Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Tulichomfanya Yule Mchawi hatokuja kusahau kamwe! - 12


Jamaa alipokuja akafungua mlango na kutazama aliondoka ghafla ameshika pua kutokana na ile harufu namna ilivyo kuwa ya kutisha.

Ema "Nani Kanya hayo mavi?"

Mimi "Sijui"

Mimi "Nimeamka kuja kusalimia ndiyo nakutana na hii hali"

Ema "Headmaster bado amelala?"

Mimi "Bado sijaju,hebu ngoja niwagongee"

Nilienda kujaribu kugonga ule mlango lakini ulifunguka wenyewe kuashiria ulikuwa wazi,basi nikaanza kuita lakini hakukuwa na mtu mle chumbani aliyeitikia!,niliamua kusukuma ule mlango na kuchungulia chumbani kwa Headmaster lakini hakukuwa na mtu!.

Basi nilitoka nikamwambia Ema Headmaster na Mkewe hawapo chumbani.

Ema "Mmmh huu mji aisee mimi utanishinda"

Mimi "kwanini?"

Ema "Hivi unadhani hii hali niya kawaida?,hivi siunakumbuka nilikwambia kuna siku nimekuta mavi kwenye lile debe la unga!"

Ema "Haya mambo si yakawaida,mimi shule ikifungwa sidhani kama nitarudi huku tena"

Mimi "Dingi atakuwa ameenda wapi?"

Ema "Inaonekana wameamka mapema kuna mahali watakuwa wameenda,na nadhani haya mavi niya muda huu tu,Headmaster angekuwa ameyaona najua angetuamsha!".

Basi nilimwambia Ema tuibebe ile meza na kuitoa nje ili kuifanyia usafi,niliingia stooni nikachua jembe nikawa nakokota yale mavi kutoka mezani na kuangukia chini,baada ya kuisha juu ya meza,nilienda kuzoa michanga na kuyafukia yale ya pale chini na kuanza kuyazoa na kwenda kuyatupa huko nje!.Baada ya kuiosha ile meza ikabidi niianike juani ili ipigwe na jua la kutosha!.

Nilipomaliza na kufanya ndani usafi niliondoka zangu kuelekea kwa mzee masumbuko kwa ajili kufata miwa.Sasa siku hiyo sikuona kile kibanda cha Maza mdogo kikifunguliwa,nilihisi uenda aliamua asije tu kwa kuchoka kwasababu kama kweli walitoka yawezekana akawa alichoka.Ile jioni baada ya kumaliza biashara yangu ya uuzaji miwa nikaamua kurudi zangu nyumbani kama kawaida.

Nimefika nyumbani mida ya saa 2 usiku nikakuta hapo uwani yupo mzee mmoja ambaye alikuwa amekaa kwenye stuli,nilimsalimia na kuingia zangu chumbani kwetu.Sasa muda kidogo nikasikia sauti ya Headmaster ikisema "umesharudi?"

Mimi "Ndiyo baba,shikamoo"

Ba'mdogo "Nani umughaka?"

Mimi "Ndiyo baba ni mimi"

Ba'mdogo "aah mi nilidhani ni huyo mpumbavu,nimemwagiza muda sasa sijui linafanya nini huko"

Ba'mdogo "Hebu nenda ukamuangalie huyo mjinga kwa mzee masalu,ukimkuta umwambie achume kabisa na fimbo aje nazo"

Mimi "Sawa baba"

Ba'mdogo "Kimbia bhana na muwahi hapa".

Basi nikatoka nduki kuelekea kwa mzee mmoja aliyekuwa na ng'ombe wa kutosha hapo kijijini akifahamika kama mzee masalu,sikuwahi kufika kwa huyo mzee ila kwasababu ya umaarufu wake pale kijijini nilikuwa nikimfahamu na kwake pia palikuwa pakifahamika.Nilifanikiwa kufika kwa huyo mzee hiyo mida ya saa 2 kuelekea saa 3 usiku.

Nilipofika nilikuta bado watu wako nje wakipiga soga,nilisogea kwa mtu mmoja ambaye ni mwanamke nikamsalimia na kujitambulisha ya kwamba nilikuwa nimeagizwa na mwalimu Wambura.Basi nikawa nimemuomba aniitie mzee masalu ili niweze kumuulizia kuhusu Ema.

Yule mama aliniambia "Hebu Nenda kwenye lile zizi kule utamkuta huko anakagua mbuzi"

Basi nikazunguka nyuma ya nyumba kuliko kuwa na zizi la mbuzi,nilimkuta mzee akiwa na vijana kama 3 wakiendelea kusavei kwenye lile zizi huku wakiongea kisukuma,nilimsalimia mzee na ndipo nikajitambulisha kwake.

Mzee Masalu " Ooh yule kijana wa mwalimu wambura mbona nimempa na ameondoka muda mrefu"

Mzee masalu "Uenda mtakuwa mmepishana,ametoka hapa muda si mrefu"

Mimi "Sawa mzee mimi naondoka"

Mzee Masalu "Sawa msalimie mwalimu".

