Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Wakuu, kwa miaka mingi tuliambiwa maamuzi yoyote pale USA ni ya taasisi na si mtu mmoja. Kwamba katiba yao ndio inaamua, kwamba hata akija Rais kichaa anaongoza maana yeye si mtoa maamuzi pekeake.
Lakini hiki tunachoshuhudia sasa hivi mbona ni kama Afrika tu?
Yani Trump sasa hivi anaweza kuamka tu na kutoa tamko kwamba toa hiki weka pale, kile leta hapa.
Mfano mzuri ni ishu misaada kwa Afrika, na hili la kujitoa WHO na sasa eti anapanga kujitoa UN.
Mbona mimi naona kama US mfumo wao wa uongozi ni mbovu kuliko Afrika?
Lakini hiki tunachoshuhudia sasa hivi mbona ni kama Afrika tu?
Yani Trump sasa hivi anaweza kuamka tu na kutoa tamko kwamba toa hiki weka pale, kile leta hapa.
Mfano mzuri ni ishu misaada kwa Afrika, na hili la kujitoa WHO na sasa eti anapanga kujitoa UN.
Mbona mimi naona kama US mfumo wao wa uongozi ni mbovu kuliko Afrika?