Tuligeuze wazo la mchina la kusambaza Bonanza nchi nzima kuwa fursa kwenye biashara

Tuligeuze wazo la mchina la kusambaza Bonanza nchi nzima kuwa fursa kwenye biashara

PAZIA 3

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
1,102
Reaction score
1,919
Kwenu great thinkers, hapa Naitaji michango ya mawazo yenu namna ambavyo tunaweza kulitumia wazo la mchina katika shughuri zetu.

Mchina ametumia fursa ya kuwasambazia Bonanza wahitaji halafu yeye anakuja kuchukua faida, frem ulipie wewe, umeme ulipie na mlinzi juu yako, Sasa huoni Kama anatutumia kujipatia faida kubwa kuendesha biashara yake?

Nasi tulitumie wazo Hilo Hilo kwenye biashara zetu, vijana wengi wana ideas lakini hawana mitaji, wewe mwenye mtaji, tafuta vijana wenye frem zao, mfano, una uhakika wa kupata mchele kutoka Kahama, sambazia vijana, wambie, kwenye kilo moja ya Tsh 1600, wewe akutunzie 1400, unakuwa unapita kila baada ya siku kadhaa kulingana na mzunguko was mtu husika/ Kama wafanyavyo wachina/ nakwambia itamlazimu huyu kijana kujituma ili apate faida haraka wakati huo wewe unanufaika nayeye akinufaika huo ni mfano mmoja.

Unaweza ukafanya hivyo kwa vijana zaidi ya 100 ukawa unapita kuchukua hela tu na KUWEKA mzigo mpya!! Fikiria biashara yako, then tumia fursa hiyo, keep constant kuibiwa maana hizo Ni changamoto Kama zingine. Au mnasemaje wadau?
 
Hahahaa!!! iyo bznes unayotaka ilikua miaka ya zamani sanaaa.

Kwa sasa ukifanya ivyo ujue umefilisika kabisa kwa sbb pesa yako y mchele baada ya mauzo uyo kijana anawekeza kwa kitu kingine ukija ww ni story tu anakupatia.mala kalipia kodi frem,mtoto aliumwa,vikoba,marejesho bank na mengineo.

Mchina n konki ilo bonanza pesa zake ziko ndani ya bonanza na funguo anazo yy kwenye gari lake tu.na bonanza kalifunga GPS.
 
Hahahaa!!! iyo bznes unayotaka ilikua miaka ya zamani sanaaa.

Kwa sasa ukifanya ivyo ujue umefilisika kabisa kwa sbb pesa yako y mchele baada ya mauzo uyo kijana anawekeza kwa kitu kingine ukija ww ni story tu anakupatia.mala kalipia kodi frem,mtoto aliumwa,vikoba,marejesho bank na mengineo.

Mchina n konki ilo bonanza pesa zake ziko ndani ya bonanza na funguo anazo yy kwenye gari lake tu.na bonanza kalifunga GPS.
Ila hii kitu inafuja pesa nyingi sana za walala hoi.
 
Ila hii kitu inafuja pesa nyingi sana za walala hoi.

Sidhani kama Kuna Mlala Hoi Anayecheza Hilo Bonanza.
Sidhani....!!!!!!
Wengi wao sio Walala Hoi!!

Huwezi kucheza Bonanza Huku Hujui Utakula Nini???

Sidhani kama ni Walala Hoi ndio wanacheza hilo
Sidhani

Maana kuna watu wanaliwa mpaka Laki.
Sidhani kama na huyo ni Mlala Hoi.
 
Kwenu great thinkers, hapa Naitaji michango ya mawazo yenu namna ambavyo tunaweza kulitumia wazo la mchina katika shughuri zetu.

Mchina ametumia fursa ya kuwasambazia Bonanza wahitaji halafu yeye anakuja kuchukua faida, frem ulipie wewe, umeme ulipie na mlinzi juu yako, Sasa huoni Kama anatutumia kujipatia faida kubwa kuendesha biashara yake?

