Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi hicho uritakiwa uwe unaenda kura kwa kina Dura?Kuanza naomba kihongozi wa umu hasiwe anafunta abali zagu umu mahana siyo kira mutu anatafuatiliya umu sihasa au mambo ya mana. wengine wako umu kubuludinsha akiri zao sasa musiwe munafunta abali zagu umu? Jana niriweka abali ya yagu ya mndama wa bibi na mupenzi wagu subila mukafunta iyo abali naombwa musifunte abali zagu?
Kabula mujomba wagu wa itaria ajaenda itaria turikuwa tunakura mupakani mwa usiku na muchana yani uwezi kujuwa ni jiyoni au ni usiku.turikuwa tunakura hivo iri tubane unga husihishe hivo bibi wagu arikuwa hanapika mupakani mwa usiku na muchana iri tukimaliza kura turare na halikuwa anasema hukimaliza kura husicheze mahana chakura kitahisha haraka tumbon hivo ukimariza kura unarara hili usipoteze chakura. Bahada ya mujomba kuwenda itaria ratimba ya kura iribadilika na tukawanza kura chayi.chakura cha muchana na chakura cha usiku. Tukikumbukwa mahisha yare uwa tunalia sana. Husikate tama kama unapitiya mahisha magumu?
Hasante sana.?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kipindi hicho uritakiwa uwe unaenda kura kwa kina Dura?
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Najutia muda wangu nilioupoteza kusoma huu utumbo
Sio umeniharibia mood ya kuendelea kusoma nyuzi nyingine pia umenistress vibaya
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Napatia picha moderators wanavyocheka huko ..
Aaahaaha
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Taabu ya nini?pembe za panzi huyo huyo mara Viatu vya Samaki tabu tupu walahi!
Dura upo!Kipindi hicho uritakiwa uwe unaenda kura kwa kina Dura?
Nawapongeza Moderators kwa kuziunganisha hizi ID hata kama aliwaambia.pembe za panzi huyo huyo mara Viatu vya Samaki tabu tupu walahi!
Nawapongeza Moderators kwa kuziunganisha hizi ID hata kama aliwaambia.
Nilikuwa sijamjua, huyu jamaa ni muda mrefu humu JF ila alitoweka kwa muda mrefu.
Alipokuja ndio akaanza hizi comedy kwa ID mpya
Me mwenyewe sielewi eti hahahahahahpembe za panzi huyo huyo mara Viatu vya Samaki tabu tupu walahi!
Hehehe elewa basi na wewe haraka.Me mwenyewe sielewi eti hahahahahah
Jombaa vipi?
Mbona wamekuunganisha na ile ID ya Ban ya maisha?Hahahha mkuu mbona nilikuwa humu kabla ya Pembe za Panzi pia licha ya ile ban ya maisha.
Dura yure lafiki yako hambaye bibi yake haritaka kukurogaDura upo!
Mbona wamekuunganisha na ile ID ya Ban ya maisha?