mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Kupeleka papuch marekani sio mchezo, za hapa zinagongwa na mabodaboda tuu.Kafanya innovation gani so far?
Maisha yanaenda kasi sanaWana JF
Napenda kuona mpambanaji HM anavyochanja mbuga kuliko watoto wa ushuani, mtoto huyu kipindi cha nyuma alipotoa shule zote Saint Kayumba. Ona sasa anavyoizingua dunia
View attachment 2024838
View attachment 2024840
Tandika sekondari 2011 form 4 leaver.Tandale Sekondari ndiyo shule gani? Nimesoma shule moja hivi maeneo ya sinza na pale kulikua na njia ya Tandale kulikua na shule mbili za Sekondari moja ni Salma Kikwete na nyingine Manzese ukisogea mbele kuja Sinza kuna private iliitwa Sinza Iteba.
Kwa kuangalia hizo sare ni ama za Kenton au Boko Sekondari. Ila kwa upana wa huo uwanja na majengo haiwezi kua Kenton.
iyo ni shule ya sekondari Tandika mkuuWana JF
Napenda kuona mpambanaji HM anavyochanja mbuga kuliko watoto wa ushuani, mtoto huyu kipindi cha nyuma alipotoa shule zote Saint Kayumba. Ona sasa anavyoizingua dunia
View attachment 2024838
View attachment 2024840
Kumbe hamisa mdogo tyuuh lol. [emoji23][emoji23]Tandika sekondari 2011 form 4 leaver.
Nimeona paliandikwa TandaleTandika sekondari 2011 form 4 leaver.
Hamisa aliwahi kupigwa risasi mguu wake wa kulia? Hebu angalia juu ya soksi. [emoji851]Wana JF
Napenda kuona mpambanaji HM anavyochanja mbuga kuliko watoto wa ushuani, mtoto huyu kipindi cha nyuma alipotoa shule zote Saint Kayumba. Ona sasa anavyoizingua dunia
View attachment 2024838
View attachment 2024840
Wana JF
Napenda kuona mpambanaji HM anavyochanja mbuga kuliko watoto wa ushuani, mtoto huyu kipindi cha nyuma alipotoa shule zote Saint Kayumba. Ona sasa anavyoizingua dunia
View attachment 2024838
View attachment 2024840
Hivi mwanamke amezaliwa ili afanye nini? Si apate mume aolewe? Na process ya kuolewa ni kuanzia uchumba! Hapo HM ana kosa lipi? Si amempata mchumba anayejiweza kifedha, lazima tumpongeze ili mwisho wa yote aolewe kwa ndoa takatifu. Husda yako inatokea wapi?Kwa hiyo umeona kabisa anayofanya ni mazuri na unayatamani??? Tanzania kazi kweli kweli!