Basi sikutaka kupoteza muda nikatoka nduki kurudi nyumbani kumpelekea taarifa Headmaster.Nilipofika nyumbani nilimkuta Ema naye akiwa amefika lakini inaonekana Headmaster alikuwa amemgombeza sana maana alikuwa amevimba kama chura!.

Sasa kumbe jamaa alikuwa ameagizwa damu ya ng'ombe,na yule mzee niliyemkuta pale nyumbani wakati mimi natoka senta kuuza miwa alikuwa mganga,hivyo alikuja kwa ajili ya kufanya zindiko pale nyumbani.Wakati wa asubuhi kumbe Headmaster na mkewe walidamka kwenda kijiji kingine kwa ajili ya kumleta huyo mtaalamu na kiboko ya wachawi kama alivyojinasibu!.

Tulitakiwa kila mtu kuvua shati na kupigwa chale kichwani,mgongoni na kwenye mbavu!,basi lile zoezi lilipokamilika kuna dawa huyo mganga akawa ameichimbia katikati ya nyumba na kututaka kila mmoja kukaa kwa matako huku tukiangalia mashariki na kisha kutamka maneno aliyokuwa akituelekeza!.
Baada ya kumaliza kufanya vimbwanga vyake akawa ameaga ya kwamba aondoke na sisi tukae kwa amani huku tukisubiri kuona matokeo!.

Sasa usiku wakati tukiwa tumelala Ema akawa ananiambia.

Ema "mwanangu unajua nilipita kwa Deborah"

Mimi "Muda gani?"

Ema "Si wakati Headmaster ameniagiza"

Mimi "Kumbe ndiyo maana tumepishana"

Ema "Headmaster naye mnoko tu!"

Mimi "Kwanini?"

Ema "Mwanangu amenitukana kishenzi?"

Mimi "Ni-kupiga kimya tu,sasa utafanyaje"

Ema "Mwanangu halafu debo aneniambia yule mtoto ameeleweka"

Mimi "Nani,Mwise au?"

Ema "Si alikwambia atakupa rafiki yake!."

Mimi "Daaah mi nikajua Mwise"

Ema "Mwanangu yule sura mbaya kakuroga nini!,mbona unampenda hivyo"

Mimi "we acha tu!"

Ema "Halafu lile mbona jepesi tu,wewe subiri kesho shule"

Basi tulilala siku hiyo na hakukuwa na mauzauza hata kidogo.Kutokana na yale mauzauza pale nyumbani ilifika sehemu tukayaona niya kawaida kabisa!.

Kulipopambazuka kama kawaida niliamka nikajiandaa na kwenda kuwasalimia Headmaster na mkewe kisha nikaondoka zangu kwenye kibarua cha uuzaji wa miwa.

Sasa siku hiyo ilipofika mida ya saa 10 jioni nilimuona Ema akiwa anakuja na yule binti mwenye shepu iliyokuwa ikiichanganya nafsi yangu akifahamika kwa jina la Mwise,baada ya kuwaona kwa mbali nilianza kuufuta mdomo wangu ambao ulikuwa umetapakaa uchafu wa miwa na ndipo nikakaa sawa sawa kumkabili Mwise!.

Ema "Ooya demu wako huyu hapa bhana nimemleta akusaidie kuuza miwa".

Ema alivyokuwa mpumbavu alikuwa anankambia halafu anacheka!,daah nilisikia uchungu wa aibu lakini ningefanya nini?,basi baada ya jamaa kumfikisha yule demu pale aliondoka akaelekea kibandani kwa Maza mdogo ili sisi tuendelee na mazungumzo.
Kiukweli yule binti nilikuwa nampenda ingawaje alionekana sura haivutii.

Sasa nikawa najiuma uma pale hata cha kumwambia nikakosa,nashukuru yeye alikuwa mcheshi na akawa amenianza!.


Mwise "Hivi wewe ndiye unakaaga pale kwa Headmaster eeeh"

Mimi "Yeah ni mimi,yule ni baba yangu mdogo"

Mwise "oooh,kumbeee"

Mwise "Mmh niambie sasa maana nataka kuwahi nyumbani"

Mimi "kwani Ema hajakwambia?"

Mwise "Huyo mjinga amenitoa nyumbani hata hajaniambia chochote"

Mimi "Lini utapata muda nina maongezi na wewe"

Mwise "jamani muda wenyewe ndiyo huu,wewe niambie tu"

Mimi "Unaitwa nani?"

Mwise "Ina maana Ema hajakwambia jina langu?"

Mimi "Ema hajaniambia"

Mwise "Naitwa Mwise"

Mimi "ooh Mwise,unajua mimi nakupenda"

Mwise "ndo hicho tu ulitaka kuniambia?"

Mimi "Yes,ndi hicho tu"

Mwise "Sawa mimi naondoka"

Basi yule binti akaondoka huku nikiendelea kumtazama anavyotingisha dunia kwa msambwanda wake aliyotunukiwa.Nilijiona mjinga na domo zege kwa kumbwelambwela kwa mwanamke niliyekuwa nikimtamani kwa muda mrefu!.

