Santa Matuta,
Unapozungumzia TAIFA kuwa linatakiwa kuweka maslahi ya wananchi wake mbele! - una maana gani!..maanake tusije kuwa tunazungumza lugha mbili tofauti.
Maslahi ya wananchi ni yepi hayo kuwa na kiwanja Kigamboni?... Je, unafikiria uwekezaji ktk sehemu hizo ni maslahi ya wageni - kivipi, ikiwa uwekezaji huo utaongeza pato la taifa, ajira kwa wananchi..Nini hasa maslahi ya wananchi ikiwa Taifa lenyewe halina maslahi!
Hiyo Karikoo kumewekeshwa kitu gani mkuu wangu ebu nifahamishe maanake nijuavyo mimi ni maghorofa yasiyokuwa na elevator (lift), hakuna maji yakutosha, sewerage system mbovu na zaidi ya yote ilitakiwa kuwa residential area badala yake leo hii kila nyumba ina mlango wa Convenience store..Yaani mji unanuka sawa na mwanamke aliyepaka vipodozi mwili mchafu..
Jaribu kuitazama Dar ya kesho kwa jicho tofauti kabisa na Kariakoo ama Sinza!.. tunahitaji zaidi sehemu za uwekeshaji na sio lazima wawe wageni toka nje hata sisi wenyewe Watanzania tunaweza kabisa kujenga Mahotel ya Kitalii kwa kupitia Franchise kama Sandals ambayo inaongoza ktk kuvuta Watalii ktk visiwa vya Carribean...Feza yako tu mkuu ukiweka down payment nzuri watakupa mchoro wa uhakika..lakini binafsi sikubaliani ugawaji wa viwanja kwa kutumia mifano ya Uswazi - Kariakoo ati kuna maghorofa..
Sehemu za uwekeshaji iwe ya uwekeshaji kama Mahotel ama Ofisi na viwanja vitoke kwa madhumuni hayo kutokana na plan ya mji na plan ya ujenzi wa jengo isiwe viwanja kugawiwa ovyo kwa mtu yeyote anayewahi utafikiri sisi ndio wahamiaji..
Mkuu tunahitaji zaidi sehemu za Uzalishaji karibu na mji kuliko residential na sioni sababu kwa nini watu tusitafute viwanja Bunju kuelekea Bagamoyo, Mbagala, na sehemu nyingine nje ya mji ambako bado kunahitaji wakazi zaidi.. zaidi ya hapo ndio bora zaidi kuanzisha makazi mapya ya Uswazi baada ya kuuza Kariakoo..Ninafahamu kwa uhakika wengi wetu tumeuza nyumba za Kariakoo na kuvamia Kigamboni kwa kasi ya mtaji sasa dau linageuka na hatutaki kuuhama mji.. Kigamboni beach haiwezi ama niseme haipendezi kuwa makazi ya watu unless unataka kujenga Condos ktk baadhi ya sehemu zitakazo ruhusiwa...
Kinachoweza kunitisha mimi hapa ni uwezekano wa baadhi vigogo kuchukua viwanja vya watu waliokwisha pewa kwa ajili yao wenyewe! lakini kama kuna mpango wa kuijenga Kigamboni iwe kama Montigo Bay huko Jamaica au kama sehemu za visiwa vya Carribean zilizotengwa ili kuvutia Watalii wakajenga Mahotel kwa kutumia wawekeshaji kama Sandals..
Ikiwa leo hii tunasisitiza Kilimo na viwanda iweje tusiwe na msisitizo ktk Utalii!.. Je, ni kweli tunapojenga misingi hii huwa hatufikirii maslahi ya wananchi ambao wanatafuta sehemu za makazi yao!..Hivi kweli tunaweza kuuza sehemu za mashamba na viwanda kwa ajili ya ujenzi wa makazi (residential)..kisha tunalalamika kuwa nchi haina kazi.
Mkuu mimi sina noma kabisaaa na Kigamboni kuwa eneo la kukuza Utalii nchini, najua nini malipo ya Utalii kama huo badala ya kutegemea wanyama na Mlima Kilimanjaro kwa sababu nieona.. Kisiwa kidogo kama Santa domingo kinapata watalii wengi kuliko Tanzania hapo hujagusa kabisa viwsiwa kama Bahamas na hata Jamaica.. Cuba na Ukomunist wao bado wanaheshimu Utalii na ndio kula yao sasa haya maslahi unayozungumzia mkuu ni yepi!
