Wewe ndo KIT MOTO kabisaaaaaaaaaaaAcha ujinga.Unasimulia mambo mengi ya kulakula tu.Halafu kutudanganya kwamba kiingilio cha kutazama video ilikuwa Tsh 100/= umeona hatuna akili?Shule za kata zimeanza mwaka 2006 kujengwa.Tsh 100/= ilikuwa na thamani hiyo?Acha ungedere.
Huna akili.Uwe makini unaposoma taarifa.Wewe ndo KIT MOTO kabisaaaaaaaaaaa
Mi nimehitimu FM4 shule ya Kata mwaka 2005 leo unasema zimeanza 2006????
Anyway, single mother wengi wamejaa Stress tupu
Shule za kata zilianza kujengwa mwanzoni mwa utawala wa awamu ya nne usitudanganyeWewe ndo KIT MOTO kabisaaaaaaaaaaa
Mi nimehitimu FM4 shule ya Kata mwaka 2005 leo unasema zimeanza 2006????
Anyway, single mother wengi wamejaa Stress tupu
Soma "Nilimdhania Kahaba kube Bikra" bonge la storyNmekuja tena nikipitapita kwa kudhani nitakuta part 2 ya hii story!
Kwakweli story zingine huko hata vichwa vya habari tu havinivutii....labda tuambiane ipi naweza kusoma huko ambayo walau itaikaribia hii?
Soma "Nilimdhania Kahaba kube Bikra" bonge la story
Sijui jinsi ya kuweka link ila iko hapa kwenye entertainmentTupe link
Nasubiria.Baada ya wiki hii nitakuwa na offdays, nitaandika simulizi yaliyomoata mtoto wa rafiki yangu na jinsi alivyoyashinda.
Stay tuned.
Itakuwa na episode chache maana ni simulizi fupi na nitaandika kila siku hadi iishe.
2006Hivi Ile Arsenal kupigwa na Barca ulikuwa mwaka gani? Nakumbuka golikipa wa Arsenal alipigwa red kadi kwa kumdaka mguu Etoo
Mkuu iandae yote kwa pa1Baada ya wiki hii nitakuwa na offdays, nitaandika simulizi yaliyomoata mtoto wa rafiki yangu na jinsi alivyoyashinda.
Stay tuned.
Itakuwa na episode chache maana ni simulizi fupi na nitaandika kila siku hadi iishe.
Thread 'Simulizi ya kijasusi- Nilimdhania kahaba kumbe bikra' Simulizi ya kijasusi- Nilimdhania kahaba kumbe bikraTupe link
Kiko maeneo gani, bia inazidi elf tano bei?A1 Hotel maeneo yangu ya kujidai, kwenye hicho kilima chenye tank kubwa la maji penye view bomba kabisa ya kuicheki Arusha yote.
Mwamba tunasubiri aiseBaada ya wiki hii nitakuwa na offdays, nitaandika simulizi yaliyomoata mtoto wa rafiki yangu na jinsi alivyoyashinda.
Stay tuned.
Itakuwa na episode chache maana ni simulizi fupi na nitaandika kila siku hadi iishe.
Naona wadau wanaipondea sana kwamba ina uongo sana
Isome kwanzaNaona wadau wanaipondea sana kwamba ina uongo sana
Mzee wa kwa Kindande yupo kumbe!Sasa awe straight and to the point.Aeleze hadithi za mchawi.Aache kumbwelambwela.
Lolo na Nyandira kwa kina Isidory MkudeUnapafahamu Mgeta gani? Nyandira, Bunduki, Kododo au Wapi?
Tayari nina off days siku 3, nimeanza kuandikaMwamba tunasubiri aise