Haukupita muda Ema naye akawa amekuja pale huku akitaka kujua nini kimeendelea,niliamua kumdanganya Ema kwamba binti kakubali na ameniahidi tungeonana siku si nyingi kumbe haikuwa hivyo!.Basi tuliendelea kupiga stori hapo kijiweni na ilipofika mida ya saa 12 nilifunga mzigo nikapeleka kwa yule mama aliyekuwa akinihifadhia na mimi kuondoka na Ema kuelekea nyumbani.

Basi wakati tukiwa tunatembea kuelekea nyumbani huku tukipiga stori za hapa na pale,ghafla kwa mbele nikamuona yule binti Monica demu wa Ema akija akiwa na mabinti wenzie wawili!.

Mimi "Demu wako huyo anakuja"

Ema "Mkaushie,mi sikataki wala nini!"

Basi tulipowafikia yule binti akatusalimu,Ema aliuchuna lakini mimi nilimuitikia.Sasa Ema yeye akawa anaendelea na safari bila kujali,mimi nikaona isiwe kesi ngoja niongee nae.

Monica "Huyo mwenzako mbona asalamii"

Mimi "Mi sijui bhana"

Mimi "Unatoka wapi?"

Monica "Natoka kwa mama mdogo naelekea nyumbani"

Monica "Huyo ndugu yako tangu awe na huyo debora wake kiburi kimemjaa,ngoja tutaona"

Basi sikutaka kusema kitu ikabidi ninyamaze.

Monica "Njoo basi nyumbani leo"

Mimi "Itakuwa ngumu Monica"

Monica "Kwanini?"

Mimi "Sitoweza kutoka,wewe siunajua itakuwa usiku na nalala na Ema,nitaaga naenda wapi?"

Monica "Mimi nakupenda sana na wewe ndiye mama yangu anakufahamu ,usijali nakuja kukufata"

Mimi "Sasa ukija itakuwaje?"

Monica "Hilo niachie mimi,kwanza leo nyumbani kuna ngoma za mwana maana lemi,nakufata"

Mimi "Unajua inabidi iwe siri isifahamike"

Monica "Hata wakijua wewe ni mtu wangu,hakuna wakunitisha"

Monica "Naenda lakini narudi,hivyo kajiandae".

Basi niliondoka nikawa namkimbilia Ema ambaye alikuwa amefika mbali.

Ema "Huyo mjinga anakwambia nini!"

Mimi "Nilikuwa tu namtuliza ili asijisikie vibaya"

Ema "Mimi sikataki ila kenyewe kutwa kunitafuta tu"

Basi kwakuwa hakujua nilikuwa nakatafuna,sikutaka kabisa na mimi kumaambia chochote.

Ingawaje kale kabinti hakakuwa na ndundu(msambwanda)kama wa mwise,mimi nilikuwa ninapooza njaa tu!,sikutaka mambo mengi.

Sasa ilipofika mida ya saa 3 usiku,niliskia sauti ya Monica ikiniita nje,niliamka kujifanya najinyoosha na nilipomtazama Ema nilikuta amelala isivyo kawaida.

Shusha vitu pot
 
Tulichomfanya Yule Mchawi hatokuja kusahau kamwe! - 12


Jamaa alipokuja akafungua mlango na kutazama aliondoka ghafla ameshika pua kutokana na ile harufu namna ilivyo kuwa ya kutisha.

Ema "Nani Kanya hayo mavi?"

Mimi "Sijui"

Mimi "Nimeamka kuja kusalimia ndiyo nakutana na hii hali"

Ema "Headmaster bado amelala?"

Mimi "Bado sijaju,hebu ngoja niwagongee"

Nilienda kujaribu kugonga ule mlango lakini ulifunguka wenyewe kuashiria ulikuwa wazi,basi nikaanza kuita lakini hakukuwa na mtu mle chumbani aliyeitikia!,niliamua kusukuma ule mlango na kuchungulia chumbani kwa Headmaster lakini hakukuwa na mtu!.

Basi nilitoka nikamwambia Ema Headmaster na Mkewe hawapo chumbani.

Ema "Mmmh huu mji aisee mimi utanishinda"

Mimi "kwanini?"

Ema "Hivi unadhani hii hali niya kawaida?,hivi siunakumbuka nilikwambia kuna siku nimekuta mavi kwenye lile debe la unga!"

Ema "Haya mambo si yakawaida,mimi shule ikifungwa sidhani kama nitarudi huku tena"

Mimi "Dingi atakuwa ameenda wapi?"

Ema "Inaonekana wameamka mapema kuna mahali watakuwa wameenda,na nadhani haya mavi niya muda huu tu,Headmaster angekuwa ameyaona najua angetuamsha!".