Unapozungumzia TAIFA kuwa linatakiwa kuweka maslahi ya wananchi wake mbele! - una maana gani!..maanake tusije kuwa tunazungumza lugha mbili tofauti.
Maslahi ya wananchi ni yepi hayo kuwa na kiwanja Kigamboni?... Je, unafikiria uwekezaji ktk sehemu hizo ni maslahi ya wageni - kivipi, ikiwa uwekezaji huo utaongeza pato la taifa, ajira kwa wananchi..Nini hasa maslahi ya wananchi ikiwa Taifa lenyewe halina maslahi!
Hiyo Karikoo kumewekeshwa kitu gani mkuu wangu ebu nifahamishe maanake nijuavyo mimi ni maghorofa yasiyokuwa na elevator (lift), hakuna maji yakutosha, sewerage system mbovu na zaidi ya yote ilitakiwa kuwa residential area badala yake leo hii kila nyumba ina mlango wa Convenience store..Yaani mji unanuka sawa na mwanamke aliyepaka vipodozi mwili mchafu..
Jaribu kuitazama Dar ya kesho kwa jicho tofauti kabisa na Kariakoo ama Sinza!.. tunahitaji zaidi sehemu za uwekeshaji na sio lazima wawe wageni toka nje hata sisi wenyewe Watanzania tunaweza kabisa kujenga Mahotel ya Kitalii kwa kupitia Franchise kama Sandals ambayo inaongoza ktk kuvuta Watalii ktk visiwa vya Carribean...Feza yako tu mkuu ukiweka down payment nzuri watakupa mchoro wa uhakika..lakini binafsi sikubaliani ugawaji wa viwanja kwa kutumia mifano ya Uswazi - Kariakoo ati kuna maghorofa..
Sehemu za uwekeshaji iwe ya uwekeshaji kama Mahotel ama Ofisi na viwanja vitoke kwa madhumuni hayo kutokana na plan ya mji na plan ya ujenzi wa jengo isiwe viwanja kugawiwa ovyo kwa mtu yeyote anayewahi utafikiri sisi ndio wahamiaji..
Mkuu tunahitaji zaidi sehemu za Uzalishaji karibu na mji kuliko residential na sioni sababu kwa nini watu tusitafute viwanja Bunju kuelekea Bagamoyo, Mbagala, na sehemu nyingine nje ya mji ambako bado kunahitaji wakazi zaidi.. zaidi ya hapo ndio bora zaidi kuanzisha makazi mapya ya Uswazi baada ya kuuza Kariakoo..Ninafahamu kwa uhakika wengi wetu tumeuza nyumba za Kariakoo na kuvamia Kigamboni kwa kasi ya mtaji sasa dau linageuka na hatutaki kuuhama mji.. Kigamboni beach haiwezi ama niseme haipendezi kuwa makazi ya watu unless unataka kujenga Condos ktk baadhi ya sehemu zitakazo ruhusiwa...
Kinachoweza kunitisha mimi hapa ni uwezekano wa baadhi vigogo kuchukua viwanja vya watu waliokwisha pewa kwa ajili yao wenyewe! lakini kama kuna mpango wa kuijenga Kigamboni iwe kama Montigo Bay huko Jamaica au kama sehemu za visiwa vya Carribean zilizotengwa ili kuvutia Watalii wakajenga Mahotel kwa kutumia wawekeshaji kama Sandals..
Ikiwa leo hii tunasisitiza Kilimo na viwanda iweje tusiwe na msisitizo ktk Utalii!.. Je, ni kweli tunapojenga misingi hii huwa hatufikirii maslahi ya wananchi ambao wanatafuta sehemu za makazi yao!..Hivi kweli tunaweza kuuza sehemu za mashamba na viwanda kwa ajili ya ujenzi wa makazi (residential)..kisha tunalalamika kuwa nchi haina kazi.
Mkuu mimi sina noma kabisaaa na Kigamboni kuwa eneo la kukuza Utalii nchini, najua nini malipo ya Utalii kama huo badala ya kutegemea wanyama na Mlima Kilimanjaro kwa sababu nieona.. Kisiwa kidogo kama Santa domingo kinapata watalii wengi kuliko Tanzania hapo hujagusa kabisa viwsiwa kama Bahamas na hata Jamaica.. Cuba na Ukomunist wao bado wanaheshimu Utalii na ndio kula yao sasa haya maslahi unayozungumzia mkuu ni yepi!