Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
NdioHivi jana Al hilal walichezea kwa mkapa?
utazani=utadhaniNa kwenye mechi yenu kutakuwa na kauli zipi?
Maanake unavyo iandama Yanga utazani wewe leo uchezi au ndio tayari ushakubali leo unapigwa.
Mkuu neno 'utadhani' linakupa shida sana kuliandika kwa usahihiNani yupo biased ushaniona mimi nimefungua uzi kuhusiana na timu yako au Yanga.
Wewe ndiye unaye jishtukia unazani leo utapata faraja pale taifa,mpaka unaisahau timu yako, yani unachambua mechi ya Yanga week nzima thread kibao.Utazani ww uchezi leo ndio maana nikakuuliza au unajua leo unapigwa Botswana.
Asante kwa bakita ila ujumbe umeupata.Mkuu neno 'utadhani' linakupa shida sana kuliandika kwa usahihi
Asante bakita.utazani=utadhani
Uchezi= huchezi
Naona na nyie tena mdaa huu lawama kwa Mangungu na Mooooo..... mtaenda mpaka kwenye jezi na kuanza kuzilalamikia logo za MoXtra kubwa na ndogo.Wakuu baadaye hatuzitaki kauli hizi humu, wanajifahamu wenyewe, ooh ball passesion tuliwakamata, ingeongezwa dk 5 tu tulikuwa tunawakalisha.
Hizi kauli msizilete humu,ukipigwa umepigwa hata possession ingekuwa 0.9% kwa 99.1%. ukipigwa tulia kaa pembeni jitafakari sio kelele, hii siyo shirikisho tulia kama unanyolewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tunge furahi ukipost clip,ili baada ya mechi kuisha ili shabiki wa Yanga aliye karibu aje kushuhudia ukinya na kuchukua hayo mavi.
"Hata kocha wao ametusifia sana, amesema Timu yetu ni nzuri sana."