Basi nilimwambia Ema tuibebe ile meza na kuitoa nje ili kuifanyia usafi,niliingia stooni nikachua jembe nikawa nakokota yale mavi kutoka mezani na kuangukia chini,baada ya kuisha juu ya meza,nilienda kuzoa michanga na kuyafukia yale ya pale chini na kuanza kuyazoa na kwenda kuyatupa huko nje!.Baada ya kuiosha ile meza ikabidi niianike juani ili ipigwe na jua la kutosha!.

Nilipomaliza na kufanya ndani usafi niliondoka zangu kuelekea kwa mzee masumbuko kwa ajili kufata miwa.Sasa siku hiyo sikuona kile kibanda cha Maza mdogo kikifunguliwa,nilihisi uenda aliamua asije tu kwa kuchoka kwasababu kama kweli walitoka yawezekana akawa alichoka.Ile jioni baada ya kumaliza biashara yangu ya uuzaji miwa nikaamua kurudi zangu nyumbani kama kawaida.

Nimefika nyumbani mida ya saa 2 usiku nikakuta hapo uwani yupo mzee mmoja ambaye alikuwa amekaa kwenye stuli,nilimsalimia na kuingia zangu chumbani kwetu.Sasa muda kidogo nikasikia sauti ya Headmaster ikisema "umesharudi?"

Mimi "Ndiyo baba,shikamoo"

Ba'mdogo "Nani umughaka?"

Mimi "Ndiyo baba ni mimi"

Ba'mdogo "aah mi nilidhani ni huyo mpumbavu,nimemwagiza muda sasa sijui linafanya nini huko"

Ba'mdogo "Hebu nenda ukamuangalie huyo mjinga kwa mzee masalu,ukimkuta umwambie achume kabisa na fimbo aje nazo"

Mimi "Sawa baba"

Ba'mdogo "Kimbia bhana na muwahi hapa".

Basi nikatoka nduki kuelekea kwa mzee mmoja aliyekuwa na ng'ombe wa kutosha hapo kijijini akifahamika kama mzee masalu,sikuwahi kufika kwa huyo mzee ila kwasababu ya umaarufu wake pale kijijini nilikuwa nikimfahamu na kwake pia palikuwa pakifahamika.Nilifanikiwa kufika kwa huyo mzee hiyo mida ya saa 2 kuelekea saa 3 usiku.

Nilipofika nilikuta bado watu wako nje wakipiga soga,nilisogea kwa mtu mmoja ambaye ni mwanamke nikamsalimia na kujitambulisha ya kwamba nilikuwa nimeagizwa na mwalimu Wambura.Basi nikawa nimemuomba aniitie mzee masalu ili niweze kumuulizia kuhusu Ema.

Yule mama aliniambia "Hebu Nenda kwenye lile zizi kule utamkuta huko anakagua mbuzi"

Basi nikazunguka nyuma ya nyumba kuliko kuwa na zizi la mbuzi,nilimkuta mzee akiwa na vijana kama 3 wakiendelea kusavei kwenye lile zizi huku wakiongea kisukuma,nilimsalimia mzee na ndipo nikajitambulisha kwake.

Mzee Masalu " Ooh yule kijana wa mwalimu wambura mbona nimempa na ameondoka muda mrefu"

Mzee masalu "Uenda mtakuwa mmepishana,ametoka hapa muda si mrefu"

Mimi "Sawa mzee mimi naondoka"

Mzee Masalu "Sawa msalimie mwalimu".

Basi sikutaka kupoteza muda nikatoka nduki kurudi nyumbani kumpelekea taarifa Headmaster.Nilipofika nyumbani nilimkuta Ema naye akiwa amefika lakini inaonekana Headmaster alikuwa amemgombeza sana maana alikuwa amevimba kama chura!.

Sasa kumbe jamaa alikuwa ameagizwa damu ya ng'ombe,na yule mzee niliyemkuta pale nyumbani wakati mimi natoka senta kuuza miwa alikuwa mganga,hivyo alikuja kwa ajili ya kufanya zindiko pale nyumbani.Wakati wa asubuhi kumbe Headmaster na mkewe walidamka kwenda kijiji kingine kwa ajili ya kumleta huyo mtaalamu na kiboko ya wachawi kama alivyojinasibu!.

Tulitakiwa kila mtu kuvua shati na kupigwa chale kichwani,mgongoni na kwenye mbavu!,basi lile zoezi lilipokamilika kuna dawa huyo mganga akawa ameichimbia katikati ya nyumba na kututaka kila mmoja kukaa kwa matako huku tukiangalia mashariki na kisha kutamka maneno aliyokuwa akituelekeza!.
Baada ya kumaliza kufanya vimbwanga vyake akawa ameaga ya kwamba aondoke na sisi tukae kwa amani huku tukisubiri kuona matokeo!.

Sasa usiku wakati tukiwa tumelala Ema akawa ananiambia.

Ema "mwanangu unajua nilipita kwa Deborah"

Mimi "Muda gani?"

Ema "Si wakati Headmaster ameniagiza"

Mimi "Kumbe ndiyo maana tumepishana"

Ema "Headmaster naye mnoko tu!"

Mimi "Kwanini?"

