Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Wakuu nipo kijiweni,kuna muda naamua kuangalia tu comments za wadau,marafiki na ndugu zangu wa JF nabaki kufurahi tu[emoji23][emoji23].

Yaani kama unahasira za kijinga JF haikufai maana unaweza mrushia mtu ngumi ingawaje niya upepo[emoji23][emoji23][emoji23].

Humu kuna watu wanakera

Humu kuna watu wanaudhi

Humu kuna watu wanachukiza

Humu kuna watu wanafuhisha

Humu kuna watu wanajua kila kitu.


Yaani ukitaka kupata raha na karaha wewe tembelea JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

All in All nawependa sana ndugu zangu na tuonane muda si mrefu!
Teh! Teh! Teh! Teh!
Umenikumbusha mwaka 1999 October, tupo kwenye maombolezo ya Mwalimu Nyerere. Wakati huo, watu wenye TV walikuwa ni wachache sana.

Sasa, nipo Shinyanga, kwenye baa moja, maeneo ya Stand mpya hapo SHY mjini. Kwenye baa hiyo, Ilikuwa inatolewa TV nje, na watu wanajaa kufuatilia matangazo live yaliyokuwa yanarushwa,yakihusu hicho kifo cha Nyerere, hata njia ya wateja kuingia ndani, haipo. Ilikuwa ni saa 12 jioni, mwenye hiyo baa alikuja hapo, na kutaka aingie ndani, lakini hakuna njia ya kupita. Akaomba watu wampishe apite, lakini ikawa kama hajasikika.

Wengine wakawa wanamrushia maneno ya kejeri, na kudai wao wanafuatilia jambo la muhimu, na wakiwa na majonzi, halafu yeye anataka kuwasumbua! Akamuita muhudumu mmoja, na kumuamrisha aizime hiyo TV.

Kabla hajafanya chochote, sauti za kumuonya zilivuma hapo, na kunywea. Akaanza kutishwa hata tajiri mwenyewe, na kuamua kuondoka.
Hao watazamaji, siku hiyo ndiyo ilikuwa mwisho kuja hapo, kwani, haikutolewa tena nje ile TV.

Kwa hiyo mkuu UMUGHAKA ,waaalaaa usijali na hayo maudhi. Si hapa JF tu kuna ambao hatuna shukrani, bali ndiyo tabia za binadamu zilivyo! Endelea kupoteza muda wako, kwa ajili ya kutuburudisha nduguzo!
 
nimesoma hadi sehemu ya nne bado hamjamfanya kitu mchawi na juu kabisa mwanzoni ulisema tusichoshane, hii ni kalynda in story! mambo ilibidi yaishie palepale miembeni walipokucheka ulivyokuwa na mteru moto ulivyopotea..ungefika nyumbani ukachukua jeshi lako mkaenda kukisanua ili tusome story nyingine.
Weka story yako fupi ukurasa mmoja
 
Wakuu nipo kijiweni,kuna muda naamua kuangalia tu comments za wadau,marafiki na ndugu zangu wa JF nabaki kufurahi tu[emoji23][emoji23].

Yaani kama unahasira za kijinga JF haikufai maana unaweza mrushia mtu ngumi ingawaje niya upepo[emoji23][emoji23][emoji23].

Humu kuna watu wanakera

Humu kuna watu wanaudhi

Humu kuna watu wanachukiza

Humu kuna watu wanafuhisha

Humu kuna watu wanajua kila kitu.


Yaani ukitaka kupata raha na karaha wewe tembelea JF [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

All in All nawependa sana ndugu zangu na tuonane muda si mrefu!
Wapige ngumi ya INDOIGE,ngumi inayokata kona,kulia anayo kushoto anayo, yan ni PUH! PUH! PUH! AMEKAA
 
Pamoja na kujiweza mkuu,lakini sio vzr mkutane halaf kila MTU ajilipie kinywaj chake,inatakiwa mmoja alipe mwingine atulie,kwa sfr hii kura ya malipo imeangukia kwa mtt mzr goroko77 ,kaa kwa kutulia mkuu ununuliwe😂😂,ww ni till next time mkuu
Mm nawamudu wote nitawapiga vinywaji full doz just arrange 😎
 
Vile tunakimbia tukimuona mzee MUKONO
JamiiForums-1715306857.jpg
 
KKwa
Mkuu bado hujatoka? Haya mambo ya kulipiana mwanzoni sio sawa.
Akilipa unamwambia ...no thank you ntalipa usijali.
Hadi mfahamiane vyema na kusudi la kufahamiana kwenu liwe wazi.

Hii kudandia dandia unaweza kukuta unalainishwa moyo taratibu...mwishowe unaingia kingi.
Kuwa mwanaume na usionyeshe udhaifu wowote
Kwa hyo niny Bado mnakazana Kuja kunilipia mm kinywaji kweli ,HV machalii wa R jmn ,ninyi njooni tu fresh tutapamban kile kilichopo .karibuni San burka estate wakuuu
 
Back
Top Bottom