Tuliitwa 1020 tanapa(assistant a/c)wakabakizwa 30,wanahitaji 10.nhif wameitwa 1824 wanaitaji 4.

Tuliitwa 1020 tanapa(assistant a/c)wakabakizwa 30,wanahitaji 10.nhif wameitwa 1824 wanaitaji 4.

Kanoutinho

Member
Joined
Jul 22, 2012
Posts
9
Reaction score
1
Sasa hawa NHIF walihesabu tu hizo appl letter na kujua walioomba? Au wanao watu wao ndoo maana hata hawakuchuja?

NBAA inamaana ktk wa2 700 mpaka 900 waliofanya hiyo interview Je hamna hata wa2 20 waliopata max za juu sawa yaani zikafanana??

NB: NI BORA HIZI KAMPUNI ZIKAWAZI NAITA WALE BEST 20 KAMA WANAITAJI 10 MPAKA 15.
- NINI UMUHIMU WA KUAMBATANISHA VYETI NA TRANSCRIPT, WORKING XPRNC.


"NASUBIRI BOMU LA WASIO NA AJIRA LILIPUKE"
 
Sasa hawa NHIF walihesabu tu hizo appl letter na kujua walioomba? Au wanao watu wao ndoo maana hata hawakuchuja?

NBAA inamaana ktk wa2 700 mpaka 900 waliofanya hiyo interview Je hamna hata wa2 20 waliopata max za juu sawa yaani zikafanana??

NB: NI BORA HIZI KAMPUNI ZIKAWAZI NAITA WALE BEST 20 KAMA WANAITAJI 10 MPAKA 15.
- NINI UMUHIMU WA KUAMBATANISHA VYETI NA TRANSCRIPT, WORKING XPRNC.


"NASUBIRI BOMU LA WASIO NA AJIRA LILIPUKE"

Tena huu mlipuko utakuwa zaidi ya Tunisia na Misri.
 
mmh! nhif? tanapa? watu wanaenda kwenye interview basi tu, tutafanya nini,ila watu 1000 kwa wa 4 tu!
 
COASCO unaambiwa wamerudia mtihani wa chuo cha HOMBOROfor written. Watu full mabanda.
 
Back
Top Bottom