Ema "Mwanangu amenitukana kishenzi?"

Mimi "Ni-kupiga kimya tu,sasa utafanyaje"

Ema "Mwanangu halafu debo aneniambia yule mtoto ameeleweka"

Mimi "Nani,Mwise au?"

Ema "Si alikwambia atakupa rafiki yake!."

Mimi "Daaah mi nikajua Mwise"

Ema "Mwanangu yule sura mbaya kakuroga nini!,mbona unampenda hivyo"

Mimi "we acha tu!"

Ema "Halafu lile mbona jepesi tu,wewe subiri kesho shule"

Basi tulilala siku hiyo na hakukuwa na mauzauza hata kidogo.Kutokana na yale mauzauza pale nyumbani ilifika sehemu tukayaona niya kawaida kabisa!.

Kulipopambazuka kama kawaida niliamka nikajiandaa na kwenda kuwasalimia Headmaster na mkewe kisha nikaondoka zangu kwenye kibarua cha uuzaji wa miwa.

Sasa siku hiyo ilipofika mida ya saa 10 jioni nilimuona Ema akiwa anakuja na yule binti mwenye shepu iliyokuwa ikiichanganya nafsi yangu akifahamika kwa jina la Mwise,baada ya kuwaona kwa mbali nilianza kuufuta mdomo wangu ambao ulikuwa umetapakaa uchafu wa miwa na ndipo nikakaa sawa sawa kumkabili Mwise!.

Ema "Ooya demu wako huyu hapa bhana nimemleta akusaidie kuuza miwa".

Ema alivyokuwa mpumbavu alikuwa anankambia halafu anacheka!,daah nilisikia uchungu wa aibu lakini ningefanya nini?,basi baada ya jamaa kumfikisha yule demu pale aliondoka akaelekea kibandani kwa Maza mdogo ili sisi tuendelee na mazungumzo.
Kiukweli yule binti nilikuwa nampenda ingawaje alionekana sura haivutii.

Sasa nikawa najiuma uma pale hata cha kumwambia nikakosa,nashukuru yeye alikuwa mcheshi na akawa amenianza!.


Mwise "Hivi wewe ndiye unakaaga pale kwa Headmaster eeeh"

Mimi "Yeah ni mimi,yule ni baba yangu mdogo"

Mwise "oooh,kumbeee"

Mwise "Mmh niambie sasa maana nataka kuwahi nyumbani"

Mimi "kwani Ema hajakwambia?"

Mwise "Huyo mjinga amenitoa nyumbani hata hajaniambia chochote"

Mimi "Lini utapata muda nina maongezi na wewe"

Mwise "jamani muda wenyewe ndiyo huu,wewe niambie tu"

Mimi "Unaitwa nani?"

Mwise "Ina maana Ema hajakwambia jina langu?"

Mimi "Ema hajaniambia"

Mwise "Naitwa Mwise"

Mimi "ooh Mwise,unajua mimi nakupenda"

Mwise "ndo hicho tu ulitaka kuniambia?"

Mimi "Yes,ndi hicho tu"

Mwise "Sawa mimi naondoka"

Basi yule binti akaondoka huku nikiendelea kumtazama anavyotingisha dunia kwa msambwanda wake aliyotunukiwa.Nilijiona mjinga na domo zege kwa kumbwelambwela kwa mwanamke niliyekuwa nikimtamani kwa muda mrefu!.

Haukupita muda Ema naye akawa amekuja pale huku akitaka kujua nini kimeendelea,niliamua kumdanganya Ema kwamba binti kakubali na ameniahidi tungeonana siku si nyingi kumbe haikuwa hivyo!.Basi tuliendelea kupiga stori hapo kijiweni na ilipofika mida ya saa 12 nilifunga mzigo nikapeleka kwa yule mama aliyekuwa akinihifadhia na mimi kuondoka na Ema kuelekea nyumbani.

Basi wakati tukiwa tunatembea kuelekea nyumbani huku tukipiga stori za hapa na pale,ghafla kwa mbele nikamuona yule binti Monica demu wa Ema akija akiwa na mabinti wenzie wawili!.

Mimi "Demu wako huyo anakuja"

Ema "Mkaushie,mi sikataki wala nini!"

Basi tulipowafikia yule binti akatusalimu,Ema aliuchuna lakini mimi nilimuitikia.Sasa Ema yeye akawa anaendelea na safari bila kujali,mimi nikaona isiwe kesi ngoja niongee nae.

Monica "Huyo mwenzako mbona asalamii"

Mimi "Mi sijui bhana"

Mimi "Unatoka wapi?"

Monica "Natoka kwa mama mdogo naelekea nyumbani"

Monica "Huyo ndugu yako tangu awe na huyo debora wake kiburi kimemjaa,ngoja tutaona"

Basi sikutaka kusema kitu ikabidi ninyamaze.

Monica "Njoo basi nyumbani leo"

Mimi "Itakuwa ngumu Monica"

Monica "Kwanini?"

