Tuandamane
JF-Expert Member
- Feb 2, 2008
- 1,221
- 55
Tamko hili halitahusu viwanja 20,000.
Tamko hili halitahusu viwanja 20,000.
yani kule kibada na toangoma??
Tamko hili halitahusu viwanja 20,000.
Kama ni sehemu ya viwanja 20,000 usiwe na hofu.
Kama ni sehemu ya viwanja 20,000 usiwe na hofu.
Maeneo yatakayohusika yako katika Kata za Mjimwema, Kibada, Vijibweni na Kigamboni na itahusu maeneo yafiatayo:
1. Kaskazini kuna Bahari ya Hindi kuanzia Feri ikijumuishwa na visiwa vya Kendwa na Sinda ndani na nje
2. Magharibi kuna bandari ya Dar
3. Kusini magharibi kuna bonde la Mto Mzinga
4. Mashariki eneo la Mwera
5. Kusini kuna mto Kizinga na eneo linalopakama na Wilaya ya Mkuranga
Eneo litakalochukuliwa na Serikali litakuwa na ukubwa wa hekta 5533 (Ekari 13,832.5).
Kwa mujibu wa Tamko uendelezaji wa maeneo yaliyo katika wigo huu umesitishwa, kasoro maeneo yaliyo kwenye mpango wa viwanja 20,000.
Wakuu,
Mtanisamehe sana lakini mimi binafsi nakubaliana na maamuzi ya serikali..Mji wowote ni lazima upimwe na kuweka ramani ya mji mpya iwe kwa matarajio ya mwaka 2050 au zaidi.kama sehemu hizo zimepewa hati ovyo ovyo bila kufuata ramani ya mji ktk mapanuzi yake ni lazima serikali ichukue hatua mara moja kabla ujenzi na kuwagharimu wananchi ktk utapeli uliofanyika..