Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Hongera hakika unakitu kwenyw uelezeaji wa matukio na mpangilio anza kuamwandishi wa vtabua upo vzuri
 
Mzee wa kuzugia UMUGHAKA ana msumari mwingine unabamba balaa,upo on fire saiv na bado unaendelea,hebu piteni nao "NILIVYONUSURIKA KIFO BAADA YA MZEE KUNITIMUA NYUMBANI"
Zote nimesoma na nimemaliza..kama kuja nyingine simulizi nzuri tushtuane wadau
 
Hapo ni pale eneo la SUA ama?
 
Tuna Imani na Umughaka najua atatuletea kitu kingine kikareee as usual!!✌️✌️✌️
 
Nijua ni stori fupi kumbe ndo Yale ya Erik Shigongo na magazeti yake yaleee
 
Tulichomfanya Yule Mchawi hatokuja kusahau kamwe! - 25.
Unyama sana mzee baba UMUGHAKA
 
@UMUGHAKA Story nzui ila umejichanganya
Mwanzo ulisema husomi, ni Emma ndio alikuwa anapiga shule,lakini Kuna Sehemu una act kama Dent, na hapo kwenda Advance ndio umekorogaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…