi na nitaandika kila siku hadi iishe.
Mkuu iandae yote kwa pa1
 
Baada ya wiki hii nitakuwa na offdays, nitaandika simulizi yaliyomoata mtoto wa rafiki yangu na jinsi alivyoyashinda.

Stay tuned.

Itakuwa na episode chache maana ni simulizi fupi na nitaandika kila siku hadi iishe.
Mwamba tunasubiri aise
 
Mwamba tunasubiri aise
Tayari nina off days siku 3, nimeanza kuandika

 
Back
Top Bottom