Tulikotoka: Hamisa Mobetto akimaliza Masomo yake Kidato cha Nne Tandale Sekondari

Tulikotoka: Hamisa Mobetto akimaliza Masomo yake Kidato cha Nne Tandale Sekondari

Tandale Sekondari ndiyo shule gani? Nimesoma shule moja hivi maeneo ya sinza na pale kulikua na njia ya Tandale kulikua na shule mbili za Sekondari moja ni Salma Kikwete na nyingine Manzese ukisogea mbele kuja Sinza kuna private iliitwa Sinza Iteba.

Kwa kuangalia hizo sare ni ama za Kenton au Boko Sekondari. Ila kwa upana wa huo uwanja na majengo haiwezi kua Kenton.

Tandika Sec School
 
Ni ajabu sana kuona taifa linashangilia uasherati na uzinifu kisa Mobetto katembea na mtu maarufu.

Dhambi imekuwa burudani na ushujaa au mafanikio?

Tutubu![emoji120][emoji120]
 
Lulu 93? Daaaah. [emoji23][emoji23]
Kipindi anatangaza kipindi cha watoto cha ITV mda kidogo walikua wanasema kazaliwa 93..sasa baada ya hapo miaka ikawa inapinduka tu!
 
Back
Top Bottom