Mimi "Sitoweza kutoka,wewe siunajua itakuwa usiku na nalala na Ema,nitaaga naenda wapi?"

Monica "Mimi nakupenda sana na wewe ndiye mama yangu anakufahamu ,usijali nakuja kukufata"

Mimi "Sasa ukija itakuwaje?"

Monica "Hilo niachie mimi,kwanza leo nyumbani kuna ngoma za mwana maana lemi,nakufata"

Mimi "Unajua inabidi iwe siri isifahamike"

Monica "Hata wakijua wewe ni mtu wangu,hakuna wakunitisha"

Monica "Naenda lakini narudi,hivyo kajiandae".

Basi niliondoka nikawa namkimbilia Ema ambaye alikuwa amefika mbali.

Ema "Huyo mjinga anakwambia nini!"

Mimi "Nilikuwa tu namtuliza ili asijisikie vibaya"

Ema "Mimi sikataki ila kenyewe kutwa kunitafuta tu"

Basi kwakuwa hakujua nilikuwa nakatafuna,sikutaka kabisa na mimi kumaambia chochote.

Ingawaje kale kabinti hakakuwa na ndundu(msambwanda)kama wa mwise,mimi nilikuwa ninapooza njaa tu!,sikutaka mambo mengi.

Sasa ilipofika mida ya saa 3 usiku,niliskia sauti ya Monica ikiniita nje,niliamka kujifanya najinyoosha na nilipomtazama Ema nilikuta amelala isivyo kawaida.
Yaani hapa Sasa ndio unaanza kulikoroga, kwa jinsi ya maelezo naona hii michezo anaicheza Monika na anamuadhibu Ema kwa kumsaliti na Deborah. Sasa nawewe unamtaka Mwisse na Monica unakula, haya ngoja tuone
 
Tulichomfanya Yule Mchawi hatokuja kusahau kamwe! - 12


Jamaa alipokuja akafungua mlango na kutazama aliondoka ghafla ameshika pua kutokana na ile harufu namna ilivyo kuwa ya kutisha.

Ema "Nani Kanya hayo mavi?"

Mimi "Sijui"

Mimi "Nimeamka kuja kusalimia ndiyo nakutana na hii hali"

Ema "Headmaster bado amelala?"

Mimi "Bado sijajua,hebu ngoja niwagongee"

Nilienda kujaribu kugonga ule mlango lakini ulifunguka wenyewe kuashiria ulikuwa wazi,basi nikaanza kuita lakini hakukuwa na mtu mle chumbani aliyeitikia!,niliamua kusukuma ule mlango na kuchungulia chumbani kwa Headmaster lakini hakukuwa na mtu!.

Basi nilitoka nikamwambia Ema Headmaster na Mkewe hawapo chumbani.

Ema "Mmmh huu mji aisee mimi utanishinda"

Mimi "kwanini?"

Ema "Hivi unadhani hii hali niya kawaida?,hivi siunakumbuka nilikwambia kuna siku nimekuta mavi kwenye lile debe la unga!"

Ema "Haya mambo si yakawaida,mimi shule ikifungwa sidhani kama nitarudi huku tena"

Mimi "Dingi atakuwa ameenda wapi?"

Ema "Inaonekana wameamka mapema kuna mahali watakuwa wameenda,na nadhani haya mavi niya muda huu tu,Headmaster angekuwa ameyaona najua angetuamsha!".

Basi nilimwambia Ema tuibebe ile meza na kuitoa nje ili kuifanyia usafi,niliingia stooni nikachua jembe nikawa nakokota yale mavi kutoka mezani na kuangukia chini,baada ya kuisha juu ya meza,nilienda kuzoa michanga na kuyafukia yale ya pale chini na kuanza kuyazoa na kwenda kuyatupa huko nje!.Baada ya kuiosha ile meza ikabidi niianike juani ili ipigwe na jua la kutosha!.

Nilipomaliza na kufanya ndani usafi niliondoka zangu kuelekea kwa mzee masumbuko kwa ajili kufata miwa.Sasa siku hiyo sikuona kile kibanda cha Maza mdogo kikifunguliwa,nilihisi uenda aliamua asije tu kwa kuchoka kwasababu kama kweli walitoka yawezekana akawa alichoka.Ile jioni baada ya kumaliza biashara yangu ya uuzaji miwa nikaamua kurudi zangu nyumbani kama kawaida.

Nimefika nyumbani mida ya saa 2 usiku nikakuta hapo uwani yupo mzee mmoja ambaye alikuwa amekaa kwenye stuli,nilimsalimia na kuingia zangu chumbani kwetu.Sasa muda kidogo nikasikia sauti ya Headmaster ikisema "umesharudi?"

Mimi "Ndiyo baba,shikamoo"

Ba'mdogo "Nani umughaka?"

Mimi "Ndiyo baba ni mimi"

Ba'mdogo "aah mi nilidhani ni huyo mpumbavu,nimemwagiza muda sasa sijui linafanya nini huko"

Ba'mdogo "Hebu nenda ukamuangalie huyo mjinga kwa mzee masalu,ukimkuta umwambie achume kabisa na fimbo aje nazo"

Mimi "Sawa baba"

Ba'mdogo "Kimbia bhana na muwahi hapa".