Nasi tulitumie wazo Hilo Hilo kwenye biashara zetu, vijana wengi wana ideas lakini hawana mitaji, wewe mwenye mtaji, tafuta vijana wenye frem zao, mfano, una uhakika wa kupata mchele kutoka Kahama, sambazia vijana, wambie, kwenye kilo moja ya Tsh 1600, wewe akutunzie 1400, unakuwa unapita kila baada ya siku kadhaa kulingana na mzunguko was mtu husika/ Kama wafanyavyo wachina/ nakwambia itamlazimu huyu kijana kujituma ili apate faida haraka wakati huo wewe unanufaika nayeye akinufaika huo ni mfano mmoja.

Unaweza ukafanya hivyo kwa vijana zaidi ya 100 ukawa unapita kuchukua hela tu na KUWEKA mzigo mpya!! Fikiria biashara yako, then tumia fursa hiyo, keep constant kuibiwa maana hizo Ni changamoto Kama zingine. Au mnasemaje wadau?
Bonanza la mchina ulinganishe na biashara hizi za kawaida? Waulize hao wanaofanya biashara ya viazi mvilingo, wanavyolia kila leo, wana mshushia mtu gunia 10,kwa mali kauli na kila gunia hatakosa 7000-8000,kutegemea na eneo alipo, subilia siku ya kwenda kuchukua pesa, utakutana na matatizo kibao, hata pesa haitimii tena.

Na mwingine pesa yako ndio anaifanyia mtaji wa vitu vingine, na ikibidi mzigo uliompa unaisha anachukua faida anaenda kuingiza mwingine, kila ukimuuliza anasema mzigo bado upo!!! Japo hata mchina wakati mwingine anapigwa lakini hadi utumie akili sana!! Na kuna mawili akaichukua mashine kabisa. Hilo wazo lako ni hatari sana kwa pesa yako
 
Sidhani kama Kuna Mlala Hoi Anayecheza Hilo Bonanza.
Sidhani....!!!!!!
Wengi wao sio Walala Hoi!!

Huwezi kucheza Bonanza Huku Hujui Utakula Nini???

Sidhani kama ni Walala Hoi ndio wanacheza hilo
Sidhani

Maana kuna watu wanaliwa mpaka Laki.
Sidhani kama na huyo ni Mlala Hoi.
Ndugu kuna walala hoi wanalipwa 500,000 kwa mwezi. Kulala hoi kuna uhusiano na kutafuta na kutoambulia kitu na si mtu ambaye hana kitu kabisa....
 
Ndugu kuna walala hoi wanalipwa 500,000 kwa mwezi. Kulala hoi kuna uhusiano na kutafuta na kutoambulia kitu na si mtu ambaye hana kitu kabisa....

Bado kuna mapungufu kwenye kutoa Fasiri ya Walala Hoi!!
Mtu alipwe 500000 useme ni Mlala Hoi.
Lets be serious ndugu
 
Mhh hii bonanza ya mchina ni nini kwanza 🤔
 
Hahahaa!!! iyo bznes unayotaka ilikua miaka ya zamani sanaaa.

Kwa sasa ukifanya ivyo ujue umefilisika kabisa kwa sbb pesa yako y mchele baada ya mauzo uyo kijana anawekeza kwa kitu kingine ukija ww ni story tu anakupatia.mala kalipia kodi frem,mtoto aliumwa,vikoba,marejesho bank na mengineo.

Mchina n konki ilo bonanza pesa zake ziko ndani ya bonanza na funguo anazo yy kwenye gari lake tu.na bonanza kalifunga GPS.

Hakuna vijana wa aina hiyo nchi hii...watakutia hasara.....biashara inayowezekana ni ile ya kutumia mashine kama wachina
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]alijua ni kitu rahisi rahisi tu kumkabidhi hela au mchele mbongo atazikusanya hela zikitimia milioni 2 anaenda kununua bodaboda wewe ukija unapigwa sound tu ndio basi hapo ushampa maisha.
Hahahaa!!! iyo bznes unayotaka ilikua miaka ya zamani sanaaa.

Kwa sasa ukifanya ivyo ujue umefilisika kabisa kwa sbb pesa yako y mchele baada ya mauzo uyo kijana anawekeza kwa kitu kingine ukija ww ni story tu anakupatia.mala kalipia kodi frem,mtoto aliumwa,vikoba,marejesho bank na mengineo.

Mchina n konki ilo bonanza pesa zake ziko ndani ya bonanza na funguo anazo yy kwenye gari lake tu.na bonanza kalifunga GPS.
 
Back
Top Bottom