Basi nikatoka nduki kuelekea kwa mzee mmoja aliyekuwa na ng'ombe wa kutosha hapo kijijini akifahamika kama mzee masalu,sikuwahi kufika kwa huyo mzee ila kwasababu ya umaarufu wake pale kijijini nilikuwa nikimfahamu na kwake pia palikuwa pakifahamika.Nilifanikiwa kufika kwa huyo mzee hiyo mida ya saa 2 kuelekea saa 3 usiku.

Nilipofika nilikuta bado watu wako nje wakipiga soga,nilisogea kwa mtu mmoja ambaye ni mwanamke nikamsalimia na kujitambulisha ya kwamba nilikuwa nimeagizwa na mwalimu Wambura.Basi nikawa nimemuomba aniitie mzee masalu ili niweze kumuulizia kuhusu Ema.

Yule mama aliniambia "Hebu Nenda kwenye lile zizi kule utamkuta huko anakagua mbuzi"

Basi nikazunguka nyuma ya nyumba kuliko kuwa na zizi la mbuzi,nilimkuta mzee akiwa na vijana kama 3 wakiendelea kusavei kwenye lile zizi huku wakiongea kisukuma,nilimsalimia mzee na ndipo nikajitambulisha kwake.

Mzee Masalu " Ooh yule kijana wa mwalimu wambura mbona nimempa na ameondoka muda mrefu"

Mzee masalu "Uenda mtakuwa mmepishana,ametoka hapa muda si mrefu"

Mimi "Sawa mzee mimi naondoka"

Mzee Masalu "Sawa msalimie mwalimu".

Basi sikutaka kupoteza muda nikatoka nduki kurudi nyumbani kumpelekea taarifa Headmaster.Nilipofika nyumbani nilimkuta Ema naye akiwa amefika lakini inaonekana Headmaster alikuwa amemgombeza sana maana alikuwa amevimba kama chura!.

Sasa kumbe jamaa alikuwa ameagizwa damu ya ng'ombe,na yule mzee niliyemkuta pale nyumbani wakati mimi natoka senta kuuza miwa alikuwa mganga,hivyo alikuja kwa ajili ya kufanya zindiko pale nyumbani.Wakati wa asubuhi kumbe Headmaster na mkewe walidamka kwenda kijiji kingine kwa ajili ya kumleta huyo mtaalamu na kiboko ya wachawi kama alivyojinasibu!.

Tulitakiwa kila mtu kuvua shati na kupigwa chale kichwani,mgongoni na kwenye mbavu!,basi lile zoezi lilipokamilika kuna dawa huyo mganga akawa ameichimbia katikati ya nyumba na kututaka kila mmoja kukaa kwa matako huku tukiangalia mashariki na kisha kutamka maneno aliyokuwa akituelekeza!.
Baada ya kumaliza kufanya vimbwanga vyake akawa ameaga ya kwamba aondoke na sisi tukae kwa amani huku tukisubiri kuona matokeo!.

Sasa usiku wakati tukiwa tumelala Ema akawa ananiambia.

Ema "mwanangu unajua nilipita kwa Deborah"

Mimi "Muda gani?"

Ema "Si wakati Headmaster ameniagiza"

Mimi "Kumbe ndiyo maana tumepishana"

Ema "Headmaster naye mnoko tu!"

Mimi "Kwanini?"

Ema "Mwanangu amenitukana kishenzi?"

Mimi "Ni-kupiga kimya tu,sasa utafanyaje"

Ema "Mwanangu halafu debo aneniambia yule mtoto ameeleweka"

Mimi "Nani,Mwise au?"

Ema "Si alikwambia atakupa rafiki yake!."

Mimi "Daaah mi nikajua Mwise"

Ema "Mwanangu yule sura mbaya kakuroga nini!,mbona unampenda hivyo"

Mimi "we acha tu!"

Ema "Halafu lile mbona jepesi tu,wewe subiri kesho shule"

Basi tulilala siku hiyo na hakukuwa na mauzauza hata kidogo.Kutokana na yale mauzauza pale nyumbani ilifika sehemu tukayaona niya kawaida kabisa!.

Kulipopambazuka kama kawaida niliamka nikajiandaa na kwenda kuwasalimia Headmaster na mkewe kisha nikaondoka zangu kwenye kibarua cha uuzaji wa miwa.

Sasa siku hiyo ilipofika mida ya saa 10 jioni nilimuona Ema akiwa anakuja na yule binti mwenye shepu iliyokuwa ikiichanganya nafsi yangu akifahamika kwa jina la Mwise,baada ya kuwaona kwa mbali nilianza kuufuta mdomo wangu ambao ulikuwa umetapakaa uchafu wa miwa na ndipo nikakaa sawa sawa kumkabili Mwise!.

Ema "Ooya demu wako huyu hapa bhana nimemleta akusaidie kuuza miwa".

Ema alivyokuwa mpumbavu alikuwa ananiambia halafu anacheka!,daah nilisikia uchungu wa aibu lakini ningefanya nini?,basi baada ya jamaa kumfikisha yule demu pale aliondoka akaelekea kibandani kwa Maza mdogo ili sisi tuendelee na mazungumzo.
Kiukweli yule binti nilikuwa nampenda ingawaje alionekana sura haivutii.

Sasa nikawa najiuma uma pale hata cha kumwambia nikakosa,nashukuru yeye alikuwa mcheshi na akawa amenianza!.


Mwise "Hivi wewe ndiye unakaaga pale kwa Headmaster eeeh"

Mimi "Yeah ni mimi,yule ni baba yangu mdogo"

Mwise "oooh,kumbeee"

Mwise "Mmh niambie sasa maana nataka kuwahi nyumbani"

Mimi "kwani Ema hajakwambia?"

Mwise "Huyo mjinga amenitoa nyumbani hata hajaniambia chochote"

Mimi "Lini utapata muda nina maongezi na wewe"

Mwise "jamani muda wenyewe ndiyo huu,wewe niambie tu"

Mimi "Unaitwa nani?"

Mwise "Ina maana Ema hajakwambia jina langu?"

Mimi "Ema hajaniambia"

Mwise "Naitwa Mwise"

Mimi "ooh Mwise,unajua mimi nakupenda"

Mwise "ndo hicho tu ulitaka kuniambia?"

Mimi "Yes,ndi hicho tu"

Mwise "Sawa mimi naondoka"

Basi yule binti akaondoka huku nikiendelea kumtazama anavyotingisha dunia kwa msambwanda wake aliyotunukiwa.Nilijiona mjinga na domo zege kwa kumbwelambwela kwa mwanamke niliyekuwa nikimtamani kwa muda mrefu!.

Haukupita muda Ema naye akawa amekuja pale huku akitaka kujua nini kimeendelea,niliamua kumdanganya Ema kwamba binti kakubali na ameniahidi tungeonana siku si nyingi kumbe haikuwa hivyo!.Basi tuliendelea kupiga stori hapo kijiweni na ilipofika mida ya saa 12 nilifunga mzigo nikapeleka kwa yule mama aliyekuwa akinihifadhia na mimi kuondoka na Ema kuelekea nyumbani.

Basi wakati tukiwa tunatembea kuelekea nyumbani huku tukipiga stori za hapa na pale,ghafla kwa mbele nikamuona yule binti Monica demu wa Ema akija akiwa na mabinti wenzie wawili!.

Mimi "Demu wako huyo anakuja"

Ema "Mkaushie,mi sikataki wala nini!"

Basi tulipowafikia yule binti akatusalimu,Ema aliuchuna lakini mimi nilimuitikia.Sasa Ema yeye akawa anaendelea na safari bila kujali,mimi nikaona isiwe kesi ngoja niongee nae.

Monica "Huyo mwenzako mbona asalamii"

Mimi "Mi sijui bhana"

Mimi "Unatoka wapi?"

Monica "Natoka kwa mama mdogo naelekea nyumbani"

Monica "Huyo ndugu yako tangu awe na huyo debora wake kiburi kimemjaa,ngoja tutaona"

Basi sikutaka kusema kitu ikabidi ninyamaze.

Monica "Njoo basi nyumbani leo"

Mimi "Itakuwa ngumu Monica"

Monica "Kwanini?"

Mimi "Sitoweza kutoka,wewe siunajua itakuwa usiku na nalala na Ema,nitaaga naenda wapi?"

Monica "Mimi nakupenda sana na wewe ndiye mama yangu anakufahamu ,usijali nakuja kukufata"

Mimi "Sasa ukija itakuwaje?"

Monica "Hilo niachie mimi,kwanza leo nyumbani kuna ngoma za mwana lemi,nakufata"

Mimi "Unajua inabidi iwe siri isifahamike"

Monica "Hata wakijua wewe ni mtu wangu,hakuna wakunitisha"

Monica "Naenda lakini narudi,hivyo kajiandae".

Basi niliondoka nikawa namkimbilia Ema ambaye alikuwa amefika mbali.

Ema "Huyo mjinga anakwambia nini!"

Mimi "Nilikuwa tu namtuliza ili asijisikie vibaya"

Ema "Mimi sikataki ila kenyewe kutwa kunitafuta tu"

Basi kwakuwa hakujua nilikuwa namtafuna,sikutaka kabisa na mimi kumwambia chochote.

Ingawaje kale kabinti hakakuwa na ndundu(msambwanda)kama wa mwise,mimi nilikuwa ninapooza njaa tu!,sikutaka mambo mengi.

Sasa ilipofika mida ya saa 3 usiku,niliskia sauti ya Monica ikiniita nje,niliamka kujifanya najinyoosha na nilipomtazama Ema nilikuta amelala isivyo kawaida.
Wachawi wanapenda mkuyenge kumbe
 
Back
Top Bottom